How a man should love a woman!

......He!he!he! naniangusha sasa unakuwa kama mzee wa Fuso......huoni hapo juu Mr.........
.......!

Hapo baaas tukutane jumamosi makambakoo! I love this...mi nilikuwa naangalia tu

..when a ma loves a woman,,,.....dah
 
Hapo baaas tukutane jumamosi makambakoo! I love this...mi nilikuwa naangalia tu

..when a ma loves a woman,,,.....dah

Mzee K

Fikisha salaam kwa Mzee wa Estonia, Nadhani ameishafika na zawadi yake kwenye FUSO.....kila laheri
 
Masa, mbona umeharibu tena thread yako? The arguments were very interesting from the beginning lakini mkaanza kuharibu kwenye page ya sita....
 

doh! nilikuwa sijapiia huku. tangu lini umekuwa mchungaji? Bwana apewe sifa!
 
Masa, mbona umeharibu tena thread yako? The arguments were very interesting from the beginning lakini mkaanza kuharibu kwenye page ya sita....

Hii ni JF ndugu yangu, kwenye msafara wa Mamba na Kenge wamo....I can see mazee
 
enyi wake. watiini waume zenu...asema Bwana wa Majeshi
 
Mlienda kutaka usawa, wakati kumbe maandiko yalishasema mimi(Mwanaume) nitakuwa juu!!!
Bado pia kwani walisema wanaume wote watakuwa chini na wanawake ndo watakuwa juu!!!eleweni na muache ubishi, yote haya yalifanyika kupunguza unyanyasaji wa wanawake dhini ya wanaume uliokuwepo. Wote sisi ni binadamu tuna mwili, roho n.k. kwa nini kunyanyasa mwenzio kwasababu tuu eti ni MWANAMKE! na je imeandikwa wapi wanawake ni wa kunyanyaswa. Hio ndo iliokuwa sababu ya ule mkutano wa Beijing.
 

ndoto za mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
...😀

NL jinsi ulivyokusanya 'evidence' lol, ...ama kweli, "how a man should love a woman"

....Masa boy kapofuliwa na Mzenj so haoni wala hasikii, ilibidi nimkusanyie vile labda angeweza kuona.....
!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…