Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thats not a defence. Mwanaume mwenyewe kama ni kicheche, kicheche tu hata ufanyeje! Mwanaume mwenye busara na anaejiheshimu hawezi fanya upuuzi huu ni bora akuache tu ili waone kabisa.
Wazee wa Infiiii.............utawajua tu unatetea nini sasa hapo kwamba???
Kwanini useme aruke na Mumeo??
Hakuna wanaume nje wanaomtaka??
Yeye ni mwanamke kama mwanamke mwingine yoyote
Ana uhuru wa kupendwa na sio lazima achukue Mume wa mtu!!!!!!!
[/COLOR]Akutane nao wapi na yeye hatoki na mwanaume anayekutana naye ni huyo mumeo
Haya, katika mambo kama haya ndio huwa nazishangaa akili za wanaume. Dah jihalalishieni tu, hata mama zenu nan si w
ni wanawake? Kama point ni UANAWAKE?
Acha umbea wewe hatoki ndani kawa utumbo yeye??
Alah acha kutetea uhuni tu..............
Wanaume woooooooooote hawaoni
huko anakokwenda madukani, sokoni, shule kuwachukua watoto hakuna wanaume acha zako bana alah