Uchaguzi 2020 House of Representatives (H.Res 1120) on Tanzania

Rasilimali zipi? Ndo wanavyo wadanganya hao CCM wenu?
Hapo point ni moja tu. Kuruhusu makampuni yajichukulie raslimali .Lisu ni karai tu .beberu linatupenda sana hadi lisiwakamate wanaouwa wenzetu kwenye ardhi ya beberu hadi lisafiri maili zote kuja kutusikitikia
 
Ccm acheni kudanganya watu! Kila moja anajua Lissu ni mpiganaji wa kulinda haki za watu wake kwenye madini ndiyo maana alipambana na viongozi kama late Mkapa! Kwa hiyo acheni kuleta vihoja badala ya hoja!
Kulinda madini haina maana kuwa utukune mataifa yote na kuyaita beberu wakati kila ukiamka unaishia kuomba hao hao mabeberu!
Lissu anajua sheria na ni mtu mwenye integrity siyo sawa na hawa walaji. Ndiyo maana adui zake wameshindwa kuona kosa la kumpiga nalo majukwaani wamebakia kuja na vihoja vya madini na mengine ya kipuuzi!
 
Hahaha mgeweka na tafsiri ya kilumumba, uvcc a.k.a JESHI LA AKIBA wakiamka utasikia " mitano tena" hata huwa hawaelewi mada inahusu nini.
 
Hahaha mgeweka na tafsiri ya kulumumba, uvcc a.k.a JESHI LA AKIBA wakiamka utasikia " mitano tena" hata huwa hawaelewi mada inahusu nini.
Mkuu nimecheka Sana alfajiri yote hii!
Hao waimba pambio,buku7 wa Lumumba,tupia Uzi wa kiingereza!
 
Watanzania huwa hatuchaguliwi raisi na mtu yeyote wa nje tunaehukuru Marekani na Amsterdam kuonyesha kuwa Wana Mgombea wao wanayetaka awe Raisi wetu majibu tutawapa huyo Mgombea wao watanzania hatutampa kura kwa sababu yao.Ni heri wangeacha tu mchakato wetu uendelee hii interference Yao itamgharimu Mgombea wao Lisu na Chadema

Sisi tumetoka kwenye ujamaa we hate to the maximum international interference in our internal matters especially elections

Huyo mgombea wenu mpelekeni Marekani akagombee huko sisi hatumtaki

Mtanzania mswahili mwenzetu Magufuli tunampa mitano Tena nyie bakini na kingereza chenu na mwongea kingereza wenu mbelgiji Tundu Lisu
 
Hakuna watanzania watakaompa kura muuaji , mbaguzi na mwenye roho mbaya magufuli wako. Labda nyie warundi wenzake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…