Zanzibar 2020 Hotuba ya Dkt. Hussein Mwinyi kisiwani Pemba (Julai 19, 2020): Yajayo yanafurahisha



Kumbe kuna wakurya wanaongea kitumbatu ?? na wandengereko wanaongea kimakunduchi ?? na wanyamwezi wanaongea ki kojani ??
 
Kumbe kuna wakurya wanaongea kitumbatu ?? na wandengereko wanaongea kimakunduchi ?? na wanyamwezi wanaongea ki kojani ??
Yes! Mbona rahisi tu kulijua hili! Black Amerika wanaongea kiyoruba?
 
Yes! Mbona rahisi tu kulijua hili! Black Amerika wanaongea kiyoruba?

Sorry ,Tunaongelea Zanzibar na wakurya wavamizi walioletwa

Au Zanzibar iko Marekani siku hizi?
 
Heee! Hujui? Wewe siyo mtanzania zanzibar, mpemba, wala !!unatusumbua tu humu! Kumbe naongea na mgeni!
Sikia wewe !!! Kuweka majeshi inaonyesha uwezo uimara wa nchi! Na tunaimarisha zaidi mipaka na onyo sasa adui wa ndani na nje wasituchezee mziki mnene huu!!! Ni kazi kuuangusha muungano tutaondoa mmoja baada ya mwingine.
Mkoloni muarabu alikuja kuchuma tu hakuona haja ya majeshi. Halafu alikuwa dhaif sana, hakuwa na utawala bora zaidi ya ukatili, hata walio wake walimkana.

Mtanzania Ukiwa na mali nyingi gawia wenzako km Azam tumemfundisha sisi. usiwe mchoyo hata Mungu hataki! hutaki kuzigawa tunataifisha.

Walioko zanzibar wote ni zao la watumwa na masalia kiduchu ya wakoloni waarabu!

Kuwa na majumba si alama ya utajiri mkuu? kuwa tunaweza kujenga vyetu kuliko mkoloni muarabu mwizi anajenga kwao tu, unataka tuweke vibanda?

Pass wende wapi ukajiunge na Al shaababi? Thubutu! umbea tu. Kaa hapohapo mpaka kifo! Tena mkoloni mweusi mstaarab sana unahoji pass?

Muarabu sharubu? Weee!!! Kwanza hatukuzijua kuna passport, Elimu hupati hatakuisikia tu. Labda madrasa pia kwa kupendelea sana.
Mambo mengi wamejifunza kwa wazungu juu ya kutawala vizuri.
 
Sorry ,Tunaongelea Zanzibar na wakurya wavamizi walioletwa

Au Zanzibar iko Marekani siku hizi?
Fungua akili hiyo!!! USA nimekupa mfano.

Watumwa wakurya walimvamia nani wakati ni kwao?!
Walitumikishwa Baadhi Walikombolewa na wamissionary kutoka kwenye mashamba ya mikarafuuu!!!
Wengine walikuwa sokoni kuuzwa. nyie makatili sana mpaka mnasahau!!!
historia inawahukumu, sasa mwaleta vurugu ili mpate mwanya mbomoe kumbukumbu za mabaya yenu! Hatukubali!!! Patachimbika ndiyo tunazidisha! Sultan alikimbilia kwao kiulainii hakubisha nyie mwatakani kwani hamtujui????
 
Mbona mwatupenda sana si muondoke tu kimyakimya? Mbona sisi hatudai ardhi ya yemen?
 
Hakika kufahamiana na wewe hapa if barka kubwa Sana nimejifunza mengi sana
 
Kama ni mweusi tii na hutaki Muungano unawapigia pande hao Slave master, dhambi hii haitakuacha salama! unastahili kujinyonga mwenyewe km yuda . wewe ni msaliti wa bara la Africa tu hukwepi hapo.utaishi vipi na hii aibu ya usaliti?

Ok! Unadhani waarabu watakupenda? Hata msikiti hutakaa ufagie. Zaidi wakuhasi ili usizae! Unyama woote ule duuu! Bora usingesema wewe ni mdenge!
 
Sasa Bashite akisema ndo nani? Ukristo na Uislamu zote Dini kandamizi hamjui mnachofanya! Hizo ni tamaduni za kigeni. Funguka sisi tanzania ndiyo sisi hatuamriwi nchi yetu haina dini
 
bona hata Dr. Shein ni Dr. wa binadamu ,au hujui hivyo.
Lakininaona Ufukara unazidi kutulemea!
CCM hamuna wa kumdanganya
 
Maslahi gani mliyonayo? Zaidi tumerejesha nchi yetu. Hata visiwa vya Ushelisheli, mayote, re union,madagascar tunavitaka vyote ni East Africa. Msione nyinyi tu.
 
Karata ya ubaguzi Zanzibar wanacheza nayo CCM sio upinzani kabisa. Hebu zitizame hotuba zao wenyewe, wanaambizana waache Uunguja na upemba, ukaskazini na ukusini. Haya mambo yamo ndani ya chama chao wenyewe.
 
Mimi nimekusoma ,
Bila ya huu ubguzi na siasa za u Gozi hamna lenu.
Wapinzani wanazungumzia umoja na usawa ,nyinyi munaleta za Utumwa na Uarabu.
mapindizi yasiyokwisha, na yasiyoleta tija kwa wapinduzi wenyewe.
Kumbe nyi nyi ndio Master mind wa mapinduzi na siasa za Ugozi na Ubaguzi.
CCM bila ya kuchchea Ubaguzi, Uarabu, Utumwa, Mapinduzi feki zanzibar kila siku wimbo ni huo huo, Muungano,Kulindwa kwa NGUVU nk. hamna lenu

Hamjui tuu kuwa mume parama Kisiasa.
Hii nchi inakataa aina zote za Ubaguzi na Kuwanasibisha watu na Asili zao, Lakini CCM wakija ZNZ ndio nyibo kuu hiyo
 
Huna shutuma Mwinyi nakuamini,kapige kazi.
 
Wamekudanganya hao walimu wako. Hatuna ubaguzi Tanzania wapemba,wahindi wamejaa kila kona wauza twanunua bila kujali rangi zao na ni matajiri ona Bakhresa, kugis, mo dewj. Umesahau ubaguzi wa waarabu? Hata leo ni wabaguzi sana. Bora wazungu wanapotezea, Hawatupendi japo wapo kwenye asili yetu. Ila weye unatia huruma! Zamani South unapigwa kiberiti mchana kweupeee! Halafu una asili ya uchoyo unataka upate wewe tu na jamaa zako.
 
Ukweli ni huu kwa wasioelewa situation ilivyokuwa Pemba na Zanzibar kwa ujumla :-
1. waliohudhuria ni wafanyakazi ambao walilazimika kwenda kwa kuhofia vibarua vyao
2. Waliohudhuria wengine ni kutoka sehemu nyengine za Tanzania...Unguja na T.bara
3. Wapemba au wazanzibari kwa ujumla hawana matatizo na Mwinyi...infact wengi wanampenda Mwinyi mkubwa
4. Wazanzibari hawaangalii mtu bali zaidi wanaangalia chama, (ukitoa Maalim Seif) kama Mwinyi angegombania kupitia upinzani ACT to be specific basi hali ingekuwa tofauti
5. All in all Mwinyi hachukizi Zanzibar kwa kuwa ni muungwana lakini hatapigiwa kura kwa vile chama chake ndio hakipendwi.
 

Kampe haki yake kardinali wako kwanza
 
Hivi hii ndio ile wakuu wa idara na vitengo wako na attendance registers kuhakikisha watumishi wote walio chini ya ofisi zao wamekuja kumpkea mgombea???Au sio hii?
 
Kumbe wamekuhasi sio, safi kabisa kwa upuuzi huu unaoandika hapa haishangazi!
Mkuu siyo kukuhasi tu, na kupumulia chogoni, hivi hujui kwa nini mnaitwa chogo kaffir wakt mko kwenu? washenzi sana wale!!. Kwanza huku walichapwa bakora na kufunga vijumba vyao vile vya sala, ukiwapenda sana na kuwafuatafuata dalili ndo kama hizi shekh!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…