How do you move on from someone perfect

How do you move on from someone perfect

Pole sana mkuu,hii inawatokea wengi sana both male and female,but it will rich a time you will forget about her,we are in the same situation,ni ngumu sana kumsahau kwa haraka mtu uliyempenda.
Ndio maana nawaambia watu, ukiwa umepata mtu mnaendana na ikatokea sintofahamu ni vizuri kufix kabla mambo hayajaenda mrama. Ni mara chache sana kupata mwingine akaziba pengo .
 
As my tittle, niki sema perfect I mean perfect. Yani we have the chemistry ambayo tunaelewana. We broke up kisa nilikuwa busy na kazi za watu alafu mkoa mwingine. Ni kasema fresh. 1 year in. I can't replace her. All the girls napata amna hata anamfikia on filling my soul with happiness. Yani she completed me. Ingawa I used to hustle to fill her desire ila she completed me.

Shida inakuja kila girl napata amna kitu yani nikama 20 plus girls wote empty + na include 400+ ninao wajua ( I know alot of girls don't ask me why). Sio kwamba ni mzuri sana ila tabia yake ni adimu sana. She never settle for less. I miss that life. Sasa kila ninaempata loves me the way I am. Am not motivated, I dont get the proudness and the struggle to fight for love. Mapenzi yame kuwa mepesi sana. Kuna siku na struggle hadi kulala nikifikilia yani nothing settles. Nimemuona juzi kati ndo kabisa. been a year apart am still in love with her.

Wazee mnatokaje kwenye hili? Kupiga nimepiga kila type na rangi hadi Arabian Girls, ila i still want just her . Kurongwa silogeki kifala, am self aware and I still fail to let her go. ( note: I tried therapy it failed, pombe failed) sijui what's next 😔
Hujaamua, unatafuta justification za kutoMove on

Mpaka utakapoamua kwa hiyari yako kuMove on utaMove on

Until then u will be her consensual slave!
 
Nimeachika mwaka sasa nakula pisi nyingine. I never checked on her once. Yani hata hi. Sijawai toa since that day she said its over. Shida ni kureplace hii bidhaa. Nearly an impossible mission
Swallow your pride
 
As my tittle, niki sema perfect I mean perfect. Yani we have the chemistry ambayo tunaelewana. We broke up kisa nilikuwa busy na kazi za watu alafu mkoa mwingine. Ni kasema fresh. 1 year in. I can't replace her. All the girls napata amna hata anamfikia on filling my soul with happiness. Yani she completed me. Ingawa I used to hustle to fill her desire ila she completed me.

Shida inakuja kila girl napata amna kitu yani nikama 20 plus girls wote empty + na include 400+ ninao wajua ( I know alot of girls don't ask me why). Sio kwamba ni mzuri sana ila tabia yake ni adimu sana. She never settle for less. I miss that life. Sasa kila ninaempata loves me the way I am. Am not motivated, I dont get the proudness and the struggle to fight for love. Mapenzi yame kuwa mepesi sana. Kuna siku na struggle hadi kulala nikifikilia yani nothing settles. Nimemuona juzi kati ndo kabisa. been a year apart am still in love with her.

Wazee mnatokaje kwenye hili? Kupiga nimepiga kila type na rangi hadi Arabian Girls, ila i still want just her . Kurongwa silogeki kifala, am self aware and I still fail to let her go. ( note: I tried therapy it failed, pombe failed) sijui what's next [emoji17]
Ovyooo
 
As my tittle, niki sema perfect I mean perfect. Yani we have the chemistry ambayo tunaelewana. We broke up kisa nilikuwa busy na kazi za watu alafu mkoa mwingine. Ni kasema fresh. 1 year in. I can't replace her. All the girls napata amna hata anamfikia on filling my soul with happiness. Yani she completed me. Ingawa I used to hustle to fill her desire ila she completed me.

Shida inakuja kila girl napata amna kitu yani nikama 20 plus girls wote empty + na include 400+ ninao wajua ( I know alot of girls don't ask me why). Sio kwamba ni mzuri sana ila tabia yake ni adimu sana. She never settle for less. I miss that life. Sasa kila ninaempata loves me the way I am. Am not motivated, I dont get the proudness and the struggle to fight for love. Mapenzi yame kuwa mepesi sana. Kuna siku na struggle hadi kulala nikifikilia yani nothing settles. Nimemuona juzi kati ndo kabisa. been a year apart am still in love with her.

Wazee mnatokaje kwenye hili? Kupiga nimepiga kila type na rangi hadi Arabian Girls, ila i still want just her . Kurongwa silogeki kifala, am self aware and I still fail to let her go. ( note: I tried therapy it failed, pombe failed) sijui what's next [emoji17]
Hicho unachopitia ndo kinakufanya uwe complete sasa na Uwe mtu strong.

Ni process sahihi kabisa kuipitia. Na unatakiwa usirudi nyuma.

Watu wanafiwa na watoto wapenzi waliowasomesha for years au wanapoteza mzazi au na wanapoteza watu muhimu kwao na bado wana-survive.

Sembuse mapenzi.

Kaza moyo, jipe kipaumbele zaidi wewe, na usimtegemee mtu yeyote katika kukamilisha furaha yako,
 
Once sio dogo. Kwa ground. You beneath my level of education I can assure you that. Also stop posting on my thread. Kausha tu. Thread zipo kibao. Ww Huna akili siku taki humu
Wew kijana ni mwehu nimesoma ishu zako ndio Mana wahuni wanamla demu wako pia uko arrogant kiasi flani huwezi ishi na watu Sasa katka dunia hii Kila mtu ni unique Na alivoumbwa acha kukompare huwezi replace identity inatakiwa ubadilike fit kwa watu wengine then hakuna mwanamke ambae hafai shida ni kwako
 
Once sio dogo. Kwa ground. You beneath my level of education I can assure you that. Also stop posting on my thread. Kausha tu. Thread zipo kibao. Ww Huna akili siku taki humu
Idiot!

Old, but you don't like objections. You like to hear assertions that are close to what you assume.

Do you want your new girlfriends to behave like your ex?? no wonder your girlfriend left.

The bitter reality is that your girlfriend has left because your floor isn't working.
 
Idiot!

Old, but you don't like objections. You like to hear assertions that are close to what you assume.

Do you want your new girlfriends to behave like your ex?? no wonder your girlfriend left.

The bitter reality is that your girlfriend has left because your floor isn't working.
Fala Sana huyu yaan mwanamke gan akae na wew Kila siku unamzungumzia ex wako Kila mtu na jinsi yake akubalike alivyo
 
Na kiingereza chote hiki na ukaachwa Polesana jitahid kumove on utakuwa sawa maisha yataendelea
 
Fanya mambo mengine, mambo yake muachie mwenyewe...
 
Back
Top Bottom