How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Huwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.

Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.

Wengi wetu tupo kwenye zombie relationships—penzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.

Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
 
Huwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.

Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.

Wengi wetu tupo kwenye zombie relationships—penzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.

Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
kuna mjumbe kaandika hatua za mahusiano hebu fuatilia utapata mawili matatu
 
On my 2 cents.
I think hili suala ni very common hasa kwa wanandoa wengi hususan kwenye vipindi vigumu kimaisha e.g economic depression n.k
I believe fallin out of love inasababishwa na vitu 2 vikubwa (i stand to b corrected).
1. mazoea
Most people after being together muda mrefu hua wanpoteza ile spark iliowakutanisha kwa sababu ya kuishi kwa mazoea. By "necha" binadamu ni kiumbe ambae at all times anatafuta adventures (sio frenge to go back kwa stone age to prove this maana muda ni mchache). So, mara nyingi hzo adventures znapotea bkoz tunachukulia kama hazina umuhim, mfano kutoana out, enjoying new meals together, kutembea kimahaba just to name the few, thus spark which ignited love in the first place ndo inaidumaza kabisa which leads to partners seeking attention and adventures from outsiders hence leading to fallout.

2. unresolved tensions ans expectations.
LONg term relationships like ndoa lazma zinakua na mikwaruzo ya hapa na pale at all times. Sometimes ni ile mikubwa like kufumaniana na mara nyingine n vitu vdogo, kama vile tabia za kiwaki na kienyeji.
so with time, hivi vitu vinavoonekana vidogo vinatengeneza snow ball ya matatizo, ambapo at the last minute ukijaribu kuyasolve tayari upendo unakua ushaisha hvyo ina lead to separation na divorces.
vivyo hivyo, zile un-met expectations zinaleta same problem na zinasababishwa na stupid promises ambazo most people dont live up to hence in the end kila mmoja anaonekana mbabaishaji tu.

Sasa kutatua haya yote ni ishu nyingine kabisa.
 
Huwa nawaza how it all happens—mnakutana kwa mara ya kwanza, and she's the most beautiful woman you've seen in a long time. Kuna ile excitement ya mwanzo, mazungumzo yanakuwa ya kuvutia, kila kitu kinaonekana fresh na perfect. Mnapendana bila kujizuia, kila mmoja akiwa tayari kufanya chochote ili kumfurahisha mwenzake. Kila mnapoonana, kuna hisia za uchangamfu, na kila mazungumzo yanakuwa meaningful.

Lakini sijui nini kinatokea hapa katikati (labda kumbukumbu mbovu, labda tu hali ya maisha inabadilika). Miaka au miezi inapita, and suddenly ule uzuri wa mwanzo unaanza kufifia. Yale mazungumzo marefu yanapungua, ucheshi unageuka kuwa mazoea, na mwishowe anakuwa kero. Unajikuta unavumilia tu, unahesabu dakika hadi uwe mbali naye.

Wengi wetu tupo kwenye zombie relationships—penzi limekwisha lakini bado mpo pamoja. Unajua kabisa kuwa haupo hapo kwa mapenzi tena, lakini kwa namna moja au nyingine, unashindwa kutoka. Sijui kama ni huruma, mazoea, au tu hofu ya kutopata replacement bora. Tunaendelea kutesana, kugombana kwa sababu ndogo ndogo, tunakaa kimya kwa muda mrefu bila mawasiliano meaningful, lakini bado hakuna anayechukua hatua ya kuachana.

Inakuwa kama mnavumiliana tu, mkihisi labda mambo yatabadilika, au labda mmoja wenu ataamka na kusema "this is not working anymore." Lakini kwa muda wote huo, kila mmoja anabeba mzigo wa mahusiano yasiyo na furaha, akisubiri kitu ambacho hakijulikani kitakuja lini.
Umenigusa sana hadi nimekaribia kutoa chozi. Ni as if umenilenga mimi
 
Mimi hapa home ninae wangu tunakata mwaka wa 14 huu sijaziona bado hizi dalili,mkiishi kwa kuheshimiana especially mwanamke kumtii mumewe na kuthaminiana sioni kitakachovuruga mahusiano.

Tatizo leo dada zetu ndiyo wanaotaka wawe juu ya wanaume wakisaidiana na taasisi zinazotetea sijui haki wasijue wanajididimiza wenyewe,hakuna mwanaume anayeweza kumvumilia mwanamke mjuaji anayeongozwa na mihemko huku akisikiliza kelele za kidunia kutoka kwa so called wanaharakati.
 
Back
Top Bottom