How dangote faced stiff competition in kenya which led to failed set up of cement plant

Yaani umeandika kitabu lakini with a zero brain.
Wakenya mnaifuatilia Tanzania kuliko chochote nilifikiri ni nyinyi akina kajamba nani kumbe mpaka viongozi wenu nao wanaugua Tanzaniaphobia

kwenye bomba la mafuta mliangukia pua pamoja na Rais wenu kuenda Paris headquarters total na kwenye Dangote cement napo meangukia utosi pamoja na kutoa offers kedekede kwa Dangote ahamishe kiwanda mmebaki wajane kama kuku aliyemwagiwa maji.
 
Mywa viroba utamjua tu, hivi bado mnaishi juu ya miti huko tanganyika?..........KIUMBE DUNI!
Nilishakwambia na ninarudia tena, govi linakusumbua. Kakate mkono wa sweta kabla ya kuongea na watu wenye akili zao.
 
Viumbe duni vingine Africa hupatikana kilifi.
Halafu Dr.Leakey ni Mzungu. What do u say?[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
chongchung ati wameangukia utosi..lazma wanaokota makopo sasa! πŸ˜›
Kenyans are the best loosers of all time kila wanachofanya kuihujumu Tanzania wanaibika na kila investors anajua Kenya kati ya watu 10 watu 8 ni majambazi wa uhakika sasa nani anataka kupeleka mradi wake at the maximum risk hivyo, hakuna.

Dangote alivyowaliza kaingiza 600 trucks ajira kwa maelfu kwa vijana wetu kodi ya mafuta itaongezeka and so much more.

Kikubwa zaidi mradi unazidishwa uzalishaji unakua mara mbili ya awali.
 
Thanks!...but it sounds more like kisukuma ama hata kizaramo...lol!....πŸ˜›πŸ˜€
To your surprise it comes from an English word HORROR as being horrified. Horror leads to panic, and waswahili decided to cut right through the word horror and come up with
Ki-horo
 

Tatizo mlijikombakomba kwake huyo Mnigeria bila kutumia akili na kumwahidi atafune kila kitu, kisa mnaiga Ethiopia walivyomwachia umeme wa bei nafuu. Bila kujua wale walipiga mahesabu yao na hawafanyi vitu bila kushirikisha ubongo. Sasa kinachowatatiza nyie ni jinsi ya kunyima viwanda vingine vya saruji hizo incentives mlizompa jamaa.

Mtaweweseka sana nyie, muwe mnapata darasa kwanza jinsi haya mambo hufanywa kabla ya kukurupuka, maana leo mnatapatapa na kulaumu kila mtu na kila kitu bila kujua pa kushikilia.
 
Jamani ndugu zangu,....
Kwani kuna haja gani ya kuendelea kutukanana na kushindana baina ya nchi zetu mbili hizi?....
Tunakosa umoja wetu na kuanzisha vita vya uraia....
Sisi ni kama ndugu maana ni majirani na tena ndugu zetu wa mipakani wanajuana na kujenga umoja,Tunajua wote kuwa Kenya ni nchi ina uchumi mzuri kiasi kuliko Tz,cha msingi ni kushirikiana pamoja ili kila nchi isonge zaidi ya pale ilipo na kuondokana na hawa weupe wanaotunyonya......
.......#VIVA_EASTAFRICA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…