Hotuba ya Tundu Lissu kwa Taifa yasubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi, Matumaini yatawala, Wachache waingiwa hofu

Tlaatlaah kaa chonjoo na mkulima wako mwamba anahotubia huko๐Ÿ˜†
karibu ugali gentleman,

inasemekana ati atarusha cheche? wakati mie ni moto, nimedharau sana hali hiyo,

but,
hata na hivyo,
as professional young and visionary politician siwezi kupuuzia nitafuatilia kwa karibu kama ni hotuba au malalamiko, na ili nipate nafasi nzuri kujibu upotishaji wowote ule ambao atajaribu kuwahadaa wadau wa JF na waTanzania kwa ujumla.

anahutubia kutoka ubeligiji kwa mabwenyenye yanayombackup au?๐Ÿ’
 
Lisu keshasema hataki CHAWA sasa ulizoea kutoa taarifa za Mbowe kichawachawa, unaanza kujiimbisha vijipambio pambio kwa Lisu. Baki na Mbowe wako umsaidie kulea wajuu
Huwa nafurahi sana ninapokutana na hoja kama hizi, ongeza juhudi
 
Asante kwa ugali
 
yaani mnajipa matyumaini ya vitu visivyowezekwnw huyo lissu kitu gania ataongea cha maana mpaka nchi imsikilize yeye yaani hapo mapopoma tu ndiyo yako busy kusubiri kumsikiliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ