Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyoitoa jana Aprili 11, 2021

Mbowe Ni mtu makini Sana

Kuliko hao waganga njaa walioko CCM na kule kwa "Ayatollah " supreme leader
 
Duuh huko nimeambulia vitisho tu hamna jema lolote ndani ya hiyo hotuba,.

Nimebakia natetemeka tu hapa...
 
John Joseph Pombe Magufuli ihiiiiiiiiihiiiiiiihiiii abanini sijui( anatamka kisukuma)huku amepinda shingo kidogo akikuna kichwa....Pumzika kwa amani Kipenzi changu...jamani Mimi Niko upande wa mzee ...tusinyosheane vidole kila MTU ana dhambi hakuna aliye msafi alisikika lady jaydee akiimba...Mbowe if you are not a dictator achia uenyekiti...na wewe huamini wenzako?.... Hata na wewe ni one man show..bora Zito anajua kucheza na akili...Mzee aliwafinya pale kuingia kwenye lile jengo la mic nyingi na viti vya kuzunguka hata sisi wananchi tuliona that sikatai..kwl kabisa ila fungeni tu hiyo kurasa tuanze upya. Mambo yenu wanasiasa simo nimewaza tu kwa sauti.
 
unajua katika vitu vyooote ulivyovitaja hapo sijaona mbowe amezungumzia hata kimoja, wala kugusia..
sasa sijui ulikua unatamani aseme au
 
Alichosema mbowe nawewe umerudia mmejenga nanani sema umejenga mkuu
 
Wewe mwenyewe Mbowe mpuuzi mtupu , nini kilimpata Chacha Wangwe alipotaka kugombea uwenyekiti wa chama? Zitto Kabwe alidai kunyweshwa sumu alipopingana na msimamo wako,

Wewe Makekengeza huna legality kabisa ya kumuita Magufuli kwa sababu wewe ndiyo dikiteta namba moja.
 
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Mkuu mbona mawazo yako yanafanana na wale MATAGA wa Lumumba...

Maamuzi ya Jazba sana hayo,,, tulia dawa iwaingie... Hatuwezi vunja miradi kipumbavu hvyo... Hata kama kuna makosa...

Acha uzwazwa
 
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku njoooniii huku

Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
 
vipi kuhusu chanjo ya Corona, unakubalina ?? Naona kama anataka kutuingiza chaka, DJ siyo wa kumwamini kwenye mpunga yale macho yanaona vizuri
 
Ameen
 
Hotuba ya Mbowe ya kujitafuta huruma tu. Haina maana yoyote.
Sikuelewi kabisa,
Udhalimu unaofurahia wewe ndio kisababishi kikubwa cha kukosekana amani katika nchi mbalimbali.
Huko ndio alikuwa anatupeleka kwa kasi sana. Mungu ni mkubwa kwa kutunusuru. AMEN
 
Wewe mwenyewe Mbowe mpuuzi mtupu , nini kilimpata Chacha Wangwe alipotaka kugombea uwenyekiti wa chama? Zitto Kabwe alidai kunyweshwa sumu alipopingana na msimamo wako...
Usimcheke wala kumkejeli kilema, mlemavu au maumbile yake, hujafa hujaumbika hujui kama na wewe utaweza kupata watoto wenye ulemavu? Uombe na utubu.
 
Jiwe kwa ukatili huu ilikuwa lazima atangulie mbele.
Asante Mungu kwa kutupatia Mama.
 
Kwa ujumla huyu jamaa ni kichwa kama ni mawazo take binafsi ama ni taasisi yenye ubora wa ushindani kimataifa kama ni kazi iliyofanywa na taasisi.Wananihamasisha na kuona uelekeo wetu ni wamatumaini zaidi katika awamu mpya ya utawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…