How and why is the Christian last supper depiction got anything to do with Olympics?

How and why is the Christian last supper depiction got anything to do with Olympics?

Wengajiribu hivyo kwa kina FaizaFoxy waone moto
Tunatoa jicho
Screenshot_20240727_134937_Google~2.png
 
Unahangaika sana aisee. Umefungua li uzi lingine kule unaona haliendi umefungua tena kwa concepts zile zile

Acha kuhangaika kwa yasiyo kuhusu wala kuwa na impact kwako.
 
That Da Vinci picture has got nothing to do with the last supper and Christianity. It was just a piece of art from a white person.

JESUS WAS NEVER WHITE.
The problem is not with the picture, but with the content it presents
 
Unahangaika sana aisee. Umefungua li uzi lingine kule unaona haliendi umefungua tena kwa concepts zile zile

Acha kuhangaika kwa yasiyo kuhusu wala kuwa na impact kwako.
Hapa ni international forum, kule ni jukwaa local...

Pia nilianza kuandika hapa, ndipo nikaona ni vyema kuandika tena kwa lugha ya nyumbani
 
Kujifurahisha katika imani za watu. Je, ni sahihi ?
Nikuulize mkuu!!!

Mimi kama Mkristo au wewe kwa Imani yoyote uliyo nayo hiyo picha inakuumiza nini?kuna vitu siyo vya kuvichukulia maanani sana kama wametenda dhambi zipo dhambi tunazitenda zaidi ya hiyo unayoona wametenda wao so stick na imani yako imani haiishi kwenye picha imani inaishi kwenye mioyo ya waamini.
 
Nikuulize mkuu!!!

Mimi kama Mkristo au wewe kwa Imani yoyote uliyo nayo hiyo picha inakuumiza nini?kuna vitu siyo vya kuvichukulia maanani sana kama wametenda dhambi zipo dhambi tunazitenda zaidi ya hiyo unayoona wametenda wao so stick na imani yako imani haiishi kwenye picha imani inaishi kwenye mioyo ya waamini.
Kuna mahali nimesema naumia ?
 
Okay.

Dhehebu gani wewe ?
Siamini kwenye madhehebu, naamini kwenye ukweli uliopo katika neno la Mungu. Kanisa lolote linalofundisha/hubiri hiyo kweli hilo ni kanisa la Mungu na hapo ndipo naweza kwenda kusali.

In short I am a Devoted Christian.
 
Kuna mahali nimesema naumia ?
Post niliyoku-quote uli-sound kimaumivu ndiyo maana nikasema nilichosema,huwezi wewe ukaona kwa kuchorwa picha fulani ni kosa huku unatenda makubwa zaidi ya mchora picha.
 
Siamini kwenye madhehebu, naamini kwenye ukweli uliopo katika neno la Mungu. Kanisa lolote linalofundisha/hubiri hiyo kweli hilo ni kanisa la Mungu na hapo ndipo naweza kwenda kusali.

In short I am a Devoted Christian.
Kanisa gani hilo ?
 
Back
Top Bottom