Hotuba ya Tundu Lissu kwa Taifa yasubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi, Matumaini yatawala, Wachache waingiwa hofu

Hotuba ya Tundu Lissu kwa Taifa yasubiriwa kwa hamu kubwa na Wananchi, Matumaini yatawala, Wachache waingiwa hofu

Kwa mara ya Kwanza tangu Uhuru wa Tanganyika, Nimeshuhudia watu wengi wakihangaika huku na kule ili kukamilisha kazi zao mapema kwa lengo la kuwahi Hotuba ya kiongozi wa Upinzani.

Maofisi ya Serikali ndio yanayoongoza kuhangaika huku baadhi ya Wafanyakazi wakipanga kutoroka ili kuwahi Hotuba hiyo inayotajwa kutoa Mwongozo na Dira ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania.

Pamoja na Msisimko huo lakini lipo kundi dogo miongoni mwa Wananchi lililojawa hofu na wasiwasi kuhusiana na kitakachozungumzwa, Uchunguzi wetu umebaini kwamba kundi hilo dogo ni pamoja na familia za viongozi wakiwemo na Mashemeji zao walioko mkabala na Chawa wao, Bali haijajulikana hofu yao hiyo inatokana na nini.

Ngoja Tusubiri saa 10 jioni kwa saa za Nchini Tanzania.

View attachment 3234482
Wasafi Media
Kusaga tv
Jambo tv
MilardAyo
Chadema Media
Habari media
Mwanzo tv plus
Msomi News
The Chanzo
Mwanahalisi
VOT media
Wkili Tv
Icon Tv

Na wengine wengi wako Live kwa maelfu ya watazamaji.
 
Wasafi Media
Kusaga tv
Jambo tv
MilardAyo
Chadema Media
Habari media
Mwanzo tv plus
Msomi News
The Chanzo
Mwanahalisi
VOT media
Wkili Tv
Icon Tv

Na wengine wengi wako Live kwa maelfu ya watazamaji.
Hizo kwenu ndio mnaita tv?

Poleni
Hivyo vi youtube ndio.mnaita tv
 
Back
Top Bottom