pendochelsea
Member
- Mar 20, 2017
- 85
- 58
USALAMA UPO PANA MLINZI NA ENEO LENYEWE LINA AMANIUsalama vipi maeneo hayo mkuu?
ahahahahahahhaha acha kuogopesha watu wewehata kama ni buree hapana now Dom ni kama kibiti,
kwanza watu wasiojulijana wameshapatikanaKuna vyumba vinapangishwa Dodoma mjini, self contained, woodern syling board, no tiles but nice floor, water available in doors 24hrs, electricity (10,000/= kwa mwezi), bei 80,000/= kwa mwezi, kodi ya miezi sita nakuendelea. ukihitaji tuwasiliane.
umeona eeh
Nawewe unakaa hapo hapo?USALAMA UPO PANA MLINZI NA ENEO LENYEWE LINA AMANI
Hasa ule mtaa wa area D ndo hutakiwi kuishi kabisahata kama ni buree hapana now Dom ni kama kibiti,
ndioNawewe unakaa hapo hapo?
duu mimi nakaa area d mbona Amani tuHasa ule mtaa wa area D ndo hutakiwi kuishi kabisa
Sawa jirani nitakucheckndio
Kama ni area D au C hapanaUSALAMA UPO PANA MLINZI NA ENEO LENYEWE LINA AMANI
sio area d
ahahahahaha
Mwenzenu lisu anauliwa nyie mlikuwa wapi?duu mimi nakaa area d mbona Amani tu
Maeneo gani weka wazi. Chaduru,makole,area c,au hata mpunguzi,chang'ombe,msalato,iringa road.... Ama wapisio area d
Unaendana vipi na Avartar yako yaani hiyo picha uloweka. Ni kama 75%, 50% ama? Nataka kuzuia vyumba vyote baada ya majibundio