mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Nachofahamu alitamka maneno haya Hali ya Tripoli ilikuwa mbaya Zilikuwa nyakati ambazo alianza kukata tamaa huku baadhi wakimshauri aikimbie Libya lakini alikataaHivi mnavyosema aliandika mwishoni alijua atauawa au kufa kwa namna aliyokufa au!?
Kumbe Gaddafi alikuwa untouchable!Na wale wahanga wa ndege (zaidi ya 250) ktk anga la Lockerbie mbona huwaonei huruma. Roho zisizo kuwa na hatia ziliteketezwa kupitia mkono wa huyu Gaddafi.
Unajua alichowafanyia wanafunzi wa University mnamo 1976? Na Wakurdi je?
Gaddafi squad special kwa kunyonga watu ulishawahi kuisikia?
Kwanini usiwasikitikie Watz wenzako waliokufa 1978/79 kupitia kwa huyu Gaddafi pale alipomsaidia Nduli Iddi Amini kuipinga Tz?
Sikuwahi kulifaham hili!gaddafi had to help amin, kwa sababu tanzania ambayo ni nchi yako wewe ilivamia uganda mara 2, na mara zote hizo watu walikufa,maelfu, uganda haikuwahi kuivamia tanzania,
na kosa hilo la kuivamia uganda lilisababisha wazee enzi hizo pamoja na watoto wadogo wasio na hatia wateseke na njaa huku tanganyika
Tz iliamka tu one day na kuamua kua leo tunaivamia Uganda?gaddafi had to help amin, kwa sababu tanzania ambayo ni nchi yako wewe ilivamia uganda mara 2, na mara zote hizo watu walikufa,maelfu, uganda haikuwahi kuivamia tanzania,
na kosa hilo la kuivamia uganda lilisababisha wazee enzi hizo pamoja na watoto wadogo wasio na hatia wateseke na njaa huku tanganyika
Alikamatwa akiwa anajaribu kutorokaNachofahamu alitamka maneno haya Hali ya Tripoli ilikuwa mbaya Zilikuwa nyakati ambazo alianza kukata tamaa huku baadhi wakimshauri aikimbie Libya lakini alikataa
Ko unataka ugali na beans za kuoza [emoji23][emoji23].Mkuu wa African tuna shida sana.Gadafi alikuwa analazimika kuua watu kwa mapenz ya watu wake,lazima afanye ivo kwa waliotaka kuiyumbisha nchi mapema.The same applied to JKN in Tz.sema alijisahau akusoma alama za nyakati angewaachia watawala wengine kama JkN.Wananchi wakikuchoka ni shida ata kama kila kitu ni free.ko mabeberu wakatia neno kidogo tu "right and freedom in Libya.wananchi wakaunga mkono ndo wanavuna walichokipanda no chill in libyaMimi binafsi sipendi kutawaliwa, ni heri Nile ugali kwa maharagwe yaliyooza kwa uhuru na amani kuliko kula wali nyama kwa masimango.
Nikweli walibya walipewa huduma bora lakini ilikua ni "shut your mouth" kitu ambacho si asili ya mwanadam kuto kuwa huru.
Mbona mnaishia nusu kutoa maelezo? Baada ya Gaddafi kuondoka hali ikoje huko?Mimi binafsi sipendi kutawaliwa, ni heri Nile ugali kwa maharagwe yaliyooza kwa uhuru na amani kuliko kula wali nyama kwa masimango.
Nikweli walibya walipewa huduma bora lakini ilikua ni "shut your mouth" kitu ambacho si asili ya mwanadam kuto kuwa huru.
haturidhiki sijui kwanini!!!Nimeisoma nikafurahi mno. Hili liwe fundisho kwa wanaotamani kumuiga kuwa Miafrika ndivyo tulivyo (In Nyani ngabu's voice). Hata uwape wali kwa panzi. Hawana jema kwao. Full Stop.
Nnani kakuambia kuwa tunahitaji hayo makitu chini ya ukandamizi?
Labda proposal ya Idd Amin ilikuwa na sababu za msingi Gadaffi kumpa msada..Inasikitisha kweli, lakini jamaa chini ya kapeti alikuwa mdini sana.
Aliniudhi kweli alipomsaidia Iddi Amin kutupiga
Yani mnalishwa upumbavu na mataifa ya magharibi na nyie mnashiba? Kweli tuna safari ndefu.........
Hivi baba yako(kiongozi) akiwa anakupa elimu bure, miundombinu bora/ afya bure, chakula maji na misaada mbalimbali.....
Then unakaa baada ya muda unasema baba huyu simtaki nataka baba mwingine....Hii ndiyo sababu walibia wanajuta hadi dunia iishe kwa kudhani kwamba maana ya demokrasia eti ni kibadilisha kiongoz kila miaka mitano
Hivi unajua malkia ana nguvu na maamuzi Uingereza?
Mbona hao tunaowaita wastaarabu wa demokrasia hawamtoi malkia ukafanyika uchaguz wa malkia mwingine?
Kwani urusi haijaendelea?
Mbona rais Putin wa Russia yupo kwa miongo kadhaa na bado nchi ina uchumi wa kutosha?
Kwa nyie mnaoamini (kama mlovyomezeshwa) kwamba demokrasia ni kukaa miaka mitano na kuachia mwingine...kama ingekua hivyo nchi yetu ingekua kama marekani mana huo ndio utaratibu wetu kwa miaka mingi sasa
Cha kusikitisha hapa ni kwamba stori za gadafi watu huzipata kutoka kwenye vyombo vya kipropaganda vya kimagharibi kama CNN BBC amnestry internaional e.t.c
Hivi ndio huuaminisha ulimwengu kua gadafi alikua dictator na muuaji na watu wakaamini hizi information zilizopakwa cosmetics
ndio tatizo la mtu mweusi huwa hana taratibu ya kuchunguza
mobutu aliipa amani na maendeleo nchi yake kadiri alivyoweza huku akijichukulia vi pesa kidogo mara moja moja huku zingine akipata kwenye investments zake,ila vyombo vya habari vya ulaya vikawaaminisha watu kuwa ana utajiri wa zaidi ya 15 billion usd, ila alivokufa wamefatilia hawajakuta zaidi ya 40 million usd
Kumbuka sisi binadam asili yetu hatupendi kutawaliwa ndio maana hata Mungu ametuacha huru tuamue sisi wenyewe kati ya njia ya uzima na njia ya uharibifu.
Tatizo Gaddafi hakusoma nyakati, utafikiri hakuna viongozi bora kama yeye ndani ya Libya hilo ndiyo kosa kubwa alilolifumbia macho na masikio.
Hiyo siyo sababu na wala haipo kwenye sababu za msingi. Libya ni yana walibya na siyo mali ya mtu mmoja. Kwahiyo alitaka aongoze yeye tu? Na siku akifa, mtamfufua ili aendelee kuongoza nchini? Ghadafi alikuwa kiongozi mbinafsi sana na tena nafikiri kauua wengi kulinda madaraka yake. Kiongozi bora ni yule ambaye anaweka mipango ya nchi yake kujisimamia yenyewe hata kama akiondoa. Wanaoyopitia sasa wanalibya ni kwasababu ya tamaa na uchu wa madaraka wa Ghadafi.Hebu tumia akili kidogo. Hivi hata ingekuwa ni wewe unapata vitu vyoye hivyp kutoka kwa kiongozi aliyepo madarakani ungetamani aondoke?
Ulitaka awapo madarakani mpaka sasa? Hizo za Ghadafi kuwapa kila kitu watu ni story za kufikirika. Mtu mwenye akili timamu lazima aone ni stori za kupika. Kwahiyo wanalibya walikuwa hawafanyi kazi? Hii ya kusema Ghadafi alikuwa anawapa kila wananchi wake ni stori za kupika 100 na hazina uhalisia wowote.Sasa hayupo hao walibya wanapata nini? Mbona hawaweki kiongozi mwingine wakaendelea na maisha