Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Kaka Daudi!haya ndiyo maisha yetu mliyotuchagulia na tutayaishi kwa hii miaka 5.
yees ndiyo sasa ukubali kutokukubaliana na unachoamini wewe as long as hatufanyi personal attacks.Kaka Daudi!
Sio kwamba Maisha ni uchaguzi pekee, maisha ni pamoja na kukubali kutokukubaliana ili baadae tukubaliane hata kama ukuchagua au ulichagua.
Wewe umechanganyikiwa. Mbona unaropokwa matusi hivyo.Aliyekuloga na kukosa akili alikuweza! nahisi ni laana hadi kwa wanao!
Huyu jamaa nikimwona au nikimsikia anazungumza napata kinyaa utafikiri sijui nimemwona shetaniKwa sasa anaeongea ni spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na anasema kikatiba wabunge wanaotakiwa ni 393 jumla na waliopo ni 359 wakisubiri wabunge watano kutoka baraza la wawakilishi, wateule 10 wa Rais, viti maaum kutoka vyama vingine..
😂😂😂Umenikumbusha Rashidi yule, R. I. PNakumbuka Yuko RASHID mmoja alikuwa anakunywa chai bila ya kufunika kikombe huko ughaibuni...sasa kwa kuwa kiingereza kilikuwa hakipandi vyema...akawa anakunywa tu kila anapoongezewa..Baba wa Taifa akapaza sauti kwa kiswahili "Rashid basiii funika kikombe Watakuua hao".
Rashid wa kawe KIINGEREZA kinapanda kweliii..."don't throw stones towards every barking dog"🤣🤣🤣
nini maana ya kuapa? zamani ulikuwa unakufa, kumbuka maandiko wewe dogoViapo vya usanii?
🤣🤣😂😂😂Umenikumbusha Rashidi yule, R. I. P
wewe binti una umri gani? ebu tuchangie mada bila mambo ya kitotoUkisema wanaccm ni mbwa utakua umekosea mnoo
Utakua hajatumia FASIHI ila umetukana
Nimewaacha, mbaki kwa amaniwewe binti una umri gani? ebu tuchangie mada bila mambo ya kitoto
basi ni mangese na wanarwafiUkisema wanaccm ni mbwa utakua umekosea mnoo
Utakua hajatumia FASIHI ila umetukana
Khabasi ni mangese na wanarwafi