Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

haya ndiyo maisha yetu mliyotuchagulia na tutayaishi kwa hii miaka 5.
Kaka Daudi!
Sio kwamba Maisha ni uchaguzi pekee, maisha ni pamoja na kukubali kutokukubaliana ili baadae tukubaliane hata kama ukuchagua au ulichagua.
 
Kaka Daudi!
Sio kwamba Maisha ni uchaguzi pekee, maisha ni pamoja na kukubali kutokukubaliana ili baadae tukubaliane hata kama ukuchagua au ulichagua.
yees ndiyo sasa ukubali kutokukubaliana na unachoamini wewe as long as hatufanyi personal attacks.
 
Huyu jamaa nikimwona au nikimsikia anazungumza napata kinyaa utafikiri sijui nimemwona shetani
 
😂😂😂Umenikumbusha Rashidi yule, R. I. P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…