Zanzibar 2020 Hotuba ya Dkt. Hussein Mwinyi kisiwani Pemba (Julai 19, 2020): Yajayo yanafurahisha

Zanzibar 2020 Hotuba ya Dkt. Hussein Mwinyi kisiwani Pemba (Julai 19, 2020): Yajayo yanafurahisha

Pole mkuu, ndiyo tumeamua hivo wenye nchi.
Mkoloni mweusi ni better by far, so long as tunafanana ni raha tu. Litafia hapahapa tutamtetea tu, wakoloni weupe hatukuwaita. Ndo maana hawakufia hapa..

mweupe? Weeee! Utaisoma number haoni thamani yako! Mpaka leo hawakupendi hataukeshe uchi ukibisha watembelee nchini mwao!

Si kweli kuwa kuna tofauti za kitamaduni. Sisi ni uzao mmoja na visiwani yaani watumwa babu zetu ndo wako huko km wakurya wadengereko! Wanyamwezi nk.

Tofauti ni wale wakoloni waarabu km wewe ni mmojawapo lazima uko tofauti na sisi,sasa hapakufai hapo mkuu.japo hawakupendeni lazimisha.

Leo mimi chogo nikienda ikulu ya uganda, chato, hkn wakunistajabia. lkn nenda ikulu ya Sanaa, ni risasi kichwani ndiyo salamu. Hiyo ni sasa Zamani je? Unatukumbusha? Ili nilie? Silii aluta contin...


Kumbe kuna wakurya wanaongea kitumbatu ?? na wandengereko wanaongea kimakunduchi ?? na wanyamwezi wanaongea ki kojani ??
 
Kumbe kuna wakurya wanaongea kitumbatu ?? na wandengereko wanaongea kimakunduchi ?? na wanyamwezi wanaongea ki kojani ??
Yes! Mbona rahisi tu kulijua hili! Black Amerika wanaongea kiyoruba?
 
Yes! Mbona rahisi tu kulijua hili! Black Amerika wanaongea kiyoruba?

Sorry ,Tunaongelea Zanzibar na wakurya wavamizi walioletwa

Au Zanzibar iko Marekani siku hizi?
 
Mtumwa gani yuko zanzibar , ?? Hizo ndizo propaganda za kanisa . Mwarabu gani aliweka mtu mweusi ndani na kumbamikia kesi.

Mkoloni gani mwarabu alikuwa na majumba kila kona ya nchi ?

mwarabu gani alimchukulia mtu mali yake kwa nguvu ? Mwarabu yupi aliuwa watu , aliwatia watu kwenye mifuko ya plastiki na kuwatupa COCO beach ??

Mwarabu gani alikuwa na majeshi kila kipembe cha Zanzibar ??

mwarabu yupi aliwanyima watu vitambulisho na passport ?
Heee! Hujui? Wewe siyo mtanzania zanzibar, mpemba, wala !!unatusumbua tu humu! Kumbe naongea na mgeni!
Sikia wewe !!! Kuweka majeshi inaonyesha uwezo uimara wa nchi! Na tunaimarisha zaidi mipaka na onyo sasa adui wa ndani na nje wasituchezee mziki mnene huu!!! Ni kazi kuuangusha muungano tutaondoa mmoja baada ya mwingine.
Mkoloni muarabu alikuja kuchuma tu hakuona haja ya majeshi. Halafu alikuwa dhaif sana, hakuwa na utawala bora zaidi ya ukatili, hata walio wake walimkana.

Mtanzania Ukiwa na mali nyingi gawia wenzako km Azam tumemfundisha sisi. usiwe mchoyo hata Mungu hataki! hutaki kuzigawa tunataifisha.

Walioko zanzibar wote ni zao la watumwa na masalia kiduchu ya wakoloni waarabu!

Kuwa na majumba si alama ya utajiri mkuu? kuwa tunaweza kujenga vyetu kuliko mkoloni muarabu mwizi anajenga kwao tu, unataka tuweke vibanda?

Pass wende wapi ukajiunge na Al shaababi? Thubutu! umbea tu. Kaa hapohapo mpaka kifo! Tena mkoloni mweusi mstaarab sana unahoji pass?

Muarabu sharubu? Weee!!! Kwanza hatukuzijua kuna passport, Elimu hupati hatakuisikia tu. Labda madrasa pia kwa kupendelea sana.
Mambo mengi wamejifunza kwa wazungu juu ya kutawala vizuri.
 
Sorry ,Tunaongelea Zanzibar na wakurya wavamizi walioletwa

Au Zanzibar iko Marekani siku hizi?
Fungua akili hiyo!!! USA nimekupa mfano.

Watumwa wakurya walimvamia nani wakati ni kwao?!
Walitumikishwa Baadhi Walikombolewa na wamissionary kutoka kwenye mashamba ya mikarafuuu!!!
Wengine walikuwa sokoni kuuzwa. nyie makatili sana mpaka mnasahau!!!
historia inawahukumu, sasa mwaleta vurugu ili mpate mwanya mbomoe kumbukumbu za mabaya yenu! Hatukubali!!! Patachimbika ndiyo tunazidisha! Sultan alikimbilia kwao kiulainii hakubisha nyie mwatakani kwani hamtujui????
 
Mbona mwatupenda sana si muondoke tu kimyakimya? Mbona sisi hatudai ardhi ya yemen?
 
wa stendi,
Hii pia ndefu:

SIASA ZA PEMBA NA MUUJIZA UNAOJITOKEZA NA KUPOTEA

"Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri.

Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii ndiyo sifa inayomnyanyua binadamu yeyote yule akathaminika achilia mbali wale wanojiita wasomi.

Ukisikiliza kile ukipendacho ukaukataa ukweli heshima ya usomi wako itakwenda chini.

Nimeangalia ‘’clip’’ ya mapokezi makubwa aliyopata Dr. Hussein Mwinyi Pemba.

Niliyoyaona kwenye clip ni tofauti ya hali ya Pemba kama tunavyosikia.

Hali ya Pemba hivi sasa ni kuwa tunaelezwa na wananchi wa Pemba wenywe kuwa wananyimwa vitambulisho ili wasipige kura.

Nani anawanyima Wapemba vitambulisho na kwa sababu gani?

Ipo clip hapa ya tatizo hili mimi kwa kurahisisha utambulisho nimeipa jina "Ngoma za Vita Zinapashwa Moto Huu ni wakati wa Masheikh wa Zanzibar Kuzungumza."

Ukisikiliza ‘’clip’’ hii moyo utaingia hofu ya hayo yanayoweza kutokea.

Haya yanafahamika hayahitaji maelezo zaidi.

Miezi michache iliyopita tumeona CUF ilivyokufa Zanzibar kwa dakika moja au ukipenda nukta moja katika "Shusha Tanga Pandisha Tanga Safari Iendelee..."

Wimbi hili nimetafuta mfano wake pengine duniani sijaona.

Maalim kahama na wanachama wote na ofisi zao mitaani kwa dakika moja na kuzigeuza ofisi zote kuwa zambarau.

Wanachama, ofisi zao na bendera ndiyo "symbols" za nguvu ya chama.

Chama kikiwa hakina vitu hivi kama viaashiria basi jua hapo hakuna chama.

Katika hali kama hii sijaona juhudi za CCM kukijenga chama chao Pemba au hata Unguja au kusikia hotuba za kuwavutia wale waliokuwa wanawapinga kuvutika kuwaunga mkono, ila nilichosoma ni taarifa kuwa Dr. Mwinyi apokelewe na yaorodheshwe majina ya watakaotoka kumpokea.

Huu ni ujumbe kutoka serikalini.

Hiki ni kichekesho.

Haiwezekani kujenga chama chochote kwa namna hii au kuhamasisha wanachama kwa mtindo huu.

Chama hakijengeki kwa vitisho vya "roll call," chama kinajengwa kwa mapenzi na ari ya wanachama wenyewe.

Lakini hapa ndipo ulipo muujiza wenyewe.

Dr. Hussein Mwinyi kapata mapokezi makubwa Pemba kama ‘’clip’’ inavyoonyesha.

Binadamu tunapenda miujiza kwa kuwa huhitaji kufikiri sana kujua kwa nini kishowezekana kimewezekana.

Nayasema haya nikitazama historia ya TANU vipi watu masikini na wasio na elimu walivyounda TANU kikawa chama kikubwa cha kupigiwa mfano Afrika nzima.

Chini ya mwaka mmoja TANU na Nyerere wakawa wanafahamika Tanganyika nzima na wananchi wanakiunga mkono chama.

Wanachama wakitoa nyumba zao kufanya ofisi za TANU.

Walifanya haya kwa ari na mapenzi sio kwa vitisho.

Hebu tuangalia hali ya leo mapokezi ya Dr. Hussein Mwinyi.

Muujiza gani umefanyika kuwaleta wananchi wa Pemba ngome ya ACT Wazalendo kujitokeza kwa wingi kiasi hiki?

Ni hii hofu ya jina kutoonekama katika daftari la mahudhurio au ni mapenzi ya dhati kwa Rais ‘’Mtarajiwa?’’

Au ni silka ya binadamu ile "cunning, wily people," watu walio na uwezo mkubwa wa ghilba na kulaghai.

Nasema haya kwa sababu CCM Pemba haijaweza kupata kiti hata kimoja katika miaka yote ya uchaguzi kutokea 1995.

Sasa cha kujiuliza ni hao washangiliaji wametokea wapi?

Kuna kitabu "The Ugly American," ni ‘’novel’’ na ‘’movie’’ kuhusu watu wa Mashariki ya Mbali katika tabia zao za ujanja wa kujifanya wajinga na wewe ukaamini kuwa ni wajinga kumbe ile ni mtego wao wanatega wanapokutana na adui.

Yawezekana tuliyoshuhudia ni katika sura mbili za Pemba?

Ikiwa yapo yaliyofanywa na CCM Pemba kupata wanachama na kuungwa mkono mimi yamenipita ningependa sana kujifunza kutoka kwenu kwani miujiza haifanyiki tena siku hizi.

Kila cha kustaajabisha lazima tukieleze kisayansi."
Hakika kufahamiana na wewe hapa if barka kubwa Sana nimejifunza mengi sana
 
Nilidhani unapigania umoja kama ulielezea awali, kama umekubali kuwa Tanganyika ni mkoloni kwa Zanzibar na unapendelea hilo kwa ufakhari. Nadhani hicho pia kinaonekana hapo uliposema wazanzibari ni wandengereko na wakurya. Inaonesha uwezo wako wa kufikiri uko mizani gani. Japo hoja ya faida za kiuchumi umeikimbia.

PS

Nikudokeze tuu, mimi si muarabu wala baba yangu hana asili ya Oman. Sio mpemba, na babu zangu wote hadi 10 nyuma hakuna mtu mwenye asili yoyote na Tanganyika. Labda hii itakupa hisia kama mawazo yako uwepo wa wazanzibari ulianzia na utumwa hayana mashiko yoyote, ni pumba tupu.
Kama ni mweusi tii na hutaki Muungano unawapigia pande hao Slave master, dhambi hii haitakuacha salama! unastahili kujinyonga mwenyewe km yuda . wewe ni msaliti wa bara la Africa tu hukwepi hapo.utaishi vipi na hii aibu ya usaliti?

Ok! Unadhani waarabu watakupenda? Hata msikiti hutakaa ufagie. Zaidi wakuhasi ili usizae! Unyama woote ule duuu! Bora usingesema wewe ni mdenge!
 
Tunaaamini , hatulembi , hivi nyinyi ndio kanisa katoliki ,

Tumemsikia BASHITE akisema hadharani hii nchi ni ya kanisa


View attachment 1511633



Jumatatu, 2 Mei 2016
Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
Sasa Bashite akisema ndo nani? Ukristo na Uislamu zote Dini kandamizi hamjui mnachofanya! Hizo ni tamaduni za kigeni. Funguka sisi tanzania ndiyo sisi hatuamriwi nchi yetu haina dini
 
Acha hizo wewe kila zama na kitabu chake. Wa pemba wanajua haki zao, mmezoea kuwajengea imani kwamba wanabaguliwa na serikali ili muendelee kuwatumia. Safari ni maendeleo hakuna siasa tena.Dr.Mwinyi ni mtaalamu wa Afya ya binadamu ni mwanasayansi, hana longolongo.Waliozoea kuwatumia kisiasa wale wana digrii za siasa na propaganda utendaji kwao ni ZERO. ZAnzibar inakwenda Kupaa kiuchumi.Stay tuned
bona hata Dr. Shein ni Dr. wa binadamu ,au hujui hivyo.
Lakininaona Ufukara unazidi kutulemea!
CCM hamuna wa kumdanganya
 
Nijuavyo muungano upo kubana/kuminya maslahi ya Zanzibar.Huwezi dumisha muungano na kupigania maslahi ya Zanzibar kwa wakati mmoja. Porojo tupu, tupatieni hiyo plan-of-action tujue mtapigania vipi maslahi ya Zanzibar ndani ya muungano.

Wait utaendeleza vile vikao vya kutatua kero, got it 😉
Maslahi gani mliyonayo? Zaidi tumerejesha nchi yetu. Hata visiwa vya Ushelisheli, mayote, re union,madagascar tunavitaka vyote ni East Africa. Msione nyinyi tu.
 
Acha hizo wewe kila zama na kitabu chake. Wa pemba wanajua haki zao, mmezoea kuwajengea imani kwamba wanabaguliwa na serikali ili muendelee kuwatumia. Safari ni maendeleo hakuna siasa tena.Dr.Mwinyi ni mtaalamu wa Afya ya binadamu ni mwanasayansi, hana longolongo.Waliozoea kuwatumia kisiasa wale wana digrii za siasa na propaganda utendaji kwao ni ZERO. ZAnzibar inakwenda Kupaa kiuchumi.Stay tuned
Karata ya ubaguzi Zanzibar wanacheza nayo CCM sio upinzani kabisa. Hebu zitizame hotuba zao wenyewe, wanaambizana waache Uunguja na upemba, ukaskazini na ukusini. Haya mambo yamo ndani ya chama chao wenyewe.
 
Kama ni mweusi tii na hutaki Muungano unawapigia pande hao Slave master, dhambi hii haitakuacha salama! unastahili kujinyonga mwenyewe km yuda . wewe ni msaliti wa bara la Africa tu hukwepi hapo.utaishi vipi na hii aibu ya usaliti?

Ok! Unadhani waarabu watakupenda? Hata msikiti hutakaa ufagie. Zaidi wakuhasi ili usizae! Unyama woote ule duuu! Bora usingesema wewe ni mdenge!
Mimi nimekusoma ,
Bila ya huu ubguzi na siasa za u Gozi hamna lenu.
Wapinzani wanazungumzia umoja na usawa ,nyinyi munaleta za Utumwa na Uarabu.
mapindizi yasiyokwisha, na yasiyoleta tija kwa wapinduzi wenyewe.
Kumbe nyi nyi ndio Master mind wa mapinduzi na siasa za Ugozi na Ubaguzi.
CCM bila ya kuchchea Ubaguzi, Uarabu, Utumwa, Mapinduzi feki zanzibar kila siku wimbo ni huo huo, Muungano,Kulindwa kwa NGUVU nk. hamna lenu

Hamjui tuu kuwa mume parama Kisiasa.
Hii nchi inakataa aina zote za Ubaguzi na Kuwanasibisha watu na Asili zao, Lakini CCM wakija ZNZ ndio nyibo kuu hiyo
 
Mapokezi yalianzia Uwanja wa Ndege wa Karume, mkoa wa Kusini Pemba na kupita barabara kuu kuelekea viwanja vya Tibirinzi akiwa katika gari la wazi, akisindikizwa na umati wa watu wenye sare za CCM na wengine wakipunga kando ya barabara.

Katika viwanja vya Tibirinzi, Chakechake, Kusini Pemba, vilifurika hadi mamia ya wananchi wakiwa wamekosa nafasi na kubaki nje ya viwanja hivyo.

View attachment 1511122
View attachment 1511123
View attachment 1511121

======

HOTUBA YA MGOMBEA WA URAIS WA CCM VISIANI ZANZIBAR, DKT. HUSSEIN ALI HASSAN MWINYI - KISIWANI PEMBA

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezimungu, mwingi wa rehma kwa kutuwezesha kukutana hapa hii leo. Kuwashukuru wananchi wa Pemba kwa mapokezi makubwa sana. Napata faraja kazi yetu sasa itakamilika mapema sana.

Nashukuru chama kwa kumaliza uteuzi wake kwa kwa haki, na sasa sote tumekuwa wamoja, hakuna timu Mwinyi wala timu Mbarawa, na lengo letu sasa ni moja kushika dola.

Kabla ya yote tuwaombee wale waliopata maafa Mwenyezi Mungu awarehemu, na wengine waliopata ajali ya kuezuliwa mapaa nyumba zao Mungu awafariji.

Sitosema mengi.

Muwe na hakika nitaenzi Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964.

Nitadumisha Muungano wetu ni wa aina yake, na unatiliwa mfano duniani kote.

Kuna suala kubwa, nalo ni suala la amani na ndio maana tunapata maendeleo. Nchi nyingi za jirani zetu hakuna amani. Namshukuru sana

Mheshimiwa Rais Dk.Ali Mohamed Shein kwa kuongoza nchi kwa amani.

Jukumu langu ni kuhakikisha amani inadumu. Lazima tudumishe umoja wetu. Kusiwe na Upemba na Uunguja, kusiwe na ukusini na Ukaskazini.

Sote ni Wazanzibari. Suala la ajira tutalishughulikia hasa kwa vijana.

Niwapongeze hasa Rais Dkt. Shein na viongozi wote wa serikali na chama.

Nihakikishe alipoachia yeye nitaendeleza. Nitaendeleza miundombinu, huduma za jamii, ustawi wa watu, maendeleo ya jamii, afya, elimu, na yote yanayogusa watu. Nitahakikisha Mzazibari anakua na maisha bora.

Ukitaka kuyafanya hayo, lazima uwajibike. Huwezi kuwa na program kukawa na wala rushwa, wabadhirifu, Wazembe. Sitokuwa na huruma kwa wenye tabia hizo. Serikali itafanya kazi kwa maslahi ya Wazanzibari wote.

Wapo wanaosema Mwinyi ni mpole. Mimi Nasema wataniewa.

Nasema haya kwa sababu pengine hamjanisikia nikiongea sana kwenye vyombo vya habari. Sababu kubwa ni kwamba Wizara ya Ulinzi huko mambo yetu ni ya siri hatufanyi hadharani. Siwezi kusema ila kwa wale wabadhirifu, wala rushwa, wazembe, wasiowajibika, hao watawajibika.

Nitasimamia maslahi ya Zanzibar kwenye Muungano, Jumuiya ya Afrika Mashariki na Jumuiya za Kimataifa.

Nikwambieni nimeamua nigombee na ili nitakaposhinda dhamira yangu ni moja kuwatumikia Wazanzibari wote.

Tukishika dola, tutakuja na miradi ya kusaidia Wazanzibari ikiwemo ajira kwa wote bila ubaguzi.

Panapo dhamira njema Mwenyezi Mungu atatupa neema.

Mwaka huu, tunataka tupate ushindi wa kishindo usiwe mwembemba tukapata malalamiko. Na niliyoyaona Unguja na hapa Pemba kwa sasa sina shaka ushindi ni mkubwa. Sina shaka ushindi utakua ni mkubwa.

Nasema tena kwamba ‘Yajayo yanafurahisha.’ Ni ahadi naichukua mbele ya Mungu na mbele yenu. Nitahakikisha nawahudumia wananchi.

Sasa na wakati huu nina hakika tunafanya mambo mazuri kwa maisha yetu yawe mazuri. Kazi iliyobakia ni kwenda kushika dola na si vyenginevyo. Kwa sasa lililobakia ni umoja mshikamano na ushirikiano ndani ya CCM.

Katika risala ya mikoa miwili ya Pemba ya Kusini na Kaskazini salamu nimezipokea na kuondoka Pemba nikiwa na faraja kubwa hivyo hayo yanaonekana ni mapenzi ya dhati ninaahidi kuitumikia Zanzibar kwa moyo wangu wote. Ihsani hulipwa kwa Ihsani.

Maneno yanayosemwa na wagombea kama wametumwa na Hussein, nataka kuwaambia hapa leo, sijamtuma mtu, kila mtu apambane na hali yake, maana wengine wanasema eti wachaguliwe ili nitakapounda Baraza la Mawaziri, niwateuwe, nawaambia sijamtuma mtu.

Nataka kurudia maneno aliyosema Kama Makamu Mwenyekitu wetu Rais Dkt. Shein kuwa tutumie uchaguzi huu ndani ya Chama kupata wagombea bora.

Baada ya kusema hayo sasa naomba nimalizie kwa kuwashukuru wana CCM na wananchi wote waliojitokeza katika mapokezi yetu na hapa uwanjani.
Huna shutuma Mwinyi nakuamini,kapige kazi.
 
Mimi nimekusoma ,
Bila ya huu ubguzi na siasa za u Gozi hamna lenu.
Wapinzani wanazungumzia umoja na usawa ,nyinyi munaleta za Utumwa na Uarabu.
mapindizi yasiyokwisha, na yasiyoleta tija kwa wapinduzi wenyewe.
Kumbe nyi nyi ndio Master mind wa mapinduzi na siasa za Ugozi na Ubaguzi.
CCM bila ya kuchchea Ubaguzi, Uarabu, Utumwa, Mapinduzi feki zanzibar kila siku wimbo ni huo huo, Muungano,Kulindwa kwa NGUVU nk. hamna lenu

Hamjui tuu kuwa mume parama Kisiasa.
Hii nchi inakataa aina zote za Ubaguzi na Kuwanasibisha watu na Asili zao, Lakini CCM wakija ZNZ ndio nyibo kuu hiyo
Wamekudanganya hao walimu wako. Hatuna ubaguzi Tanzania wapemba,wahindi wamejaa kila kona wauza twanunua bila kujali rangi zao na ni matajiri ona Bakhresa, kugis, mo dewj. Umesahau ubaguzi wa waarabu? Hata leo ni wabaguzi sana. Bora wazungu wanapotezea, Hawatupendi japo wapo kwenye asili yetu. Ila weye unatia huruma! Zamani South unapigwa kiberiti mchana kweupeee! Halafu una asili ya uchoyo unataka upate wewe tu na jamaa zako.
 
Mapokezi yalianzia Uwanja wa Ndege wa Karume, mkoa wa Kusini Pemba na kupita barabara kuu kuelekea viwanja vya Tibirinzi akiwa katika gari la wazi, akisindikizwa na umati wa watu wenye sare za CCM na wengine wakipunga kando ya barabara.

Katika viwanja vya Tibirinzi, Chakechake, Kusini Pemba, vilifurika hadi mamia ya wananchi wakiwa wamekosa nafasi na kubaki nje ya viwanja hivyo.

View attachment 1511122
View attachment 1511123
View attachment 1511121

======

HOTUBA YA MGOMBEA WA URAIS WA CCM VISIANI ZANZIBAR, DKT. HUSSEIN ALI HASSAN MWINYI - KISIWANI PEMBA

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezimungu, mwingi wa rehma kwa kutuwezesha kukutana hapa hii leo. Kuwashukuru wananchi wa Pemba kwa mapokezi makubwa sana. Napata faraja kazi yetu sasa itakamilika mapema sana.

Nashukuru chama kwa kumaliza uteuzi wake kwa kwa haki, na sasa sote tumekuwa wamoja, hakuna timu Mwinyi wala timu Mbarawa, na lengo letu sasa ni moja kushika dola.

Kabla ya yote tuwaombee wale waliopata maafa Mwenyezi Mungu awarehemu, na wengine waliopata ajali ya kuezuliwa mapaa nyumba zao Mungu awafariji.

Sitosema mengi.

Muwe na hakika nitaenzi Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964.

Nitadumisha Muungano wetu ni wa aina yake, na unatiliwa mfano duniani kote.

Kuna suala kubwa, nalo ni suala la amani na ndio maana tunapata maendeleo. Nchi nyingi za jirani zetu hakuna amani. Namshukuru sana

Mheshimiwa Rais Dk.Ali Mohamed Shein kwa kuongoza nchi kwa amani.

Jukumu langu ni kuhakikisha amani inadumu. Lazima tudumishe umoja wetu. Kusiwe na Upemba na Uunguja, kusiwe na ukusini na Ukaskazini.

Sote ni Wazanzibari. Suala la ajira tutalishughulikia hasa kwa vijana.

Niwapongeze hasa Rais Dkt. Shein na viongozi wote wa serikali na chama.

Nihakikishe alipoachia yeye nitaendeleza. Nitaendeleza miundombinu, huduma za jamii, ustawi wa watu, maendeleo ya jamii, afya, elimu, na yote yanayogusa watu. Nitahakikisha Mzazibari anakua na maisha bora.

Ukitaka kuyafanya hayo, lazima uwajibike. Huwezi kuwa na program kukawa na wala rushwa, wabadhirifu, Wazembe. Sitokuwa na huruma kwa wenye tabia hizo. Serikali itafanya kazi kwa maslahi ya Wazanzibari wote.

Wapo wanaosema Mwinyi ni mpole. Mimi Nasema wataniewa.

Nasema haya kwa sababu pengine hamjanisikia nikiongea sana kwenye vyombo vya habari. Sababu kubwa ni kwamba Wizara ya Ulinzi huko mambo yetu ni ya siri hatufanyi hadharani. Siwezi kusema ila kwa wale wabadhirifu, wala rushwa, wazembe, wasiowajibika, hao watawajibika.

Nitasimamia maslahi ya Zanzibar kwenye Muungano, Jumuiya ya Afrika Mashariki na Jumuiya za Kimataifa.

Nikwambieni nimeamua nigombee na ili nitakaposhinda dhamira yangu ni moja kuwatumikia Wazanzibari wote.

Tukishika dola, tutakuja na miradi ya kusaidia Wazanzibari ikiwemo ajira kwa wote bila ubaguzi.

Panapo dhamira njema Mwenyezi Mungu atatupa neema.

Mwaka huu, tunataka tupate ushindi wa kishindo usiwe mwembemba tukapata malalamiko. Na niliyoyaona Unguja na hapa Pemba kwa sasa sina shaka ushindi ni mkubwa. Sina shaka ushindi utakua ni mkubwa.

Nasema tena kwamba ‘Yajayo yanafurahisha.’ Ni ahadi naichukua mbele ya Mungu na mbele yenu. Nitahakikisha nawahudumia wananchi.

Sasa na wakati huu nina hakika tunafanya mambo mazuri kwa maisha yetu yawe mazuri. Kazi iliyobakia ni kwenda kushika dola na si vyenginevyo. Kwa sasa lililobakia ni umoja mshikamano na ushirikiano ndani ya CCM.

Katika risala ya mikoa miwili ya Pemba ya Kusini na Kaskazini salamu nimezipokea na kuondoka Pemba nikiwa na faraja kubwa hivyo hayo yanaonekana ni mapenzi ya dhati ninaahidi kuitumikia Zanzibar kwa moyo wangu wote. Ihsani hulipwa kwa Ihsani.

Maneno yanayosemwa na wagombea kama wametumwa na Hussein, nataka kuwaambia hapa leo, sijamtuma mtu, kila mtu apambane na hali yake, maana wengine wanasema eti wachaguliwe ili nitakapounda Baraza la Mawaziri, niwateuwe, nawaambia sijamtuma mtu.

Nataka kurudia maneno aliyosema Kama Makamu Mwenyekitu wetu Rais Dkt. Shein kuwa tutumie uchaguzi huu ndani ya Chama kupata wagombea bora.

Baada ya kusema hayo sasa naomba nimalizie kwa kuwashukuru wana CCM na wananchi wote waliojitokeza katika mapokezi yetu na hapa uwanjani.
Ukweli ni huu kwa wasioelewa situation ilivyokuwa Pemba na Zanzibar kwa ujumla :-
1. waliohudhuria ni wafanyakazi ambao walilazimika kwenda kwa kuhofia vibarua vyao
2. Waliohudhuria wengine ni kutoka sehemu nyengine za Tanzania...Unguja na T.bara
3. Wapemba au wazanzibari kwa ujumla hawana matatizo na Mwinyi...infact wengi wanampenda Mwinyi mkubwa
4. Wazanzibari hawaangalii mtu bali zaidi wanaangalia chama, (ukitoa Maalim Seif) kama Mwinyi angegombania kupitia upinzani ACT to be specific basi hali ingekuwa tofauti
5. All in all Mwinyi hachukizi Zanzibar kwa kuwa ni muungwana lakini hatapigiwa kura kwa vile chama chake ndio hakipendwi.
 
Fungua akili hiyo!!! USA nimekupa mfano.

Watumwa wakurya walimvamia nani wakati ni kwao?!
Walitumikishwa Baadhi Walikombolewa na wamissionary kutoka kwenye mashamba ya mikarafuuu!!!
Wengine walikuwa sokoni kuuzwa. nyie makatili sana mpaka mnasahau!!!
historia inawahukumu, sasa mwaleta vurugu ili mpate mwanya mbomoe kumbukumbu za mabaya yenu! Hatukubali!!! Patachimbika ndiyo tunazidisha! Sultan alikimbilia kwao kiulainii hakubisha nyie mwatakani kwani hamtujui????

Kampe haki yake kardinali wako kwanza
 
Hivi hii ndio ile wakuu wa idara na vitengo wako na attendance registers kuhakikisha watumishi wote walio chini ya ofisi zao wamekuja kumpkea mgombea???Au sio hii?
 
Kumbe wamekuhasi sio, safi kabisa kwa upuuzi huu unaoandika hapa haishangazi!
Mkuu siyo kukuhasi tu, na kupumulia chogoni, hivi hujui kwa nini mnaitwa chogo kaffir wakt mko kwenu? washenzi sana wale!!. Kwanza huku walichapwa bakora na kufunga vijumba vyao vile vya sala, ukiwapenda sana na kuwafuatafuata dalili ndo kama hizi shekh!.
 
Back
Top Bottom