How come a Professional Doctor wa MOI awe mganga wa kienyeji? (Kisa cha mganga wa kienyeji wa Chasimba)

How come a Professional Doctor wa MOI awe mganga wa kienyeji? (Kisa cha mganga wa kienyeji wa Chasimba)

Huyo dactar anapigiwa sana promo na dj mark...

Oky kiufupi huku chasimba unaposemea ni pale mbagala majumatitu una kunja kushoto unafata ile barabara mpka kule maturumbanga au chasimba ya wapi mkuu
Hata mimi nimeshangaa kumbe na boko nako kuna cha simba mi naijua ya mbagala tu.
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
tea_mobama-_012515064953.jpg
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.💪🏿
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
Madaktari wengi ni waumini wakubwa wa nguvu za giza/asili nina mifano hai na wamesaidia wengi sana
Wakati nikiwa mganga wa kienyeji nilifanya nao Kazi kwa karibu sana na wengine walikuwa wateja wangu
Kundi kingine ni viongozi wa dini
 
Madaktari wengi ni waumini wakubwa wa nguvu za giza/asili nina mifano hai na wamesaidia wengi sana
Wakati nikiwa mganga wa kienyeji nilifanya nao Kazi kwa karibu sana na wengine walikuwa wateja wangu
Kundi kingine ni viongozi wa dini
Viongozi wa dini kwenye ibada zao hawapiga majungu waganga na kawaonya kondoo wasiende huko kumbe wao nao wanaendaga huko? Hufata huduma zipi hasa?
 
Kuna mzee mmoja anaitwa mzee Kassim, anajiita Dr. Kuna siku niliona anapewa shavu kwa ajili ya kunyoosha watoto mifupa iliyopinda. Hii ilinishangaza manesi wa Muhimbili wanamuita kufanya hii kazi, sijui kasomea wapi.

Huyu father anayejiita Dr Kassim anapatikana Arusha mostly ila anasafiri kila mkoa - 0765552555. Bahati nzuri number zake za simu nilinote sehemu

Mwaka jana baba yangu mdogo aliangukiwa na gogo la mti mguu ukavunjika twice.
Alipoenda hospital alifanyiwa x ray na akaambiwa inahitajika afingwe hogo.
Watoto wake wakadai hospital ni expensive kuna mama dakatri Kibaha anafinga Hogo less charges. Basi nilipowapa, walienda kwa huyo mama akamfunga. Na wengi wanadai huyo mama anatibu kwa dawa za kienyeji mguu unaunga mapema kuliko hospitali

Wasiwasi wangu ni kuwa baba mdogo angepata matatizo zaidi, cha ajabu alianza kutembelea ule mguu kwa kuukanyagia kabisa in 3 days. Nikaamini hapa kapona
Dah zile dawa za kienyeji zilipoosha akawa analalamika majmivu two weeks later hapo tumemsafirisha akaponee Rombo
Kule Rombo kwenda hospital kupiga x ray kumbe ule mguu ulivunjika twice.
Cha ajabu hakuwa anasikia maumivu
Hizi dawa za kienyeji huwa zinanishangaza sana kwa kweli......
 
Kuna mzee mmoja anaitwa mzee Kassim, anajiita Dr. Kuna siku niliona anapewa shavu kwa ajili ya kunyoosha watoto mifupa iliyopinda. Hii ilinishangaza manesi wa Muhimbili wanamuita kufanya hii kazi, sijui kasomea wapi.

Huyu father anayejiita Dr Kassim anapatikana Arusha mostly ila anasafiri kila mkoa - 0765552555. Bahati nzuri number zake za simu nilinote sehemu

Mwaka jana baba yangu mdogo aliangukiwa na gogo la mti mguu ukavunjika twice.
Alipoenda hospital alifanyiwa x ray na akaambiwa inahitajika afingwe hogo.
Watoto wake wakadai hospital ni expensive kuna mama dakatri Kibaha anafinga Hogo less charges. Basi nilipowapa, walienda kwa huyo mama akamfunga. Na wengi wanadai huyo mama anatibu kwa dawa za kienyeji mguu unaunga mapema kuliko hospitali

Wasiwasi wangu ni kuwa baba mdogo angepata matatizo zaidi, cha ajabu alianza kutembelea ule mguu kwa kuukanyagia kabisa in 3 days. Nikaamini hapa kapona
Dah zile dawa za kienyeji zilipoosha akawa analalamika majmivu two weeks later hapo tumemsafirisha akaponee Rombo
Kule Rombo kwenda hospital kupiga x ray kumbe ule mguu ulivunjika twice.
Cha ajabu hakuwa anasikia maumivu
Hizi dawa za kienyeji huwa zinanishangaza sana kwa kweli......
Ajengewe mnara mrefu ambao utakuwa na hospital ndani yake
 
Shukuru kijana wako amepona hayo mengine yaache inshort nikama ndio unataka sababisha conflict of interest hapa haitakuwa kati ya daktari/mganga na moi bali ni wewe na mizimu au mashetani ya mganga na kijana wako anaweza pata hitilafu tena ya mifupa ili unyooshwe vizuri na mashetani.

Sometimes tujifunze kukaa kimya.
Mmh sasa linashangaza hilo jambo, professional kabisa,anakuwa mganga wa kienyeji!!!,hivi vitu si viko mbali kabisa kama maji na mafuta??,na bora angekuwa mganga wa tiba asili,kuliko kuwa sangoma.
 
Mmh sasa linashangaza hilo jambo, professional kabisa,anakuwa mganga wa kienyeji!!!,hivi vitu si viko mbali kabisa kama maji na mafuta??,na bora angekuwa mganga wa tiba asili,kuliko kuwa sangoma.
Madaktari wengi (sio wote)hospitalini ni washirikina hada madaktari bingwa, kuna magonjwa mfano mtu anatakiwa afanyiwe surgery na wachawi wanataka wapitie humo humo mara nyingi hawa madaktari huwa wanajizungusha au wanafanya huku wameweka kinga au wanakushauri mgonjwa wako akatafute tiba mbadala kwasababu huwa wanaona na ukilazimisha mgonjwa anaenda na maji.
 
Back
Top Bottom