Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Nataka kujua hili wana JF ili nisimkwaze Partner wangu coz huwa analalamika sijui kulala fresh!!!Nipe hizo Styles Bandugu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziko mingi sana kule kwa Marie-Roza!...si wapajua eeh?Nataka kujua hili wana JF ili nisimkwaze Partner wangu coz huwa analalamika sijui kulala fresh!!!Nipe hizo Styles Bandugu!!
Ziko mingi sana kule kwa Marie-Roza!...si wapajua eeh?
Bora umeachana na ile nanihii kule!
nataka kujua hili wana jf ili nisimkwaze partner wangu coz huwa analalamika sijui kulala fresh!!!nipe hizo styles bandugu!!
Ziko mingi sana kule kwa Marie-Roza!...si wapajua eeh?
Bora umeachana na ile nanihii kule!
Teh teh!! Pamoja Mkuu naheshimu mawazo yenu!!!
Inawezekana huwa unajitanua kitanda kizima, au unamtupia miguu tumboni, au huwa unakoroma na kudondosha udenda. jaribu kulala nae mzungu wa nne leo uone kama kesho atakusema tena.
Mzungu wa nne mbona NOMA!! Hiyo sasa itakuwa ya kupeana TALAKA!!
usistuke bro kama vipi mwambie akufundishe mwenyewe kwani huyo ndo mpenzi wa kweli.
Pls ni kulala 2 and NOT to DO the NIDFULL!!!
:target: aaanhaa!!!! hapo nimekusoma hope ladies wa jf watakusaidia alot ktk tatizo hili.Amenifundisha baadhi ndo maana natafuta nyingine ili anione angalau nimekuwa mbunifu!!!
Chagua hapa
![]()
Hapo ndo umekuja na JIBU kiongozi!!!Let me CHUZ sijui ni2mie style za wale jamaa wa ZENJI??!!
Inawezekana huwa unajitanua kitanda kizima, au unamtupia miguu tumboni, au huwa unakoroma na kudondosha udenda. jaribu kulala nae mzungu wa nne leo uone kama kesho atakusema tena.
mi nimekuchgulia picha ya mwisho upande wa kulia hope hiyo itawapendeza wote.