Hotuba ya Joe Biden mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa 46 wa Marekani

Hotuba ya Joe Biden mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa 46 wa Marekani

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Habari za leo wana JamiiForums,

Natumai muwazima wa afya njema.

Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden.

Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza mfananisha na Obama kwa jinsi anavyo hutubia. Mimi nadhani tutarajie yale aliyoyafanya Obama ndio hayo atakayoyafanya Joe Biden.

Huyu jamaa anaweza kurudisha heshima ya U.S. Kwasababu anaonekana ana kichwa kilicho tulia ukimlinganisha na mzee wetu Trump.
 
Habari za leo wana JamiiForums,

Natumai muwazima wa afya njema.

Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden.

Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza mfananisha na Obama kwa jinsi anavyo hutubia. Mimi nadhani tutarajie yale aliyoyafanya Obama ndio hayo atakayoyafanya Joe Biden.

Huyu jamaa anaweza kurudisha heshima ya U.S. Kwasababu anaonekana ana kichwa kilicho tulia ukimlinganisha na mzee wetu Trump.

Kaikopi hotuba ya JPM huyu jamaa yako
 
JB hawezi kuandika hotuba nzuri vile; ni kati ya viongozi waliokuwa wanapenda intaneti isizimwe ili afuatilie hotuba ya JPM aitumie kwenye speech yake. Huyu jamaa sijui wamemtoa wapi??? Natamani kesi za Trump zifanikiwe ili aendelee tu muhula wake wa pili.
 
JB hawezi kuandika hotuba nzuri vile; ni kati ya viongozi waliokuwa wanapenda intaneti isizimwe ili afuatilie hotuba ya JPM aitumie kwenye speech yake. Huyu jamaa sijui wamemtoa wapi??? Natamani kesi za Trump zifanikiwe ili aendelee tu muhula wake wa pili.
Mmmmmm, okay
 
Habari za leo wana JamiiForums,

Natumai muwazima wa afya njema.

Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden.

Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza mfananisha na Obama kwa jinsi anavyo hutubia. Mimi nadhani tutarajie yale aliyoyafanya Obama ndio hayo atakayoyafanya Joe Biden.

Huyu jamaa anaweza kurudisha heshima ya U.S. Kwasababu anaonekana ana kichwa kilicho tulia ukimlinganisha na mzee wetu Trump.
Kule Twitter kuna jamaa kasema Obama karudi white house kiaina.... Na ukufuatilia tweets za Obama yuko extremely happy kwa ushindi wa Joe.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kule Twitter kuna jamaa kasema Obama karudi white house kiaina.... Na ukufuatilia tweets za Obama yuko extremely happy kwa ushindi wa Joe.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Hakuna muda ambao O-bar-mar aliwahi kuaibika na kuugua kama ile 2016 kwa miaka 4 ya Mr Trump. Nadhani sasa unaelewa kwa nini anafuraha kiasi hicho. Halafu huyo muda wowote anateuliwa na JB kuwa Jaji wa Supreme Court
 
Hakuna muda ambao O-bar-mar aliwahi kuaibika na kuugua kama ile 2016 kwa miaka 4 ya Mr Trump. Nadhani sasa unaelewa kwa nini anafuraha kiasi hicho. Halafu huyo muda wowote anateuliwa na JB kuwa Jaji wa Supreme Court
😂😂😂
 
Back
Top Bottom