Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
- Thread starter
- #21
hahahahahahaha!una mistrari Geof... mimi pia nimemis kukuona kwenye forum flan ..... i rilly miss u.
Sasa mbona hujatutaja watu ya nairobi yaani D5, Kimey na Edson!
haha haaa, ngoja nitoke nje naskia miluzi sijui gari la mshahara limepita.
MUTU -YA -NAIROBAREEEEEEEEE MU-PAP'AAAA EDSON WA JF?
hivi huyo kiumbe yupo?
mpe shavu sana mwambie pamojaaaaaaaaaz
halafu zile picha mliahidi mtanipa na mimi nitawapa zangu ofcourse
halafu project yako ni june......
hahahaha!ngoja nitawapandia hewani ninyi