House4Sale House for sale Location mbezi beach Africana price Tsh 400 million Call+255717097905

Khaaaaa hiyo nyumba bei gani?
Sababu ipo mbezi au?
Nitaendelea kuishi tandika
 
Khaaaaa hiyo nyumba bei gani?
Sababu ipo mbezi au?
Nitaendelea kuishi tandika
Mbona ni bei nzuri trna nyepesi...
Hivyo ilivyo na location vinachangia chief....mbezi beach sio kwa mchezo mchezo
 
Khaaaaa hiyo nyumba bei gani?
Sababu ipo mbezi au?
Nitaendelea kuishi tandika
Nakubaliana na wewe, naona anaipenda nyumba yake, nyumba ni ya kawaida sana, inaonekana tayari built up space ni zaidi ya 50% ya eneo zima, na jinsi ilivyokaa huwezi kuibadilisha na kui upgrade, paving blocks za kizamani, nyumba yenyewe imechakaa, ukiniuliza bei labda 200m huko ulikoanzia hakuna watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…