Hotuba ya kumaliza mazishi

Hotuba ya kumaliza mazishi

ELNIN0

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2009
Posts
4,161
Reaction score
1,476
Hotuba ya kumaliza mazishi!!!

Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli hiyo"

Ifuatayo ni historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk nyumba ya milele.

Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya
maana japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada ya kuona elimu haina mpango kwake. marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi wa mboga, uongo, uvutaji bangi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.


Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindu x2 kiasi kwamba ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.

Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa! pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga
tangu tarehe 06/04/99. marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi 3 vya mduara. Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu kwa kutupunguzia kero.
asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto huko ampe kiaina.

 
hahahaaaaaa, sio mchezo.
misiba mingi watu hawasemi ukweli kwenye kutoa wasifu wa marehemu!.
 
Hahahahaaah nadhani katika misiba mingi watu hushukuru kimoyomoyo!
 
Hahahahaaah nadhani katika misiba mingi watu hushukuru kimoyomoyo!
kuna mshkaji alikua anamsumbua sana demu wangu longtime, si akafa bana!, nilishukuru kimoyomoyo.
 
Duh huyu nae msomaji hafikirii atakufa siku moja?
 
Kwa kuwa ni burudani sawa. Lakini japo waafrika ni masikini wa pesa na mali, tumekuwa matajiri wa social cohesion. Hayo yaliyosemwa msibani hutayasikia kokote Afrika. Tunafundishwa naturally, kwamba hata adui yako akifa unasikitika na kushituka, maana inakukumbusha kwamba nawewe zamu yako ipo mbioni.

Leka
 
Kwa kuwa ni burudani sawa. Lakini japo waafrika ni masikini wa pesa na mali, tumekuwa matajiri wa social cohesion. Hayo yaliyosemwa msibani hutayasikia kokote Afrika. Tunafundishwa naturally, kwamba hata adui yako akifa unasikitika na kushituka, maana inakukumbusha kwamba nawewe zamu yako ipo mbioni.

Leka

Tuwe na utamaduni wa kusema ukweli kuhusu wasifu na magonjwa yanayosababisha vifo kwa marehemu wetu, kama mwanao alikuwa kibaka toa wasifu wake bila kufisha hivyo hivyo kama alikuwa changu au shoga.

Anaweza kuwa kafa kwa ngoma, lakini baba mzazi ukasema kapata ajali ya trekta au kagongwa na bajaji. Wabongo bwana...
 
Ingekuwa ivyo, ukitokea msiba tungekuwa tunasubiri kwa hamu mtu azikwe ili tusikie fichua fichua za the late!!
 
Kwa kuwa ni burudani sawa. Lakini japo waafrika ni masikini wa pesa na mali, tumekuwa matajiri wa social cohesion. Hayo yaliyosemwa msibani hutayasikia kokote Afrika. Tunafundishwa naturally, kwamba hata adui yako akifa unasikitika na kushituka, maana inakukumbusha kwamba nawewe zamu yako ipo mbioni.

Leka
Zamu zisitufanye tuseme uwongo.......... Kama uliweza kumchukia mtu akiwa mzima, kwa nini kifo kifute hayo yaliyopelekea kumchukia.....???? Ndiyo maana haishangazi TZ kukuta mtu kalazwa hospitali, ukimuuliza hali yake..... atakwambia mimi mzima..........YAANI KAMA VILE TUMEKARIRISHWA MAJIBU.......!!!!
 
Back
Top Bottom