Hotuba ya Bajeti ya msemaji Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni katika Wizara ya fedha na mipango, mheshimiwa Halima Mdee 2020|2021

Hotuba ya Bajeti ya msemaji Mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni katika Wizara ya fedha na mipango, mheshimiwa Halima Mdee 2020|2021

hawajui kitu kuhusu bajeti wanachoweza kujadili ni mbowe akilewa akiteleza na kuvunjika mguu huo ndio upeo wao

Bajeti unatakiwa kuwa na kichwa kuijadili
 
hawajui kitu kuhusu bajeti wanachoweza kujadili ni mbowe akilewa akiteleza na kuvunjika mguu huo ndio upeo wao

Bajeti unatakiwa kuwa na kichwa kuijadili
Mjitafakari acheni propaganda!!!
 
Nimejaribu kupita mitandaoni, hasa Twitter kujaribu kuona reaction ya wadau hasa wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na wasomi mbalimbali juu ya Bajeti ya Serikali iliyosomwa jana ila cha ajabu wanajadili au kuongelea maswala mengine tofauti huku Bajeti ya nchi wakiipa kisogo kama vile haipo, wakati kwa kawaida Bajeti inaposomwa tu watu mara moja huanza uchambuzi na mijadala jambo ambalo tangu jana mpaka asubuhi ya leo silioni mitandaoni zaidi ya hapa JF ingawa na penyewe mjadala wake umekosa mashiko kabisa.

Binafsi naona hii ni dalili ya watu kukatishwa tamaa na mwenendo wa Bajeti hizi za serikali kiasi kwamba wanaona mambo ni yale yale hivyo wanaona bora tu. waendelee na agenda zingine.

Anyway, ngoja tuone labda kuanzia leo watu wataanza kujijadili hiyo Bajeti.
Nilipata kusikia kua actual amount ambayo hupelekwa kwenye vitengo husika hua haifiki hata 60% ya budgeted amount kwa miaka kadhaa Sasa. So ni kama vile kusema budget yetu hainaga uhalisia.
 
Angalia tu usikufuru ndugu, dhambi ya kukufuru imeandikwa haitasamehewa! as long watu wanaenda kanisan na wanasali na yeye mwenyewe anatoa credits kwa Mungu, chunga tu maneno yako.
Hua unabet?
 
Nimejaribu kupita mitandaoni, hasa Twitter kujaribu kuona reaction ya wadau hasa wanasiasa wa upinzani, wanaharakati na wasomi mbalimbali juu ya Bajeti ya Serikali iliyosomwa jana ila cha ajabu wanajadili au kuongelea maswala mengine tofauti huku Bajeti ya nchi wakiipa kisogo kama vile haipo, wakati kwa kawaida Bajeti inaposomwa tu watu mara moja huanza uchambuzi na mijadala jambo ambalo tangu jana mpaka asubuhi ya leo silioni mitandaoni zaidi ya hapa JF ingawa na penyewe mjadala wake umekosa mashiko kabisa.

Binafsi naona hii ni dalili ya watu kukatishwa tamaa na mwenendo wa Bajeti hizi za serikali kiasi kwamba wanaona mambo ni yale yale hivyo wanaona bora tu. waendelee na agenda zingine.

Anyway, ngoja tuone labda kuanzia leo watu wataanza kujijadili hiyo Bajeti.
Ni ujinga kujadili kitu kitu ambacho unajua fika hakiwezi kutekelezwa.

Ni upopoma wa hali ya juu sana kujadili bajeti hewa za kutegemea wahisani/mabeberu
 
Mkuu, watu waseme nini wakati hotuba ya bajeti ni kama hotuba kwenye campaign rally?

Mtu serious atoe comment ipi mathalani Mpango anaposema "moja ya mafanikio ya sera za viwanda kati ya 2015 na 2019 ni ongezeko maradufu katika uzalishaji wa ndani wa cement" ilihali huku mtaani tumekuwa tukishuhudia bei ya cement ikipaa kila uchwao tangu awamu ya 5 iingie madarakani?

does it add up kweli?
Wewe lofa bei ikipaa kama huwezi kununua ni wewe na ulofa wako.Bei inapaa na watu wenye pesa zao wananunua wewe ambaye huna pesa utajijua.Dola pia inapaa na watu wananunua .Kupaa bei maana yake watu wana uwezo wa kununua wasingekuwa na uwezo bei ingeshuka sababu wenye viwanda wangeshindwa kuuza sababu kwa bei yao kubwa simenti ingewadodea

usiseme hatuna hela sema huna hela.Mbowe kalamba bilioni 8 simenti hata ipande vipi atashindwa kununua? wabunge wa chadema viti maalumu kila mwezi wanakatwa shilingi 1.560,000 kuchangia chadema lakini hawapati mtikisiko wa maisha simenti hata ipandaje watanunua

Tatizo lako wewe ulofa hilo sio tatizo la serikali ni la kwako binafsi pambana na hali yako
 
hawajui kitu kuhusu bajeti wanachoweza kujadili ni mbowe akilewa akiteleza na kuvunjika mguu huo ndio upeo wao

Bajeti unatakiwa kuwa na kichwa kuijadili
Vipi kwny ile sheria yenu ya kipindi mkitoka madarakani mnaogopa kufungwa mmemuweka na Mbowe?
 
Wewe lofa bei ikipaa kama huwezi kununua ni wewe na ulofa wako.Bei inapaa na watu wenye pesa zao wananunua wewe ambaye huna pesa utajijua.Dola pia inapaa na watu wananunua .Kupaa bei maana yake watu wana uwezo wa kununua wasingekuwa na uwezo bei ingeshuka sababu wenye viwanda wangeshindwa kuuza sababu kwa bei yao kubwa simenti ingewadodea

usiseme hatuna hela sema huna hela.Mbowe kalamba bilioni 8 simenti hata ipande vipi atashindwa kununua? wabunge wa chadema viti maalumu kila mwezi wanakatwa shilingi 1.560,000 kuchangia chadema lakini hawapati mtikisiko wa maisha simenti hata ipandaje watanunua

Tatizo lako wewe ulofa hilo sio tatizo la serikali ni la kwako binafsi pambana na hali yako
Yehodava,sijui unafikiri kwa kutumia kiungo gani, watu hawazungumzii chama Wala mtu,watu wanazungumzia bajeti.mambo ya chama na mtu yanatoka wapi?
Simama na elekeza hoja kwenye bajeti,sio kwenye chama Wala mtu.
 
Yehodava,sijui unafikiri kwa kutumia kiungo gani, watu hawazungumzii chama Wala mtu,watu wanazungumzia bajeti.mambo ya chama na mtu yanatoka wapi?
Simama na elekeza hoja kwenye bajeti,sio kwenye chama Wala mtu.
Hiyo ni kukuelewesha uelewe vizuri mifano ya bei kupanda maana yake nini
 
Bajet ya jana imekaa kisomi sana.. Iko very technical kiasi kwamba sio rahisi sana kwa wachambuzi wengi kuichambua.. All in all, ni bajeti ya wananchi.. Imerejesha nguvu ya fedha mifukoni mwa wananchi wa kawaida na biashara ndogo ndogo... Imetoa unafuu mkubwa kwenye kodi ya sukari kitu kitakachosaidia kushuka kwa bei ya sukari.

Wafanyakazi wa umma na sekta binafsi watapata unafuu kwa kuwa mishahara itaongezeka kwa takrabini Tsh 25,000 kutokana na serikali kunyanyua income tax floor toka 170K hadi 270K.
Imejikita kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati huku ikilenga kutanua wigo wa ajira kutokana na miradi hiyo.
Mambo mazuri ni mengi kiasi kwamba hatuwezi kuyazungumza yote.. All in all, wananchi waipokee kwa mikono yote miwili kwa kuwa ni bajeti ya wananchi.
 
Unakusanya 20 unapanga kutumia 30,hizo 10 unazitoa wapi?Ndio sababu watu wengi wanaipuuzia kwa sababu haitekelezeki ni kiini macho.
Waziri anatamba eti ana 5B+ USD akiba badala kununua mafuta rahisi kwa wingi kuweka akiba angalau ya mwaka mmoja.Hajui baada ya miezi kidogo yatapanda kishezi.
 
Kuna vitu vingine hakuna haja ya kuvifanya kwa nchi kama ya Tanzania: hili la kujadili bajeti nalo ni moja wapo. Ni moja ya mambo tuliyoyabeba toka duniani lakini halina tija kwetu. Huku kwetu bajeti ni kama "formality" tu katika kuonesha nchi nayo huwa inakuwa na bajeti, lakini "practically" bajeti haifuatwi hata chembe. Sasa sijui ni kwa nini tuwe tunajadili!
 
Wewe lofa bei ikipaa kama huwezi kununua ni wewe na ulofa wako.Bei inapaa na watu wenye pesa zao wananunua wewe ambaye huna pesa utajijua.Dola pia inapaa na watu wananunua .Kupaa bei maana yake watu wana uwezo wa kununua wasingekuwa na uwezo bei ingeshuka sababu wenye viwanda wangeshindwa kuuza sababu kwa bei yao kubwa simenti ingewadodea

usiseme hatuna hela sema huna hela.Mbowe kalamba bilioni 8 simenti hata ipande vipi atashindwa kununua? wabunge wa chadema viti maalumu kila mwezi wanakatwa shilingi 1.560,000 kuchangia chadema lakini hawapati mtikisiko wa maisha simenti hata ipandaje watanunua

Tatizo lako wewe ulofa hilo sio tatizo la serikali ni la kwako binafsi pambana na hali yako
ndiyo lugha zenu kutukana Watanzania malofa.

siku lofa akijitambua, tafuta pa kukimbilia. kamuulize Grace Mugabe kwa niaba ya mumewe au kamtembelee selo Al-Bashir atakusimulia habari ya malofa.

Tanzania ni suala la muda tu, na sasa hivi ukizingatia "mabeberu" walivyoivalia njuga regime hii ndiyo kabisa!
 
Ukiona Mwalimu anawauliza wanafunzi wake, Je kuna swali? Kwa kile alichokifundisha halafu asitokee hata mmoja wa kuinua mkono kutaka kuuliza, maana yake, somo limewaingia na wameelewa!
Pia wanafunzi wanaweza wasimuulize kwa sababu zifuatazo
Mwalimu apendi kuulizwa maswali
Mwalimu amefundisha uongo
Wanafunzi wanaelewa kuliko mwalimu
Wanafunzi wanajua ata wakiuliza bado mwalimu atawadanganya.
 
Back
Top Bottom