Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
dah jamani hapo ndo mtu unapandwa na hasira kupitwa na kawaida,Na usikute usiku alimwambia mume wake amechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah jamani hapo ndo mtu unapandwa na hasira kupitwa na kawaida,Na usikute usiku alimwambia mume wake amechoka
Usihukumu haraka, si ajabu ni mumewe hampi dozi ya kumtulizaAngechomwa huyo Mwanamke ana mume, hatulii kwanini???? Mwenye kosa hapo Mwanamke mxiuuu mijitu mingine bhana ...
😞 😞 😵😱Duh, nimejikuta mwili wote unanisisimka...... na mali yako yote. Kisha wakuajiri kama house boy. Alafu ndio uwe unasikia kilio kwa mbaaali, cha mke wako 'akitumbuliwa jipu'. [emoji1]
😀😀😀Haha... Itaandikwa "Based on true story"...Boss, tufanye collabo tuandike script ya movie moja babkubwa ya Nollywood. [emoji38]
Dah! Dada zetu mna dhambi sana nyie. Ndio maana siku nilipoambiwa kichwa kinauma nilimjibu sawa, sitakugusa kichwa.Na usikute usiku alimwambia mume wake amechoka
[emoji1664][emoji1664]Na usikute usiku alimwambia mume wake amechoka
Angeheshimu ndoa yake jamani . Tamaa ni kitu kibaya ila madara yake ni makubwaUsihukumu haraka, si ajabu ni mumewe hampi dozi ya kumtuliza
Sad...... Hii imetokea wapi?
Hili ni tatizo kubwa,aliwahi kusema Mwl Nyerere kuwa Mtanzania ukitaka kumficha jambo muwekee kwenye maandishi tu lazima atapoteana.Nimeona kabisa ameelezea vizuri kuwa ni Kenya!!!
Tena penzi la house boy ni mumo kwa mumo kwenye self contained, watu wanasema Sky mtulivu hatoki ndani kwake. KumbeeHehehe haya mambo bana, kibarua asiishi karibu na kwangu na awe anakuja kazi nikiwemo, kama sipo aishie mbali.
La sivyo tumuajiri mwanamke, si wanawake mnasema mnaweza hata kazi za wanaume.
Tena penzi la house boy ni mumo kwa mumo kwenye self contained, watu wanasema Sky mtulivu hatoki ndani kwake. Kumbee
Mama anazaa mtoto anafanana na house boy lakini kitanda hakizai haramu. House girl akianza kutapika anapewa nauli arudi kwao.Hizi ndoa hizi, baba naye na kitambi chote anapatikana kwenye chumba cha dada wa kazi usiku anahema kweli kweli....
Mtoto wa Mfalme Helode, kumbuka uhanga ni janga kubwa sana. Ukiwa na uhanga hata mbuzi unaweza kumpanda. Tumsamehe tu ila tujifunze kujaribu kujikontroll tukipandwa na uhangaAngeheshimu ndoa yake jamani . Tamaa ni kitu kibaya ila madara yake ni makubwa
kujiendekeza tuuu, sikuzote tunapenda singizia shetani na mambo mengine yasiyo elelwekaMtoto wa Mfalme Helode, kumbuka uhanga ni janga kubwa sana. Ukiwa na uhanga hata mbuzi unaweza kumpanda. Tumsamehe tu ila tujifunze kujaribu kujikontroll tukipandwa na uhanga
Sawa tu kama mudawote unajifanya ukobusy na kidonda chakudumu hukisugui kutoa usaha,afanyaje
Maisha ya kibarua mmoja (house boy) katika Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya yako hatarini baada ya kuchomwa kisu na mwanaume ambaye alimkuta kitandani na mkewe.
Inadaiwa kuwa mume huyo alikuwa ameondoka nyumbani kuelekea kazini Jumatatu asubuhi, lakini akagundua alikuwa amesahau kitambulisho.
Hata hivyo, aliporejea nyumbani alishangaa kumkuta mfanyakazi huyo kitandani na mkewe, ndipo akapandwa na hasira na kuchukua kisu, akamdunga mikononi na sehemu nyingine za mwili, akimsababishia majeraha tele mwilini.
Mshukiwa alipiga mayowe akitafuta msaadaa, mayowe yake yaliwashtua wakazi wengi ambao walimwokoa na kumkimbiza katika hospitali ya binafsi ya White Rose, ambapo bado anatibiwa baada ya kushonwa majeraha.
Mume husika alikamatwa na polisi wa utawala eneo hilo na bado anazuiliwa akihojiwa, wakazi wakisema alikuwa karibu kumuua mfanyakazi huyo.
Uhanga kwa akinamama usiombe kusikia. Huoni hata hapa uhanga ukiwapanda akina Demiss katoto kazuri NAKWEDE n.k. wanavyoanzisha sredi zisizo na miguu wala kichwa za kiuhangakujiendekeza tuuu, sikuzote tunapenda singizia shetani na mambo mengine yasiyo elelweka
😁 😁 kweli mkuu ila dawa ni kujilinda na kuwa makini mtu asifike huko hasa ka anamtu wake. but exception zipo ila sipenddi ziteteaUhanga kwa akinamama usiombe kusikia. Huoni hata hapa uhanga ukiwapanda akina Demiss katoto kazuri NAKWEDE n.k. wanavyoanzisha sredi zisizo na miguu wala kichwa za kiuhanga