Houseboy anahitajika

Houseboy anahitajika

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
  • Awe kijana asiyezidi miaka 22
  • Awe anajituma kwenye kazi
  • Awe na nidhamu
  • Anayefanya kazi kwa kujisimamia mwenyewe
  • Awe na elimu isiyozidi kidato cha nne
  • Kazi yake ni kufanya usafi wa mazingira na kuhakikisha kila siku mazingira yako safi
  • Awe ana upeo wa kuona mbali kibiashara kutokana na mazingira aliyopo
  • Awe anashauku ya kujifunza vitu vipya hasa program za kompyuta n.k pale atakapotakiwa kujifunza
  • Awe tayari pia kusafiri mkoa kwa mkoa pale atakapohitajika
  • Eneo la kazi ni Dar es Salaam
Mshahara ni majadiliano. Kama unakidhi vigezo njoo pm


Mrejesho
  • Ameshapatikana
 
Kwenye 22 ongezea mitatu Basi mkuu na elimu sogeza sogeza Basi hata ka bachelor tu.[emoji43]
 
Mkuu, Mbona kama unahitaji mtu zaidi ya housiboy, Unahitaji Mtu ambaye atakuwa na kazi nyingi sana sawa Personal Assistant. Au hujugandua kwamba ndicho unachotafuta? Hutaki mwenye elimu kubwa ila unataka mwenye skills nyingi,Embu ni tuendelee PM
 
Vigezo hivyo! Kama unatafuta future husband vile!
  • Awe kijana asiyezidi miaka 22
  • Awe anajituma kwenye kazi
  • Awe na nidhamu
  • Anayefanya kazi kwa kujisimamia mwenyewe
  • Awe na elimu isiyozidi kidato cha nne
  • Kazi yake ni kufanya usafi wa mazingira na kuhakikisha kila siku mazingira yako safi
  • Awe ana upeo wa kuona mbali kibiashara kutokana na mazingira aliyopo
  • Awe anashauku ya kujifunza vitu vipya hasa program za kompyuta n.k pale atakapotakiwa kujifunza
  • Awe tayari pia kusafiri mkoa kwa mkoa pale atakapohitajika
  • Eneo la kazi ni Dar es Salaam
Mshahara ni majadiliano. Kama unakidhi vigezo njoo pm
 
Back
Top Bottom