Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
-
- #41
After a year. Naongea nini? I never cared. I handled it as man. Now I am just tired.Famasiala na mapenzi π
Bado unampenda mtafute muongee uwe na amani
Jipe muda zaidi nadhani wewe ni aina ya watu ambao kuachilia jambo unalopenda inachukua muda sana.Her reasons to leave me were terrible but I don't really care about her. The problem I cant date anything less than her. Iyo ndo shida. Ni kama threshold point I have to reach. Niwe happy. Na I can't reach it or find anything better. Erasing it. Nimefanya sana. Niki review naona amna kitu hapa. Shida shida tu
A year mzee. Sema it's true I will give time.Jipe muda zaidi nadhani wewe ni aina ya watu ambao kuachilia jambo unalopenda inachukua muda sana.
Mnashauriana kiamerika hapa umemanisha niniMkuu, you are outplayed in your own game.. Man-up
Yani am smart enough for that. I put my brain off. Ila at this point sielewi. You don't care or want her again. And still she is your happyness.Kuna mambo yanaepukika tukiweka hisia pembeni na kutanguliza akili.
huwa inatokea hasa kwa mtu ambae uliwekeza malengo kwake.A year mzee. Sema it's true I will give time.
Ila a year. Nimejisahaulisha everything. Bado napata relapse that I still have her. Yani hata kuongea nae siongei nae wala kumuona in year. I don't even care or what to know what she does. Ila why relapse?
Haha π siwezi kujielezea more than that.Kwa uandishi wako tu, inaonekana una matatizo...
Ukweli ni kwamba bado unampenda that's why unashindwa kumsahau, trust me ukirudi kwa huyo binti na akajua udhaifu wako huu umekwisha akiamua kukumaliza.Yani am smart enough for that. I put my brain off. Ila at this point sielewi. You don't care or want her again. And still she is your happyness.
Kurudi sitaki mzee. Hiyo ndo shida na kumsahau nashindwa. To get better than her. Still searching. A year not even close. Nimechoka kuwa demu mpya kila month or week. Ni economic unviable, timewasting. Na taka ni reset nashindwaUkweli ni kwamba bado unampenda that's why unashindwa kumsahau, trust me ukirudi kwa huyo binti na akajua udhaifu wako huu umekwisha akiamua kukumaliza.
Sadly siku invest sana. Cause I know how things end. Always in tears. Shida ni replacement ni kama. She had my codes at a right place.huwa inatokea hasa kwa mtu ambae uliwekeza malengo kwake.
Kazi unayo mkuu kila la heri utoke huko ulipoSadly siku invest sana. Cause I know how things end. Always in tears. Shida ni replacement ni kama. She had my codes at a right place.
I learn some thing here. Thank youNimewaza..
1.Labda Upo desperate kumreplace,so kila unayemuona unamuweka katika vipimo vya your ex,hivyo hutorizika na yeyote katika hali hiyo..sababu hutompata wa kufanana nae.
2.Labda hujakubaliana na uhalisia kwamba hayupo,na mlichokua nacho kimeisha...utaendelea kuona kama yeye ni sehemu inayokosekana kujikamilisha wewe.Kubaliana na uhalisia.
3.Labda,ni kama una amani au vitu unavyoikosa na unajaribu kuioutsource uipate kwenye mahusiano,kitu ambacho si sahihi.Kinachokutokea ni matokeo ya kilichomo ndani yako,tengeneza vya ndani yako kwanza.
4.Kama ulivyopenda alivyooffer kwenye uhusiano wenu,unaweza penda atavyooffer mwingine.Muhimu upendo wa dhati uwepo,then ruhusu akili yako ijifunze mapya ambayo ni tofauti na uliyoexperience kwa ex wako utapenda tena.
5.Na labda kuachana nae ilikua ni nzuri kwako...na ni nzuri kwako kupata anayekupenda kama ulivyo.Maana binafsi,sidhani kama kuwa na mtu ambaye hasettle for less ni nzuri in the long run,kuna kipindi hutohitaji hiyo.
6.Ni hali ya mpito,unachofeel ni kawaida,kitapita na kuisha.Jipe muda.
The end of the thread. πππ Appreciate. YahI learn some thing here. Thank you
My ex...we si uliniacha Mimi Kwa madai yako nazingua, sasa ndo upambane na Hali yako hahahahKuna mtu nimekutana nae nimegundua tumeandana usocial na kupenda kuimba.Imeniuma sana kumpoteza lakini niliposhtuka tu huyu anataka wa kumkojolea tu Kwa wakati huu....nikasahau kilakitu....ndoto zangu zote tupa kule Nimeπππππ. Sometimes tufunge mioyo Ili tu kukwepa dharau
Asee upo Kama Mimi mkuu...japo mi sjamuacha Ila uyu mwanamke Ana tabia unique ambazo majaribu kudate na wanawake wa aina tofauti but huyu she make me complete...now tuna mtoto mmoja Sasa.As my tittle, niki sema perfect I mean perfect. Yani we have the chemistry ambayo tunaelewana. We broke up kisa nilikuwa busy na kazi za watu alafu mkoa mwingine. Ni kasema fresh. 1 year in. I can't replace her. All the girls napata amna hata anamfikia on filling my soul with happiness. Yani she completed me. Ingawa I used to hustle to fill her desire ila she completed me.
Shida inakuja kila girl napata amna kitu yani nikama 20 plus girls wote empty + na include 400+ ninao wajua ( I know alot of girls don't ask me why). Sio kwamba ni mzuri sana ila tabia yake ni adimu sana. She never settle for less. I miss that life. Sasa kila ninaempata loves me the way I am. Am not motivated, I dont get the proudness and the struggle to fight for love. Mapenzi yame kuwa mepesi sana. Kuna siku na struggle hadi kulala nikifikilia yani nothing settles. Nimemuona juzi kati ndo kabisa. been a year apart am still in love with her.
Wazee mnatokaje kwenye hili? Kupiga nimepiga kila type na rangi hadi Arabian Girls, ila i still want just her . Kurongwa silogeki kifala, am self aware and I still fail to let her go. ( note: I tried therapy it failed, pombe failed) sijui what's next π
Hongera . Yani kwa ground hii only uniqueness mattersAsee upo Kama Mimi mkuu...japo mi sjamuacha Ila uyu mwanamke Ana tabia unique ambazo majaribu kudate na wanawake wa aina tofauti but huyu she make me complete...now tuna mtoto mmoja Sasa.