How do we fall out of love? Mapenzi yanaishaje? Miaka inapotea watu wanaishi ndani ya mahusiano yaliyokufa, ni kuhurumiana au hofu ya upweke?

Mambo ya kawaida haya Demi, naamini wewe ni mzoefu wa mahusiano. Hakuna kitu kirahisi kwenye maisha, hata kuwa single tu ni changamoto, jaribu kwa mwaka mmoja utaniambia.
ukiwa single utaanza kujilaumu kwamba mimi nina makosa gani mpaka nisiwe na mtu
 
fact mkuu
 
Alikuwa chaguo langu kabisaaa 😀😀.
Basi hapa ni upepo tu unapita.. Soon mtakaa sawa na Mapenzi yatarejea Kwa Kasi ya kimbunga..

Mpaka utashangaa imekuwaje.
 
Kama ni mapenzi ya sex basi KANUNI NI HII ...MAPENZI YA SEX NI KAMA CHAKULA ...HIVYO UWEZI KUFURAHIA CHAKULA KIMOJA ICHO ICHO DAIMA ...HIVYO MAPENZI YA SEX NI ART OF CIRCLE....nilazima mwanamke aendelee kuwa na wanaume wengine hili aendelee kufurahi na kuku furahia wewe pia na kwa mwanaume ni hivyo hivyo ...

Hila ndoa inatakiwa msingi wake usiwe "mapenzi ya sex" bali mambo matatu makuu nayo ni
1)Undugu (familia) na
2)Urafiki na
3)Upendo..

Kamwe mapenzi ya sex yasiwe msingi katika ndoa ...ndoa yoyote iliyo jengwa katika msingi wa sex ni lazima iwe ndoa ngumu , mbaya,,naya kuchosha.
Mtu anaye taka furaha ya mapenzi ya sex nilazima ajue ipo nje ya ndoa zaidi kuliko ndani ya ndoa.
 
Mkuu hata hiyo misingi 3 ikiwepo ili uenjoy sex life ni lazima uwe 'vidumu' pembeni?
 
Mkuu hata hiyo misingi 3 ikiwepo ili uenjoy sex life ni lazima uwe 'vidumu' pembeni?
Ujaelewa nilicho sema ‽ nimesema ili uenjoy sex ni lazima vidumu ila ndoa misingi yake ni hiyo mitatu ikikosekana hiyo mitatu hapo hakuna ndoa ni hasara ...wengi wanadhani ndoa ndiyo msingi wa kuinjoy sex vizuri kumbe siyo. Kama mtu ana oa hili aenjoi sex anajidanganya mwenyewe.
 
Na hili suala ba upendo kuisha ndoani limekaaje?
 
More than 10
Ok.

Basi mnakabiliwa na ego.
Kila mmoja anajiona Yuko sahihi.
Hamna aliye tayari kushuka na kutafuta suluhu.
Na inaonekana hili linakutesa, lishughulikie. Omba mazungumzo na mwenzio. Huenda naye linamtesa pia, anakosa namna ya kuanzisha mazungumzo..

Break the silence.
 
Sababu namba moja inayoleta mapenzi kufa ni cheating.

Kama ambavyo chombo cha glass kikivunjika hakikarabatiki, ndivyo usaliti katika mapenzi ulivyo.

Unakuta mwenza ali-cheat na ikajulikana, ila kuna sababu inazuia kuachana.

Kwa mazingira hayo hasa kama msaliti ni mwanamke, hata akisamehewa mapenzi yanakuwa hakuna kabisaa
 
Sasa inatokea mwanamke anasikiliza maelezo ya nje kwamba mpenzi wako (me) anakucheat na yeye anaamini ilhali hajakukuta na huyo mtu wala hakuna charting yoyote kwenye simu why uhukumu mtu na hujamshika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…