ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
Baada ya kusoma comments za wadau nimegundua kuwa somo lililotolewa kwenye hii article halijaeleweka kwa wengi. Hii article inazungumzia pesa. Kwahiyo mjadala wake inabidi ubase zaidi kwenye pesa.
Mo alianza na 1 mil. USD. Sasa hivi annual revenue zao zinakadiriwa around USD 1.1 bil. na wanasema wameajiri watu 24,000. Hii maana yake ni kwamba on average kila mwajiriwa mmoja anaingiza annual revenue ya 45,800 USD ambayo ni sawa na milioni 73. Average salary ya mfanyazi mmoja ikiwa sh. laki 6 (This is an over estimation though) atalipwa sh. mil 7.2 kwa mwaka.
Hapo maana yake ni kwamba mfanyakazi mmoja ameleta revenue ya sh. mil 65.8, ambayo ni sawa na mil. 5.4 kwa mwezi au 180,000 kwa siku. Get this right fellas - on average every day kila mfanyakazi wa Dewji anamuingizia sh. 180,000.
Narudia. Mo alianza na 1 mil. USD ambayo ni sawa na bil. 1.6 TZS. Kwahiyo iwapo vijana 10 wenye mawazo mazuri ya biashara watachanga sh. mil 16 kila mmoja, watapata mil. 160 ambazo ni 10% ya mtajia alioanza nao Mo. Miaka 15 later watu hao wanaweza kuongeza revenues zao 1000 fold (kama alivyofanya Mo) na kuwa na revenue za shilingi bilioni 160!
Mo baba yake alikuwa tajiri akamkopesa bilioni. Wewe kama baba yako sio tajiri usikae chini na kutoa machozi au kujifariji kwa kumsema vibaya Mo. Be creative, shirikiana na mwenzako ambaye baba yake sio tajiri ili mpate mtaji wa kuweza kuingia sokoni. Hii ni dunia ya ushindani - huwezi kushinda kwa maneno matupu ya wivu...
Mo alianza na 1 mil. USD. Sasa hivi annual revenue zao zinakadiriwa around USD 1.1 bil. na wanasema wameajiri watu 24,000. Hii maana yake ni kwamba on average kila mwajiriwa mmoja anaingiza annual revenue ya 45,800 USD ambayo ni sawa na milioni 73. Average salary ya mfanyazi mmoja ikiwa sh. laki 6 (This is an over estimation though) atalipwa sh. mil 7.2 kwa mwaka.
Hapo maana yake ni kwamba mfanyakazi mmoja ameleta revenue ya sh. mil 65.8, ambayo ni sawa na mil. 5.4 kwa mwezi au 180,000 kwa siku. Get this right fellas - on average every day kila mfanyakazi wa Dewji anamuingizia sh. 180,000.
Narudia. Mo alianza na 1 mil. USD ambayo ni sawa na bil. 1.6 TZS. Kwahiyo iwapo vijana 10 wenye mawazo mazuri ya biashara watachanga sh. mil 16 kila mmoja, watapata mil. 160 ambazo ni 10% ya mtajia alioanza nao Mo. Miaka 15 later watu hao wanaweza kuongeza revenues zao 1000 fold (kama alivyofanya Mo) na kuwa na revenue za shilingi bilioni 160!
Mo baba yake alikuwa tajiri akamkopesa bilioni. Wewe kama baba yako sio tajiri usikae chini na kutoa machozi au kujifariji kwa kumsema vibaya Mo. Be creative, shirikiana na mwenzako ambaye baba yake sio tajiri ili mpate mtaji wa kuweza kuingia sokoni. Hii ni dunia ya ushindani - huwezi kushinda kwa maneno matupu ya wivu...