Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKUU MBONA YULE DADA KASEMA HUJAMTAFUTA?Sijapata mkuu wangu. Nazungushwa kwenye nyumba zipo location za ajabu tu.
Madalali ninaounganishwa nao wanakupeleka nyumba wanakwambia $2,500 per month, baada ya siku 4 wanakwambia imeshuka ni $1,500 na hata wanakuwa wamemwandaa landlord anasimamia same figure hataki kusikia kitu.
Wanakatisha tamaa
Nimepata PM toka kwa watu wawili tu. Za nyumbaMpaka muda huu PM za wadada wa jf zimeshajaa kwa mtoa mada
Check pmNatafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni au Mbezi Beach kwa bajeti ya Sh. 1,600,000 per month.
Nipo tayari kulipa kodi ya mwaka.
Kama kuna mwenye kuwa na nyumba ambayo angalau ina vyumba 4 na inaendana na bajeti hii nitashukuru.
acha tu best...!imebidi niangalie Mara mbilimbili nkawaza Kiwanja changu nashndwa kumalzia laki5 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]1,600,000 per month. Hii figure wengi tunaiandika tu ofisini wala hatujawahi kuifikiria kwenye bank account zetu, sasa kama wewe unalipia kodi kwa mwezi, heshma mkuu.
mwaka mzima uswahilini hiyoo...Duuuh kodi ya nusu mwaka hiyo
Hadi nakosa nyumba. Ujue bado ni kidogo (kwa viwango vya wenye nyumba zao)
Vidole havilingani mkuu, wakati wewe unawaza laki tano ya kiwanja kuna anaewaza milioni 5 za shopping Dubai.mwaka mzima uswahilini hiyoo...
na chengi inarudi!!
Sina maneno mengi njoo nikupe nyumba bahari beach. 0712464777Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni au Mbezi Beach kwa bajeti ya Sh. 1,600,000 per month.
Nipo tayari kulipa kodi ya mwaka.
Kama kuna mwenye kuwa na nyumba ambayo angalau ina vyumba 4 na inaendana na bajeti hii nitashukuru.
Na ukitaka za kununua zipo tu nyingi tu siku ukichoka kupanga nitafute nikupe nyumba nzuri itakayoendana na pesa yako 0712464777..... Maeneo tofauti tofauti ikiwemo mbezi, mbweni jkt, bahari beach, ununio , bunju, tegeta na kwenginekoNatafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni au Mbezi Beach kwa bajeti ya Sh. 1,600,000 per month.
Nipo tayari kulipa kodi ya mwaka.
Kama kuna mwenye kuwa na nyumba ambayo angalau ina vyumba 4 na inaendana na bajeti hii nitashukuru.
Kazi kwake sasaSina maneno mengi njoo nikupe nyumba bahari beach.]