Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ikitokea tutajadili mkuuSema housegyal nije mkuu
Sawa niweke kipaumbele usisahauIkitokea tutajadili mkuu
Sawa haina shidaSawa niweke kipaumbele usisahau
Mshahara ni majadiliano. Kama unakidhi vigezo njoo pm
- Awe kijana asiyezidi miaka 22
- Awe anajituma kwenye kazi
- Awe na nidhamu
- Anayefanya kazi kwa kujisimamia mwenyewe
- Awe na elimu isiyozidi kidato cha nne
- Kazi yake ni kufanya usafi wa mazingira na kuhakikisha kila siku mazingira yako safi
- Awe ana upeo wa kuona mbali kibiashara kutokana na mazingira aliyopo
- Awe anashauku ya kujifunza vitu vipya hasa program za kompyuta n.k pale atakapotakiwa kujifunza
- Awe tayari pia kusafiri mkoa kwa mkoa pale atakapohitajika
- Eneo la kazi ni Dar es Salaam
mimi ni me mkuuEquation x - sema ukweli wako. Usicheke tu.
Ndio tatizo la kutumia a.k a na kitokuweka picha yakomimi ni me mkuu
ha ha ha nini maana ya balimarNdio tatizo la kutumia a.k a na kitokuweka picha yako
Unafichapo nini??
ha ha ha hakuna fomu mkuuNa fomu ya kujiunga bei gani?
mimi ni me mkuu
Huko uliko si ndiko kiwandani au unataka house girl kutokea dar?Nahitaji house girl wapendwa Niko njombe