Hotuba ya rais Uhuru G7 imekita kwenye kuonyesha kwamba Afrika kumekucha

Hotuba ya rais Uhuru G7 imekita kwenye kuonyesha kwamba Afrika kumekucha

Speech imetulia. Baada ya tanotena karibu Tanzania kugombea Urais kwa tiketi ya CCM. We need your wisdom and leadership.
 
Why are you excited about that? Kenya we have democracy and freedom of speech, people who oppose him will say whatever they have to say!! Maybe you don't understand, but followers of opposition will oppose him on whatever he does. That is Kenya!

And Kenyans are a hard lot to understand
Unajua kuna kadem kanaitwa mange kimambi hawezi kuongea hio matope yote kama ako tz ama katadissapear kama nay wa mitego
 
Speech nzuri kwa kweli. Amezungumzia Africa as a whole na kenya kwa undani Zaidi. Siyo kwenye utalii tu, amechange narrative kuwa tupo ready kushindana kwenye sectors nyingine.
Good one Uhuru, I can't hate on that.
 
Back
Top Bottom