Hotuba za Luhaga Mpina na Tundu Lissu, zimetuonyesha watanzania Umuhimu wa Katiba mpya Ili kuipata Tanzania mpya

Hotuba za Luhaga Mpina na Tundu Lissu, zimetuonyesha watanzania Umuhimu wa Katiba mpya Ili kuipata Tanzania mpya

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Ukweli ni kwamba ,hata uwe mwanaCCM kindakindaki kama una akili huwezi kufurahia mambo yanaendelea nchini.

Sasa CCM mtaamua wenyewe, Kuendelea kukumbatia 'Majuha' na kuwapuuza watu aina ya Mpina, Bashiru n.k Kwa kisingizio cha Sukuma Gang ili mwisho wa siku muwe ni sikio la Kufa.

Lissu yupo serious, hamna kipindi chochote ambacho tanzania ina upinzani wa kweli wenye uchungu ,uzalendo kama ilivyo sasa CHADEMA chini ya Lissu.

Hofu yangu Iko hapa Hivi Dola na CCM Ina uhakika kua Wagombea wa mkutano Mkuu , wanauzika? Hawajaingizwa kwenye mtego wa matumizi makubwa ya nguvu?.
 
Wasira amesema wananchi wana njaa hawawezi kula katiba

1000022857.gif
 
NCHI NZIMA HADI WATOTO WADOGO WANAJUA CCM WANAIBA KURA, HALAF WAO KWA WAO WANATOA RUSHWA KUPATA NAFASI YA KUGOMBEA AMBAPO WANAKUJA KUIBIWA KURA NA POLISI. HIVYO WANAANZA KUTOA RUSHWA KWA WAJUMBE, HALAF UCHAGUZI MKUU WANAIBA MANA HAWAWEZI KUTOA RUSHWA KWA WANANCHI WOTE
 
Ukweli ni kwamba ,hata uwe mwanaCCM kindakindaki kama una akili huwezi kufurahia mambo yanaendelea nchini.

Sasa CCM mtaamua wenyewe, Kuendelea kukumbatia 'Majuha' na kuwapuuza watu aina ya Mpina, Bashiru n.k Kwa kisingizio cha Sukuma Gang ili mwisho wa siku muwe ni sikio la Kufa.

Lissu yupo serious, hamna kipindi chochote ambacho tanzania ina upinzani wa kweli wenye uchungu ,uzalendo kama ilivyo sasa CHADEMA chini ya Lissu.

Hofu yangu Iko hapa Hivi Dola na CCM Ina uhakika kua Wagombea wa mkutano Mkuu , wanauzika? Hawajaingizwa kwenye mtego wa matumizi makubwa ya nguvu?.
Wananchi tayari wanahitaji KATIBA MPYA.

Wenye akili wote saivi wanataka Katiba Mpya.

Maombi saivi yaelekezwe tu TISS maana kule ndo kumejaa vilaza hamna mfano. Wakipata ukombozi wa fikra wale tu, kesho CCM hawana namna zaidi ya kukubali mchakato wa KATIBA MPYA.
 
Ukweli ni kwamba ,hata uwe mwanaCCM kindakindaki kama una akili huwezi kufurahia mambo yanaendelea nchini.

Sasa CCM mtaamua wenyewe, Kuendelea kukumbatia 'Majuha' na kuwapuuza watu aina ya Mpina, Bashiru n.k Kwa kisingizio cha Sukuma Gang ili mwisho wa siku muwe ni sikio la Kufa.

Lissu yupo serious, hamna kipindi chochote ambacho tanzania ina upinzani wa kweli wenye uchungu ,uzalendo kama ilivyo sasa CHADEMA chini ya Lissu.

Hofu yangu Iko hapa Hivi Dola na CCM Ina uhakika kua Wagombea wa mkutano Mkuu , wanauzika? Hawajaingizwa kwenye mtego wa matumizi makubwa ya nguvu?.
Hakuna mtu anaehangaika na hotuba maana hazimletei msosi.

Wanaotegemea maisha kwenye siasa ndio endeleeni na mambo ya Siasa
 
Back
Top Bottom