How Dar-Es-Salaam looked like in1887

How Dar-Es-Salaam looked like in1887

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1553959500235.jpeg
 
Naskia enzi hizo Jangwani pale Nyumbu ndio walikuwa wanakatisha kutoka Magomeni kuja Fire kama ilivyo sasa wanavyokatisha kutoka Serengeti kwenda Maasai mara

ᴳᵒᵈ ᵇˡᵉˢˢ ᵀᵃⁿᶻᵃⁿⁱᵃ ⁿᵒᵗʰⁱⁿᵍ ᵉˡˢᵉ
 
zamani raha sana, nguo moja tu na huna kiatu una enjoy life sana, sasa hivi mtu unajaza nguo kabati viatu rundo, friji inajaa vinywaji na vyakula, nyumba unajenga zaidi ya moja gari ndio kipimo cha kuwa na hela, mtu unajaa hasira na maisha kama chatu aliejeruhiwa! acha tufe mapema tu kwa kweli.
 
zamani raha sana, nguo moja tu na huna kiatu una enjoy life sana, sasa hivi mtu unajaza nguo kabati viatu rundo, friji inajaa vinywaji na vyakula, nyumba unajenga zaidi ya moja gari ndio kipimo cha kuwa na hela, mtu unajaa hasira na maisha kama chatu aliejeruhiwa! acha tufe mapema tu kwa kweli.
Kupanda ndege ilikuwa ni ndoto
 
Back
Top Bottom