muoga wa jf
Senior Member
- Jun 27, 2016
- 198
- 224
- Thread starter
-
- #41
Sasa wewe unataka niini mukuuAnakulazimisha au wew ndo unataka kuhalalisha hilo zoezi wew na huyo beki 3 wako. Cjawahi ckia beki 3 akililazimsha ngono labda kwa hii serikali ya magu maana mambo mengi yamebdlika .Ila mapnzi na house gel huwa yamuachi mtu salma hata ukitumia salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiamini kila kiandikwacho mitandaoni, anaweza kuandika ana 47years kumbe umri wake halisi ni 15yearsMmh. Ukishaona mtu anakuja kutaka ushauri kwa kitu kilicho wazi lazima hapo kuna namna kama hajamla tayari basi yuko mbioni.
Kigumu nini hapo hadi utake ushauri khaa.
47yrs [emoji15] [emoji15] lol.
huyu ni wa kumpuuza hapendagi kufanya mapenzi kama post yake Wakuu mimi sipendagi kufanya mapenzi..Eti ngoja niende kwa mada huyu hausigel wetu ananilazimisha tudoo mimi nimemwambia sitaki kila siku anakuja chumbani kwangu hadi anakera...msaada nifanyaje sasa au nimwambie mama si ndivyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwambie akuandikie barua ya kiapo na aseme kuwa kwa akili zake zote, nguvu zake zote na moyo wote amedhamilia kufanya mapenzi na wewe, atakutunzia siri na hutahusika na mimba yoyote itakayotokea. Hapo mkuu utakuwa salama, copy moja mpe mama na nyingine weka humu jf Ova
ndo maana nakupendaga!NUNUA CONDOM
ha hahahahahaha eti wali mchachu?ndo maana nakupendaga!
hili lishambalishamba linatuharibia sifa vijana et linamwambia kbs sitaki!! duh! kuna ule usemi mgaa gaa na upwa hali wali mkavu sasa huyu kitu kimemgaa gaa but hollaa! lkn huyu hata wali mchachu hataupata