Tatizo hatujui unaongea tokea angle ipi,Mjasiriamali,mkata viuno,au mtumikia kafiri,tatizo hii nchi kila mtu anafoka,tambua kwa tamko hili unamalizwa kwa kila kitu ulichotegemea hata wewe.Mishahara Hakuna nyongezaaa woyoooooo...........
Jamani mama alishasema yeye na mwendazake ni kitu kimojaaaaa...... wafanyakazi vumilieni tuuu, kaahidi mwakani mambo yatakuwa poaaaaa.........