Houthi kufanikiwa kuzamisha meli ya tatu kabla Vita vya Gaza kusitishwa

Houthi kufanikiwa kuzamisha meli ya tatu kabla Vita vya Gaza kusitishwa

Enzi zimebadilika sana.Tulivyokuwa zamani sio sasa.Wazungu hawana tena njia ya kutukalia juu yetu kwa kila kitu.
Angalia habari za Afrika Magharibi ndio utajua ukweli.
Yemen ingekuwa ni kama ya enzi za mababu basi kweli wangekuwa wamekaa kimya.Lakini wana kambi zao ndani ya milima ndio maana Marekani wanatumia gharama kubwa sana kwa mafanikio madogo.
Bosi sikiliza nikuambie, intelijinsia ya wenzetu iko juu sana. Kinachotokea sisi watu wetu hasa wanasiasa wanafikika bei. Naishia hapo
 
Chief! Najua unajua kwa dhati kwamba, hao mashoga unaowaita wewe wakiwaamlia hao waja wa mnyeezi mungu, wiki moko tu wanafutika kabisa

Ni vizuri kuwaombea ili mnyaazi mungu awafungue akili waislamu wenzetu ili wathamini utu wao na maisha yao
Hao unaowaita waja wa mnyazi mungu wakisema tunafia imani HAKUNA JESHI LA WEST LINAWEZA KUPONA.
Ukitaka mifano ya vita nakutolea.
Hao wazungu wenyewe wanakwambia ni ngumu kushinda vita dhidi ya mtu anayeamini kufia imani.
Refer Somalia,hao USA walienda full mkoko na silaha kibao na walijizatiti ila Farah Aidid alichowafanya Yesu na Maria hawapendi.Ogopa sana hao jamaa wakisema TUNAPIGANIA IMANI YETU.
 
Tuliwaambia humu wachafuzi uchwara wakabisha

Siku namsikia yule general sijui wa sent com sijui ndio wapi nlimuonea huruma

Analalama kwamba majamaa hawawawezi

Sasa nikajiuliza kama sisi huku jf tulijua awali kama hawawawezi sasa wao walikua wapi kugundua hili suala namapema?
Hivi wewe hata nani alikuonyesha JF?unahoroja tu hapa.
Kwa hoja zako una kiwango cha chini sana cha elimu hata housegirl wangu humuwezi.
Jiangalie
 
Hivi wewe hata nani alikuonyesha JF?unahoroja tu hapa.
Kwa hoja zako una kiwango cha chini sana cha elimu hata housegirl wangu humuwezi.
Jiangalie
Haya nikiwa simuwezi house girl wako ndio nakufa?

Au wewe ndio house girl mwenyewe kijana

Pole lakini inaonekana una msongo wa mawazo yaani koment yangu hapa imekutoa povu lote hili

Ila usijali kuanzia j5 unaweza ukawa hunioni kwa muda kama wa miezi miwili au mitatu au usionione sana nahisi utakaa sawa

Au ramba ndimu utakaa sawa
 
Chief! Najua unajua kwa dhati kwamba, hao mashoga unaowaita wewe wakiwaamlia hao waja wa mnyeezi mungu, wiki moko tu wanafutika kabisa

Ni vizuri kuwaombea ili mnyaazi mungu awafungue akili waislamu wenzetu ili wathamini utu wao na maisha yao
Unadhani makafiri na hao mashoga wangekua na huo uwezo wangewaachia hao

Yaani hilo suala musahau kabisa wanatamani ila hawawezi hilo lipo ndani ya uwezo wa Muumba pekeee
 
Nyie ndio mnaishia kupigika, mtalipa mafuta bei mara tatu sio muda mrefu, Houthi msiba wao unakaribia wanawawekea mpango ulioshiba ili kuwafuta once and for all, hamna akili nyie
Ukiongea kingereza ndio uonekane nini yaani?

Kila siku mpango mpango mpango mpaka lini?

Wewe mwenye akili sikujui lakini nna uhakika umenizidi nywele tu na ufupi pole kijana
 
Alafu uweZi kuongea bila kutaja mashoga unapenda sana habar za mashoga maku wewe ya mama ako...mngese
Nikiwasema mashoga na wasagaji wenzio hua unaumia sana

Ila tukana weee kukusemeni sitoacha mashoga na wasagaji munatakiwa muekwe kwenye shimo kuubwa

Mfano dar nzima iwe shimo halaf lijazwe mamba mule mumiminwe mmoja mmoja mufe wote shenzi taipu halaf wewe ndio unatakiwa uongoze wenzio
 
Wahouthi wana morali ya juu sana katika vita wakati unapambana nao Ili uokoe maisha yako wao wanapambana Ili wafe
Kuna wakati walikuwa wanachangiwa na mataifa kadhaa ya kiarabu ikiwemo Saudi Arabia, UAE na USA lakini waliweza survive. Hii imewakomaza na kuwapa experience kubwa sana na kuwafanya waone wanaweza ni kama Ile vita ya Iran-Iraq ilivyowakomaza Iran
Wana over 90% support ya wananchi wa Yemen na ndio nchi yenye mpaka mkubwa na Saudi Arabia. Mara ya mwisho visima vya mafuta viwili vikubwa vya Saudia vilivyoripuliwa inaonekana wao ndio waliohusika kwa kiasi kikubwa
Inavyoonekana uoga ushawatoka na wanaona adui anapigika kirahisi
Na hui ndio ukweli wenyewe ambao wengi hawataki kuusema ama hawaujui

Yemen kwao kufa wakiwa wanapigania haki zao ni ushujaa ulioje nandio maana jamaa hawaogopi na wanatamani siku hao NATO na wenzo wajichanganye watie boot kwa ground

Watu ukiwaambia ukweli kama huu wanakuja juu jiandae kutukanwa ndugu au kuitwa gaidi
 
Kinachonifurahisha ni kuwa hao mashujaa tangu wabondwe na baba la middle east hawajarusha hata jiwe
Sijui umesemaje hapo.Kwa sababu hiyo meli imepigwa na makombora mfululizo mpaka imeripuka na mabaharia kuhamishwa.
 
Hao unaowaita waja wa mnyazi mungu wakisema tunafia imani HAKUNA JESHI LA WEST LINAWEZA KUPONA.
Ukitaka mifano ya vita nakutolea.
Hao wazungu wenyewe wanakwambia ni ngumu kushinda vita dhidi ya mtu anayeamini kufia imani.
Refer Somalia,hao USA walienda full mkoko na silaha kibao na walijizatiti ila Farah Aidid alichowafanya Yesu na Maria hawapendi.Ogopa sana hao jamaa wakisema TUNAPIGANIA IMANI YETU.
Ndio maana kila siku hapa JF kuna wawakilishi wanataka hivi vita vya Gaza na Palestina ijapokuwa wanaingia msikiti wa Alaqswa na kufanya uharibifu na mauwaji kwa waislamu lakini wanataka ionekane ni vita vya kugombea ardhi tu.
 
Hao unaowaita waja wa mnyazi mungu wakisema tunafia imani HAKUNA JESHI LA WEST LINAWEZA KUPONA.
Ukitaka mifano ya vita nakutolea.
Hao wazungu wenyewe wanakwambia ni ngumu kushinda vita dhidi ya mtu anayeamini kufia imani.
Refer Somalia,hao USA walienda full mkoko na silaha kibao na walijizatiti ila Farah Aidid alichowafanya Yesu na Maria hawapendi.Ogopa sana hao jamaa wakisema TUNAPIGANIA IMANI YETU.
Imani ya hovyo ya mnyazi,
.Yaani majamaa yanapambana kusaka bikra
 
Back
Top Bottom