Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwa mpiganaji, hata huo ushindi alibahatisha tuMwaka huu angepigana mapambano mawili, hilo la mil 46 angepokea kisha angepigana tena miezi ya mwisho mwa mwaka kwa dau analolitaka yeye
Asante kama ni hivyo kwanini Mwakinyo avuliwe ubingwa kwa kukataa Ofa ya pambano?Mkuu jiulize hawa wasanii malipo ya shows zao kuna mtu huwa anapanga thamani yao?
Ada za uhamisho/usajili wa wachezaji wa mpira wa miguu je?
Nadhani ni suala la demand ya mwanamichezo husika kwa wakati huo na jinsi mapromota watakavyoona itawalipa kumpa kiasi anachotaka.
Daah bro kwan una miaka mingapi tangu uje duniani hadi unashindwa kujiongeza,Mkuu umeeleza vizuri lakini bado hujasema ni 'Nani' hasa ndio anapanga hio thamani? Je kuna mamlaka husika au ni yeye bondia au ni mapatano tu.
Yaani kwa mfano Mwakinyo aliposema hio hela ni ndogo alitumia vigezo gani kujua ukubwa wake,na hao waliotoa hio offer walijuaje ana thamani hio kiasi kwamba lazima akubali, Hapa bondi anawezaje kukwepa uonevu?
Je hakuna mamlaka inayosema kwamba kwa mapambano uliyopogana na upingwa uliochukua mpaka sasa dau lako linaanzia $ kadhaa hadi kadhaa,kwamba anaweza kupatana ndani ya kiwango tajwa?
Nenda kapigane ww ili ushinde kwa kubahatisha kama unadhani n rahisi hvy,Hakuwa mpiganaji, hata huo ushindi alibahatisha tu
Kama ni hivyo na iko wazi basi Mwakinyo alijimaliza yeye mwenyewe kukataa pambano hiloDaah bro kwan una miaka mingapi tangu uje duniani hadi unashindwa kujiongeza,
Em nambie ni nani waliopanga kuwa ukishinda mechi hata goli 1000 bado point ni 3 au goli 1 bado ni point 3.?
Ishu n kwamba kila mchezo una taasisi yake inayosimamia hvy wao ndio wanapanga taratibu zote kutokana na sheria walizojiwekea.
Mm nadhan yuko sahihi, sisi ambao hatupigani tukisikia 20m tunaona ni nyingi ila wenyewe wahusika wanaouona moto kwenye ulingo ndo wanajua thamani ya hy pesa.Kama ni hivyo na iko wazi basi Mwakinyo alijimaliza yeye mwenyewe kukataa pambano hilo
Mwakinyo iko akili mingi yule msouth angemtikisa ubongo bora alivyokataaHuyo Brendon ni namba moja Afrika Kusini katika uzito wake