shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Bosi sikiliza nikuambie, intelijinsia ya wenzetu iko juu sana. Kinachotokea sisi watu wetu hasa wanasiasa wanafikika bei. Naishia hapoEnzi zimebadilika sana.Tulivyokuwa zamani sio sasa.Wazungu hawana tena njia ya kutukalia juu yetu kwa kila kitu.
Angalia habari za Afrika Magharibi ndio utajua ukweli.
Yemen ingekuwa ni kama ya enzi za mababu basi kweli wangekuwa wamekaa kimya.Lakini wana kambi zao ndani ya milima ndio maana Marekani wanatumia gharama kubwa sana kwa mafanikio madogo.
Hao unaowaita waja wa mnyazi mungu wakisema tunafia imani HAKUNA JESHI LA WEST LINAWEZA KUPONA.Chief! Najua unajua kwa dhati kwamba, hao mashoga unaowaita wewe wakiwaamlia hao waja wa mnyeezi mungu, wiki moko tu wanafutika kabisa
Ni vizuri kuwaombea ili mnyaazi mungu awafungue akili waislamu wenzetu ili wathamini utu wao na maisha yao
Ndivyo unavyojidanganya!?Kinachonifurahisha ni kuwa hao mashujaa tangu wabondwe na baba la middle east hawajarusha hata jiwe
Hivi wewe hata nani alikuonyesha JF?unahoroja tu hapa.Tuliwaambia humu wachafuzi uchwara wakabisha
Siku namsikia yule general sijui wa sent com sijui ndio wapi nlimuonea huruma
Analalama kwamba majamaa hawawawezi
Sasa nikajiuliza kama sisi huku jf tulijua awali kama hawawawezi sasa wao walikua wapi kugundua hili suala namapema?
Haya nikiwa simuwezi house girl wako ndio nakufa?Hivi wewe hata nani alikuonyesha JF?unahoroja tu hapa.
Kwa hoja zako una kiwango cha chini sana cha elimu hata housegirl wangu humuwezi.
Jiangalie
Unadhani makafiri na hao mashoga wangekua na huo uwezo wangewaachia haoChief! Najua unajua kwa dhati kwamba, hao mashoga unaowaita wewe wakiwaamlia hao waja wa mnyeezi mungu, wiki moko tu wanafutika kabisa
Ni vizuri kuwaombea ili mnyaazi mungu awafungue akili waislamu wenzetu ili wathamini utu wao na maisha yao
Ukiongea kingereza ndio uonekane nini yaani?Nyie ndio mnaishia kupigika, mtalipa mafuta bei mara tatu sio muda mrefu, Houthi msiba wao unakaribia wanawawekea mpango ulioshiba ili kuwafuta once and for all, hamna akili nyie
Ushapokea baraka?Kama alivyokufa choko mudi [emoji1787]
Nikiwasema mashoga na wasagaji wenzio hua unaumia sanaAlafu uweZi kuongea bila kutaja mashoga unapenda sana habar za mashoga maku wewe ya mama ako...mngese
Pole kijanaWahouth wanatakiwa wapigwe hata na nuklia ndio akili zitawakaa wanafujo sana hapo baharini
Na hui ndio ukweli wenyewe ambao wengi hawataki kuusema ama hawaujuiWahouthi wana morali ya juu sana katika vita wakati unapambana nao Ili uokoe maisha yako wao wanapambana Ili wafe
Kuna wakati walikuwa wanachangiwa na mataifa kadhaa ya kiarabu ikiwemo Saudi Arabia, UAE na USA lakini waliweza survive. Hii imewakomaza na kuwapa experience kubwa sana na kuwafanya waone wanaweza ni kama Ile vita ya Iran-Iraq ilivyowakomaza Iran
Wana over 90% support ya wananchi wa Yemen na ndio nchi yenye mpaka mkubwa na Saudi Arabia. Mara ya mwisho visima vya mafuta viwili vikubwa vya Saudia vilivyoripuliwa inaonekana wao ndio waliohusika kwa kiasi kikubwa
Inavyoonekana uoga ushawatoka na wanaona adui anapigika kirahisi
Ila bado nchi yako maskini zaidi kuliko yemen 😀Yemen ndio nchi maskini zaidi mashariki ya kati
Ndio maana kila siku hapa JF kuna wawakilishi wanataka hivi vita vya Gaza na Palestina ijapokuwa wanaingia msikiti wa Alaqswa na kufanya uharibifu na mauwaji kwa waislamu lakini wanataka ionekane ni vita vya kugombea ardhi tu.Hao unaowaita waja wa mnyazi mungu wakisema tunafia imani HAKUNA JESHI LA WEST LINAWEZA KUPONA.
Ukitaka mifano ya vita nakutolea.
Hao wazungu wenyewe wanakwambia ni ngumu kushinda vita dhidi ya mtu anayeamini kufia imani.
Refer Somalia,hao USA walienda full mkoko na silaha kibao na walijizatiti ila Farah Aidid alichowafanya Yesu na Maria hawapendi.Ogopa sana hao jamaa wakisema TUNAPIGANIA IMANI YETU.
Hujui kama kuna bandari imefilisika kwa kukosa mizigo kisa houthi, na hadi leo red sea haipitikiKinachonifurahisha ni kuwa hao mashujaa tangu wabondwe na baba la middle east hawajarusha hata jiwe
Imani ya hovyo ya mnyazi,Hao unaowaita waja wa mnyazi mungu wakisema tunafia imani HAKUNA JESHI LA WEST LINAWEZA KUPONA.
Ukitaka mifano ya vita nakutolea.
Hao wazungu wenyewe wanakwambia ni ngumu kushinda vita dhidi ya mtu anayeamini kufia imani.
Refer Somalia,hao USA walienda full mkoko na silaha kibao na walijizatiti ila Farah Aidid alichowafanya Yesu na Maria hawapendi.Ogopa sana hao jamaa wakisema TUNAPIGANIA IMANI YETU.
Wamefanya nini?Ndivyo unavyojidanganya!?
Katizame habari baada ya kushambuliwa siku moja mbele walifanya nini.Wamefanya nini?
Hilo ni juu yako.Imani ya hovyo ya mnyazi,
.Yaani majamaa yanapambana kusaka bikra