antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kwani kutakuwa na wasanii wa bongo fleva humo?Rais Magufuli leo analifungua bunge la 12 rasmi kwa kulihutubia taifa.
Watanzania wameisubiri kwa hamu siku hii ili wamsikie kiongozi mkuu wa nchi baada ya ushindi mkubwa aliopata kwenye uchaguzi mkuu.
Tukio hili litakuwa mubashara kwenye runinga zote za ndani.
Maendeleo hayana vyama!
Hata jengo la bunge ni vema ikabadilishwa umiliki liwe la CCMKachaguliwa na nani? Sema rais wa ccm kuhutubia genge la waiba kura wa ccm
Title ya Uzi imewaita tu wanaosubiria hiyo hotuba??Unatafuta nini kwenye huu uzi kama huisubiri kwa hamu?
Hamia Kenya sasa kwenye demokrasia!., Unakaa hapa unafanya nini?Kwani kutakuwa na wasanii wa bongo fleva humo?
Kwanza akajifunze demokrasia huko Kenya
Maumivu yenu ya kushindwa uchaguzi ,hayatabadilisha kitu! Endeleeni kuweweseka!.Hata jengo la bunge ni vema ikabadilishwa umiliki liwe la CCM
Yaani upo nyuma ya keyboard ! Unachokiandika hata ukijui!.habari njema ipi? miradi mikubwa yote inakwama fedha za mikopo zimekauka. zaidi ya mipasho na ushambenga tu leo hakuna kitu.
hukijui sio ukijui, wewe ni kongoro kweliYaani upo nyuma ya keyboard ! Unachokiandika hata ukijui!.
Sipo huko hata sasa, lkn sifurahii huo utawala haramu wa kimabavu usio na ridhaa ya umma wa wapigakuraHamia Kenya sasa kwenye demokrasia!.,unakaa hapa unafanya nuni?
Karibu runingani bwashee!Upuuzi .
Wewe roho yako nzuri?Habari mpya ni maslahi ya watumishi wa uma
..
Kitu ambacho hawezi kizungumza.. Kutokana na roho yake mbayaa..
Andamana sasa au kamfuate huyo mwenye ridhaa akuongoze! si haukabilian na matokeo ,unasubiri nini?.Sipo huko hata sasa, lkn sifurahii huo utawala haramu wa kimabavu usio na ridhaa ya umma wa wapigakura
Dua la kuku!Mungu Baba fanya muujiza wako akiwa live apatwe na lolote ( ila abaki hai auone utukufu wako) liwe somo kwa ubaguzi na kuharibu umoja na ustawi wa taifa letu.Amina
Wabunge wa Tanzania!Anahutubia wabunge wa ccm.
Halmashauri kuu ya CCM sio bungeWabunge wa Tanzania!