House4Sale House for sale at Kibaha Mlandizi

uberimae fidei

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,679
Reaction score
4,283
Ina vyumba 4, viwili master bedroom.

Kiwanja kikubwa, square meter 1200

Umbali km 1 kutoka Morogoro road.

Umeme na maji vipo

Bei milioni 45
 

Attachments

  • IMG_20240310_175824_401.jpg
    1.2 MB · Views: 10
  • IMG_20240310_175510_784.jpg
    1.3 MB · Views: 14
  • IMG_20240310_175526_375.jpg
    1 MB · Views: 13
  • IMG_20240310_175735_467.jpg
    1.6 MB · Views: 12
Mlandizi iko ndani ya kibaha , na hata ofisi za hamshaur mpya za halmashaur ya wilaya kibaha zipo mbele kidogo ya mlandiz karibu na mto ruvu, zimejengwa mbele kidogo ya mlandiz
Sahihi kabisa
 
Kama vitu hujui uwe unanyamaza kiongozi...Mlandizi ni kata iliyo ndani ya wilaya ya kibaha
Uliyem-quote yuko sahihi; Mlandizi Kibaha na Kibaha Mlandizi ni vitu viwili tofauti. Heading ya uzi ni confusing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…