How dangote faced stiff competition in kenya which led to failed set up of cement plant

How dangote faced stiff competition in kenya which led to failed set up of cement plant

Ni vigumu sana kushindana na Wakenya, yaani uje ututawale wakati sisi ndio tunatawala Afrika Mashariki na Kati. Ukienda Bongo unakuta uwekezaji wetu umezagaa, tumetanua hadi Rwanda yote, Burundi yote, Sudan zote mbili, Uganda ndio usiseme, tumeingia hadi DRC kwa Bakongo halafu Mnigeria ujifanye mjasiri wa kuja kutuchokonoa nyumbani kwetu. Waulize Fastjet wameondoka wenyewe.

Yeye aishie huko Bongo maana hao ndio wa kuliwa ovyo, halafu walikua wameanza kumzingua, mara mkaa wa mawe, mara mitambo, mara sijui kaagiza nini Afrika kusini, mara wapiga dili, mara kikampuni uchwara AQUA, mara Wakenya wamehujumu, mara sijui....yaani hawa jamaa ukiwekeza kwao unafaa kuwa na moyo wa simba. Wataibuka na vituko vya kila aina wakati wenyewe hata wakiwachiwa hawawezi maana ni wavivu na wazembe balaa. Mnijeria katinga ikulu kwa Magu, watamtambua, tena yule ni mjanja sana, atawatafuna kimya kimya wakati anawaachia wakenue meno.
Yaani umeandika kitabu lakini with a zero brain.
Wakenya mnaifuatilia Tanzania kuliko chochote nilifikiri ni nyinyi akina kajamba nani kumbe mpaka viongozi wenu nao wanaugua Tanzaniaphobia

kwenye bomba la mafuta mliangukia pua pamoja na Rais wenu kuenda Paris headquarters total na kwenye Dangote cement napo meangukia utosi pamoja na kutoa offers kedekede kwa Dangote ahamishe kiwanda mmebaki wajane kama kuku aliyemwagiwa maji.
 
Mywa viroba utamjua tu, hivi bado mnaishi juu ya miti huko tanganyika?..........KIUMBE DUNI!
Nilishakwambia na ninarudia tena, govi linakusumbua. Kakate mkono wa sweta kabla ya kuongea na watu wenye akili zao.
 
Walewaturkana mababu zao walitengeneza vyombo vya kazi(tools) miaka zaidi ya milioni 4 zizlizopita ,wakati huo mababu zako hapo tanganyika,sijui wahadzabe na WABANTU wenzako wakiwa bado katika hali duni kabisaa...ya unyama(NYANI)...YAANI WAKIWA MASOKWE MAHAYAWANI VILE...kabla ya evolution....read about the oldest archaeological discoveries(Turkana boy), by Richard Leakey.
Nina mashaka leo hii na uwezo wenyu wa kufikiri ,nadhani mtakuwa bado hamjawa wanadamu kamili..yaani you havent fully evolved yet.
Viumbe duni vingine Africa hupatikana kilifi.
Halafu Dr.Leakey ni Mzungu. What do u say?[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
chongchung ati wameangukia utosi..lazma wanaokota makopo sasa! 😛
Kenyans are the best loosers of all time kila wanachofanya kuihujumu Tanzania wanaibika na kila investors anajua Kenya kati ya watu 10 watu 8 ni majambazi wa uhakika sasa nani anataka kupeleka mradi wake at the maximum risk hivyo, hakuna.

Dangote alivyowaliza kaingiza 600 trucks ajira kwa maelfu kwa vijana wetu kodi ya mafuta itaongezeka and so much more.

Kikubwa zaidi mradi unazidishwa uzalishaji unakua mara mbili ya awali.
 
Thanks!...but it sounds more like kisukuma ama hata kizaramo...lol!....😛😀
To your surprise it comes from an English word HORROR as being horrified. Horror leads to panic, and waswahili decided to cut right through the word horror and come up with
Ki-horo
 
Yaani umeandika kitabu lakini with a zero brain.
Wakenya mnaifuatilia Tanzania kuliko chochote nilifikiri ni nyinyi akina kajamba nani kumbe mpaka viongozi wenu nao wanaugua Tanzaniaphobia

kwenye bomba la mafuta mliangukia pua pamoja na Rais wenu kuenda Paris headquarters total na kwenye Dangote cement napo meangukia utosi pamoja na kutoa offers kedekede kwa Dangote ahamishe kiwanda mmebaki wajane kama kuku aliyemwagiwa maji.

Tatizo mlijikombakomba kwake huyo Mnigeria bila kutumia akili na kumwahidi atafune kila kitu, kisa mnaiga Ethiopia walivyomwachia umeme wa bei nafuu. Bila kujua wale walipiga mahesabu yao na hawafanyi vitu bila kushirikisha ubongo. Sasa kinachowatatiza nyie ni jinsi ya kunyima viwanda vingine vya saruji hizo incentives mlizompa jamaa.

Mtaweweseka sana nyie, muwe mnapata darasa kwanza jinsi haya mambo hufanywa kabla ya kukurupuka, maana leo mnatapatapa na kulaumu kila mtu na kila kitu bila kujua pa kushikilia.
 
Walewaturkana mababu zao walitengeneza vyombo vya kazi(tools) miaka zaidi ya milioni 4 zizlizopita ,wakati huo mababu zako hapo tanganyika,sijui wahadzabe na WABANTU wenzako wakiwa bado katika hali duni kabisaa...ya unyama(NYANI)...YAANI WAKIWA MASOKWE MAHAYAWANI VILE...kabla ya evolution....read about the oldest archaeological discoveries(Turkana boy), by Richard Leakey.
Nina mashaka leo hii na uwezo wenyu wa kufikiri ,nadhani mtakuwa bado hamjawa wanadamu kamili..yaani you havent fully evolved yet.
Jamani ndugu zangu,....
Kwani kuna haja gani ya kuendelea kutukanana na kushindana baina ya nchi zetu mbili hizi?....
Tunakosa umoja wetu na kuanzisha vita vya uraia....
Sisi ni kama ndugu maana ni majirani na tena ndugu zetu wa mipakani wanajuana na kujenga umoja,Tunajua wote kuwa Kenya ni nchi ina uchumi mzuri kiasi kuliko Tz,cha msingi ni kushirikiana pamoja ili kila nchi isonge zaidi ya pale ilipo na kuondokana na hawa weupe wanaotunyonya......
.......#VIVA_EASTAFRICA.
 
Back
Top Bottom