Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Umetishaa,Nitalirudisha la Vinchii soon.
Wakati naanza kucheki GOT nilipomuona tu Jon snow hapo hapo nikamchagua kua my favorite character na sikukosea ndio akaja kua sterling. So mimi nimebet kwa Criston, natumaini atakuja kua mkubwa huko mbeleni japo kweye vitabu Rhynaera na Criston walikuja kua maadui.
Mwingine ninayemuangalia ni Laenor Velaryon mtoto wa Corlys. Ngoja tuone mbeleni huko
View attachment 2347308
Huyo jamaa me bado simuamini nahisi itakua katumwa na Baba yake Alicent amchunguze princess.Why umebadili jina?
Nimeelewa sasa ila mbona hatujaona makeke yake umemuwahi sana
Season 3 ishaanza tayari madamee..See si ishafika hadi ssn 2,
Au ziishe kivipi
Nyie jamaniiii sikua na habari,
Inawezekana ni spy,Huyo jamaa me bado simuamini nahisi itakua katumwa na Baba yake Alicent amchunguze princess.
Ewaaaa au Tbag [emoji1787]Thank you[emoji8][emoji8][emoji8]
Kama Geoffrey au Ramsey???
Yeah actors wanne watabalishwa wakikua Princess,Allicent na wale watoto wawili WA Corlys Valerion. Lakini mpaka Episode 5 au 6 ndo watabalishwa Queen na princessInawezekana ni spy,
Ngoja tuone me sijamuwekea akilini kabisa,
Kumbe Queen na Princess watakuja kukua yaani wataletwa wengine kuonesha wamekua wakubwa, ndio nimeona leo katika pita pita zangu
Naipa 9.0/10Ep 04
Rate: 7/10
Kuhusu usichana wa princess nadhani sio ishu sana, ndio maana king alimuagiza grand maester amletee ile dawa ya kutolea mimba.Ep 4
Rate 7/10,
Bado najiuliza ndio Daemon ana njaa ya utawala namna ile hadi am manipulate his niece [emoji849],
What will happen to Princess as Usichana wake umeondolewa na yeye ameficha ukweli huku Daemon amejibebesha lawama kua kamtoa yeye,
Nimependa King alivyomtoa his Hand yule Baba ana tamaa sana ya Throne ila nina mashaka usalama wa King utazidi kua mashakani,
Waiting for 5 ep.
Tuko pamojaMnanitamanisha ila ngoja niendelee kukomaa mpaka ziishe ndio ntazipakua zote kwa mpigo.
#MaendeleoHayanaChama
Uko sahihi sanaKuhusu usichana wa princess nadhani sio ishu sana, ndio maana king alimuagiza grand maester amletee ile dawa ya kutolea mimba.
To get rid of any unwanted consequences kitu kama hicho alisema, nadhani hakumaanisha usichana pale ila in case kapata mimba, wenda siko sahihi pia.
Daemon aisee kweli kama madaraka ni anayataka. Utadhani Loki.