Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kwanini ulinikoleza lakiniNaona mtarajiwa umeamua kuniharibia kabla ya huu mwaka ππ
Mbaya zaidi naona my heart Don Clericuzio kashapita hapa
Msaada tafadhali wanabodi kama mjuavyo hiki kizungu kilikuja na meli, sie zetu mashua.
Hahaha kwanini ulinikoleza lakini
Sasa kila nikijaribu ondoka
Nashindwaa. π π
Uko sahihi mkuu maana nimejaribu ku google holaah! nadhani ni kweli alichosema mchangiaji mmoja hapo juu kwamba huenda ni kwa sababu wenzetu wengi tayari mataifa yao walishayajenga! kwa hiyo hawana aina hii ya maajali kwenye uandishi wao!Naona hapa wengi wamechemsha
Maana naona mleta mada anamaanisha kumalizia barua (wako) kama yours
Sent from my iPhone using Tapatalk
naamini vyote + vingine zaidi ya ulivotaja....by definition A nation is a stable community of people, formed on the basis of a common language, territory, history, ethnicity, or psychological make-up manifested in a common culturekwani taifa linajengwa na nini? In terms of materials, tools, labourers, na technical expertism
Uko sahihi mkuu maana nimejaribu ku google holaah! nadhani ni kweli alichosema mchangiaji mmoja hapo juu kwamba huenda ni kwa sababu wenzetu wengi tayari mataifa yao walishayajenga! kwa hiyo hawana aina hii ya maajali kwenye uandishi wao!