hahahahahahaha!una mistrari Geof... mimi pia nimemis kukuona kwenye forum flan ..... i rilly miss u.
Sasa mbona hujatutaja watu ya nairobi yaani D5, Kimey na Edson!
haha haaa, ngoja nitoke nje naskia miluzi sijui gari la mshahara limepita.
hahahahahahaha!
MUTU -YA -NAIROBAREEEEEEEEE MU-PAP'AAAA EDSON WA JF?
hivi huyo kiumbe yupo?
mpe shavu sana mwambie pamojaaaaaaaaaz
halafu zile picha mliahidi mtanipa na mimi nitawapa zangu ofcourse
halafu project yako ni june......
hahahaha!ngoja nitawapandia hewani ninyi
poa poa mkuu!Haha haa 2po mpwa, zile pics ninazo tele kwenye pc yangu kama vipi nitaku inbox usikonde, project yangu ni July 31 mpwa, wakumbushe wanajamvi man.
Pamoja sana, JF 1lv.
Tuwasiliane ili nikulink nae naona umemmiss kweli kweli
kwanini ugome?Kama hufurahishwi na kitu unagoma... Waalimu wa Vyuo Vikuu wanagona, Wanafunzi wanagoma, Waalimu wanagoma... sasa wana JF mnashindwa nini kugoma??
kwanini ugome?
kwani ni lazima u-surf jf?
sisi tunaipenda sana jf ndo maana tunajaribu kutafuta sana namna ya ku-kopu nayo
i miss everybody here,
i really miss wapwaaz(ORIGINAL NA CHIPOLOPOLO)
i really miss my strong pillers
i really wish to turn back the hands of time AND GO BACK TO THE ORIGINAL JF
i really wish to get what i used to get sometimes back
i really wish to see carmel posting something
i really wish to see x-pin posting something
i really wish to see game theory posting them threads again and again
i really wish to see bht doing it again and again herein
i really wish to see .................
hahahahaha!believe me or not ni kwamba kuna SUDDEN CHANGES HAPA JF ambazo zinanikata stimu hadi naogopa
wapi mupap'aa fidel80?
wapi hommie next level
wapi kaizer wapi bigirita?
wapi maralia i mean klorokwin?
wapi maskini jeuri?wapi pearl wapi js?
wapi mutu ya watu gp?
how can i live WITHOUT YOU GUYS?
haaaaa
Mmh!
bheeeee!
MWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEH!
wapi balantanda?
wapi SIKONGE?
wapi wapi wapi?
bheeeee!
MWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEH!
wapi balantanda?
wapi SIKONGE?
wapi wapi wapi?
wapi AK???? .................niko hapa pembeni!!!!!!!!!!!........... nachungulia chungulia tu kiaina...... JF mpya inanipa shida kuizoa...................... wenye nyumba wamegoma kusikiliza ushauri wa wapangaji!!!!!!!!!...............
Gademu!
wapi kitila mkumbo?
zitto?
masaka?
ama?
dilunga?
sikonge?
wapwa chipolopolo?
we acha tu!dah DN hwa sijui wapi kwa kweli afu wote at once!!!!!!!!!!!!!