Enzi hizo Masaki Kuna tembo, simba na ma vampire wa kutosha
Kupanda ndege ilikuwa ni ndotozamani raha sana, nguo moja tu na huna kiatu una enjoy life sana, sasa hivi mtu unajaza nguo kabati viatu rundo, friji inajaa vinywaji na vyakula, nyumba unajenga zaidi ya moja gari ndio kipimo cha kuwa na hela, mtu unajaa hasira na maisha kama chatu aliejeruhiwa! acha tufe mapema tu kwa kweli.
Kuna katoto kameweka pozi la kibabe la hatareee. Yawezekana huyo ndie alikuwa m'babe wa Town
Huyo ni babu yako sio katotoKuna katoto kameweka pozi la kibabe la hatareee. Yawezekana huyo ndie alikuwa m'babe wa Town