Hotuba ya Magufuli...hehehe Watanzania mnalo, naona hii sawa

Umempa kaka,akikujibu ni kichaa

Hana alichoongea hapo ZAIDI ya ngonjela. Yaani yeye madili yaliyokuwa yakipigwa enzi hizo bila mtu yeyote kushughulikiwa ndo aliona mtindo mzuri!!?? Wale wote waliojizoeza kupiga dili enzi zile hawawezi tena, wale wa meno ya tembo, bandarini, madawa ya kulevya n.k. hawawezi kumfurahia. Wanalia na kusaga meno.

CC: Nzi
 
Tatzo wapinzani wa tz hawana cha maana cha kufanya waandamanee ...so hatuwezi kumpinga magu et kisa upinzani hawapendi maendeleo..wangekua na sababu za msingi sawa BT hakuna sababu na anaeenginer hayo maandamano ni mpuuz mmoja yupo LA sijui katumwa na nan..
Kifup we luv our country and hatutakua wajinga ka libya
 
Idiot
 
Hama nchii uko free kwenda popote...nchi INA watu zaidi ya million 50 so kimtazamo chako hakiwezi sumbua...na kama mambo yote alobadilisha magu huoni faida zake hapo mbele we we utakua umeishia LA saba
 
Watanzania wamejitutumua wanataka kuandamana kama Kenya, sasa Magufuli ametoa mikwara balaa na kuwa mkali hadi hatari. Kwa jinsi ninajijua kwamba huwa sina uvumilivu, binafsi naona sawa, naona kama kuna cha kuiga hapa kwa marais wa Afrika.


Huku kenya hatukatazi mtu kuandamana hiyo ni haki yake kimsingi kwani mmeshuhudia pamoja na kuandamana na kujiapisha mwisho upinzani umeona haisaidii na kukubali kukaa chini kuyaongea. Na hiyo haimaanishi kuwaachia wanaichi wako waandamane basi wewe ni kiongozi dhaifu.
 
That man in the state house is capable of anything...even killing his own people.


Acheni kuandamana jamani.
 
..unaweza kufikiri hizo RISASI ananunua kwa fedha zake za mfukoni.

..hapana, risasi zinanunuliwa kutokana na KODI ya haohao aliodhamiria KUWAUWA.
 
MK254 nakubaliana na wewe, Rais inabidi awe authoritative and firm sio kupelekeshwa pelekeshwa tu. Magu Kama kitu hapendi anasema crystal clear kwamba atalala nao mbele wote ambao wataenda kinyume, kiongozi inabidi awe hivyo. Mambo ya Kenyatta kuongea na Odinga ni kumpa Odinga sifa asizostahili
 
Mnaongoza kwenye kila kitu!! Umenogewa kuandika mpaka una andika pumba
 
Wewe utakuwa mjaluo, spirit ya ukabila inakutesa, ndo maana baada ya kuanza kuishi Kenya, nimechukua demu wa kijaluo, namgegeda hasa labda ukabila utaisha kwenu.
Mmepata rais anayeheshimu katiba, utu na haki ya raia wake unasema eti ni toy, toy ni wewe, unaependa damu za watu
 
We have a funny president who cannot speak ten English sentences
Hajui kiswahili fasaha afadhali hata Nkurunziza na Kagame
Sasa tutamuelewaje mtu asiyejua tofauti ya
R na L
A tyrannical village bully
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…