House girl naye mwanamke

NATA

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2007
Posts
4,492
Reaction score
1,313
Ukicheza ataruka na mumeo
So......!
 
Mhesim sana huyu mtu
 
Thats not a defence. Mwanaume mwenyewe kama ni kicheche, kicheche tu hata ufanyeje! Mwanaume mwenye busara na anaejiheshimu hawezi fanya upuuzi huu ni bora akuache tu ili waoane kabisa.
 
Mh mbona imekaa kimitego hii thread?
 
mwanaume mzinzi mzinzi tu, na kama hg yupo kwenye kutafuta inakua shughuli!! ingawa kuna baadhi wanatabia nzuri na adabu sasa akili kichwani mwako unaishi nae vipi, pia mipaka yake ikoje. ni muhimu kumchunguza tabia ila kama mumeo mzinzi usiweke hg atamsololea tu
 
Thats not a defence. Mwanaume mwenyewe kama ni kicheche, kicheche tu hata ufanyeje! Mwanaume mwenye busara na anaejiheshimu hawezi fanya upuuzi huu ni bora akuache tu ili waone kabisa.

Mkuu kuna wanwake wanawadharau sana hawa watu
Lakini hawa pia ni binadam na ni wanawake kama wao na pia wengine wameweza hata kuwalipizia kwa kuwachukulia waume zao.
 
Kazi hizi zote afanye halafu asipewe zawadi ya ushindi kwa nini,...kufua,kupika,kuosha vyombo,kutenga chakula,kupasi nguo,kuogesha watoto,kudeki,kubrsh viatu, ...and so forth and so on..........cha kufanya kama hampendi achukue nafasi ni mjitahidi kufanya majukumu yenu ya msingi kama wake
 
So wat!!!! hata dada yako mwanamke pia...kwaiyo uendeleze libeneke kwa kila mwanamke tu!
s.... taipu!!!

House girl si dada yako!
 
Wazee wa Infiiii.............utawajua tu unatetea nini sasa hapo kwamba???
Kwanini useme aruke na Mumeo??
Hakuna wanaume nje wanaomtaka??
Yeye ni mwanamke kama mwanamke mwingine yoyote
Ana uhuru wa kupendwa na sio lazima achukue Mume wa mtu!!!!!!!
 
Thats not a defence. Mwanaume mwenyewe kama ni kicheche, kicheche tu hata ufanyeje! Mwanaume mwenye busara na anaejiheshimu hawezi fanya upuuzi huu ni bora akuache tu ili waone kabisa.
 
Wazee wa Infiiii.............utawajua tu unatetea nini sasa hapo kwamba???
Kwanini useme aruke na Mumeo??
Hakuna wanaume nje wanaomtaka??
Yeye ni mwanamke kama mwanamke mwingine yoyote
Ana uhuru wa kupendwa na sio lazima achukue Mume wa mtu!!!!!!!


Akutane nao wapi na yeye hatoki na mwanaume anayekutana naye ni huyo mumeo
 
[/COLOR]Akutane nao wapi na yeye hatoki na mwanaume anayekutana naye ni huyo mumeo

Acha umbea wewe hatoki ndani kawa utumbo yeye??
Alah acha kutetea uhuni tu..............
Wanaume woooooooooote hawaoni
huko anakokwenda madukani, sokoni, shule kuwachukua watoto hakuna wanaume acha zako bana alah
 
Reactions: mja
Haya, katika mambo kama haya ndio huwa nazishangaa akili za wanaume. Dah jihalalishieni tu, hata mama zenu nan si w
ni wanawake? Kama point ni UANAWAKE?
 
Haya, katika mambo kama haya ndio huwa nazishangaa akili za wanaume. Dah jihalalishieni tu, hata mama zenu nan si w
ni wanawake? Kama point ni UANAWAKE?

Aika RUA!
 
Acha umbea wewe hatoki ndani kawa utumbo yeye??
Alah acha kutetea uhuni tu..............
Wanaume woooooooooote hawaoni
huko anakokwenda madukani, sokoni, shule kuwachukua watoto hakuna wanaume acha zako bana alah

fimbo ya mbali haiui nyoka bana,.....by the way_nafikiri mama mwenye nyumba ndio anachangia kwa kiasi kikubwa mzee afanye hivyo,hasa pale anapomwachia kila kitu afanye msichana wa kazi,.....unasema alah aache nini
 
Yaani wewe unataka kuhalalisha ufuska na hsegal ?,
na mkeo akijihalalisha na hseboy je itakupendeza machoni pako?,
acha kuhalalisha haramu iwe halali wewe,
hsegal kwa mwanaume(boss) wake ni haramu,
vivyo hivyo hseboy kwa mwanamke (boss) ni haramu.

Ukitaka kufanya ufuska fanya nje ya nyumba yako,
ukiendekeza kufanya ufuska ndani ya nyumba yako ipo siku,
utafanya ufuska na watoto/dada/mama zako kwa kisingizio cha eti ni ''mwanamke'''

hsegal/hseboy atapata mpenzi ya nje ya nyumba anayofanyia kazi, lakin siyo ndani,
ni haramu,dhambi,kosa,shubiri ndani ya hiyo nyumba na jamii nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…