How I Met My Wife

Mkuu natamani sana ukisikia hiyo story
Jipange kuimwaga hapa watu wajifunze kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Tafuta mdengereko mwenzako[emoji28][emoji1487] dah muuza dafu katishaa alistahili kupigwa kistuli...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uko vizuri fanya mpango uiuze stori yako kabsa baada ya kumaliza kuhadithia naamini ikipata fundi italeta bonge ya movie itasaidia bongo kupunguza kucheki Korean movies asee [emoji3][emoji23]........

Nafikiri mke hapo ni Nora au sivyo ni mdogo wake pendo,maana ndio watu pekee waliokufanyia mchongo wa kutembea na mademu wengine.

Umeharibu Sana mwishoni kwa kushangilia mkuu.......ile ilikua kwaajili ya mama zetu siku yao tukaona na yeye apewe zawadi lakini badala yake amekua Kama mwanamke mwenye mimba kabsa maana Kila kona tunaona anatema mate kwa zawadi ya goli letu moja tumempa mtu mimba[emoji23][emoji23][emoji1787]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da KigaKoyo we jamaa unaandikaa sio siri, anyway umepitia maisha ambayo ukipeleka hoolwood wanatengenza series!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da KigaKoyo we jamaa unaandikaa sio siri, anyway umepitia maisha ambayo ukipeleka hoolwood wanatengenza series!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mnaichukuliaje Hollywood?? Kila story nzuri humu mnasema level za Hollywood au iandikiwe kitabu kiuzwe online. Ni rahisi hivyo?
 
Jumamosi ndo hii bro nakusubiri[emoji56][emoji56][emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…