Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Apr 23, 2011 #21 mzeewaloliondo said: maneno yako yananifanya nakosa rahaaa na mawazooo.... Click to expand... Ukweli ndo huo..hata upakwe sukari na asali utabaki kua hati breka!Uzuri ni kwamba kwa kiasi flani unamvunja kwa nia nzuri!
mzeewaloliondo said: maneno yako yananifanya nakosa rahaaa na mawazooo.... Click to expand... Ukweli ndo huo..hata upakwe sukari na asali utabaki kua hati breka!Uzuri ni kwamba kwa kiasi flani unamvunja kwa nia nzuri!
Viper JF-Expert Member Joined Dec 21, 2007 Posts 3,666 Reaction score 1,404 Apr 23, 2011 #22 Lizzy said: Karibu mpendwa hati breka! Click to expand... hahaha lizy umenichekesha.... back to topic... ongea naye taratibu. mida iwe ya jioni kwa mbaaali unacheza ule mziki wa craig david "walking away".... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Lizzy said: Karibu mpendwa hati breka! Click to expand... hahaha lizy umenichekesha.... back to topic... ongea naye taratibu. mida iwe ya jioni kwa mbaaali unacheza ule mziki wa craig david "walking away"....
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,009 Reaction score 60,629 Apr 23, 2011 #23 Viper said: hahaha lizy umenichekesha.... back to topic... ongea naye taratibu. mida iwe ya jioni kwa mbaaali unacheza ule mziki wa craig david "walking away".... Click to expand... Hehehe nafurahi umefurahi!Au SAY GOODBYE WA Chris Brown! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Viper said: hahaha lizy umenichekesha.... back to topic... ongea naye taratibu. mida iwe ya jioni kwa mbaaali unacheza ule mziki wa craig david "walking away".... Click to expand... Hehehe nafurahi umefurahi!Au SAY GOODBYE WA Chris Brown!
donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,128 Reaction score 21,885 Apr 23, 2011 Thread starter #24 Lizzy said: Ukweli ndo huo..hata upakwe sukari na asali utabaki kua hati breka!Uzuri ni kwamba kwa kiasi flani unamvunja kwa nia nzuri! Click to expand... meona eeh? Ni kwania safi kabisa
Lizzy said: Ukweli ndo huo..hata upakwe sukari na asali utabaki kua hati breka!Uzuri ni kwamba kwa kiasi flani unamvunja kwa nia nzuri! Click to expand... meona eeh? Ni kwania safi kabisa
donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,128 Reaction score 21,885 Apr 23, 2011 Thread starter #25 namuekea aladji tuone