How I Met My Wife

How I Met My Wife

KigaKoyo kaka yangu dunia ina masahibu makubwa sana kaka, wakati mwengine mtu anakusimulia yanayomkuta utaona kabisa huyu anadanganya, lakini kumbe ni ukweli mtupu, enzi za ujana wangu nilikutana na dada mmoja mrembo kutoka Arusha pale maisha club masaki akanisimulia jinsi alivyorubuniwa na tajiri fulani mkubwa kisha akaenda kumtelekeza kwenye shimo la machimbo usiku mkubwa katika Kafara za mali Baada ya kumlewesha chakari. Alikaa shimoni kwa siku 3 na kukumbana na mambo ya kuogofya sana, kutokea hapo Ndio alivyotambua ukweli juu uwepo wa Mungu. Alikuwa ananisimlia stori tunalizana mimi na yeye Kama watoto, makovu kwenye mwili wake hadi leo yanaonekana, ama kwa Hakika binaadamu tunapitia mengi na yakuogofya sana.
Mkuu natamani sana ukisikia hiyo story
Jipange kuimwaga hapa watu wajifunze kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The continuing story of how I met my wife……..

……..The long winter……

Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.

Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.

Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).

Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.

Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.

Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.

Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.

Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.

Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.

Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.

Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.

Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.

Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.

Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.

Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.

Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.

Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",

“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,

At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….

Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.

Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.

Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.

Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.

IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".

Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.

That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.

Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.

Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.

The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.

Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.

Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.

Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.

So that’s how I went and stayed one yr in England…..


Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.

Yanga hoyee!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app

Tafuta mdengereko mwenzako[emoji28][emoji1487] dah muuza dafu katishaa alistahili kupigwa kistuli...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
The continuing story of how I met my wife……..

……..The long winter……

Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.

Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.

Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).

Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.

Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.

Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.

Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.

Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.

Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.

Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.

Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.

Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.

Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.

Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.

Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.

Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.

Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",

“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,

At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….

Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.

Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.

Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.

Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.

IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".

Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.

That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.

Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.

Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.

The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.

Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.

Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.

Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.

So that’s how I went and stayed one yr in England…..


Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.

Yanga hoyee!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko vizuri fanya mpango uiuze stori yako kabsa baada ya kumaliza kuhadithia naamini ikipata fundi italeta bonge ya movie itasaidia bongo kupunguza kucheki Korean movies asee [emoji3][emoji23]........

Nafikiri mke hapo ni Nora au sivyo ni mdogo wake pendo,maana ndio watu pekee waliokufanyia mchongo wa kutembea na mademu wengine.

Umeharibu Sana mwishoni kwa kushangilia mkuu.......ile ilikua kwaajili ya mama zetu siku yao tukaona na yeye apewe zawadi lakini badala yake amekua Kama mwanamke mwenye mimba kabsa maana Kila kona tunaona anatema mate kwa zawadi ya goli letu moja tumempa mtu mimba[emoji23][emoji23][emoji1787]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
The continuing story of how I met my wife……..

……..The long winter……

Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.

Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.

Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).

Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.

Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.

Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.

Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.

Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.

Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.

Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.

Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.

Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.

Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.

Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.

Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.

Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.

Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",

“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,

At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….

Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.

Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.

Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.

Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.

IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".

Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.

That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.

Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.

Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.

The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.

Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.

Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.

Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.

So that’s how I went and stayed one yr in England…..


Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.

Yanga hoyee!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Da KigaKoyo we jamaa unaandikaa sio siri, anyway umepitia maisha ambayo ukipeleka hoolwood wanatengenza series!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Da KigaKoyo we jamaa unaandikaa sio siri, anyway umepitia maisha ambayo ukipeleka hoolwood wanatengenza series!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mnaichukuliaje Hollywood?? Kila story nzuri humu mnasema level za Hollywood au iandikiwe kitabu kiuzwe online. Ni rahisi hivyo?
 
Braza Kigaaaaa KigaKoyo weekend ndio inakaribia hiyoo, shusha vitu heavy mtaalam.
Me nishaanza kuperuzi za nyuma ili twende sawa [emoji16][emoji16]
IMG-20200312-WA0063.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
The continuing story of how I met my wife……..

……..The long winter……

Mawasiliano yetu na Nora yalikua yanaenda poa sana. Kiasi kwamba nikawa sometimes nasahau kabisa msala ulio mbele yangu. Kwa msukumo alionipa nikafanikiwa hatimaye kusajili kampuni yangu. Ofisi ikawa palepale nlipokuepo. Nikawa sasa natafuta taasisi zinazohitaji huduma za kampuni yangu.. mwanzo nilidhani issue itakua nyepesi, ila sikufanikiwa kuattract any customer, nikawa life linasonga kwa kazi zilezile za CD pale Kimara. Na mnaeza shangaa lakini nlikua nikipiga mahesabu hela nliyoingiza kwa mwezi ilikua inazidi mshahara nlokua napokea kule Dom, sema life ya DSM ni more expensive so sikua nasave kiviile kama kwenye job ya Dom.

Muda wote tukiwasiliana nae nlikua namuuliza khs mama yake. Na kila nlipomuuliza alikua ananijibu kwa huzuni, kuwa mama yake inaonekana bado anahuzunishwa na kilichotokea. Moyoni nlijua kinachomsumbua boss Rona wala sio mwanae kutiwa, ni ile shame ya kushare rombo na mwanae, hasa ile the last day. Na Nora akawa ananiambia sometimes alikua anamgusia kuhusu mimi ili walau anisamehe, akawq anamwambia eti mm ni kijana mstaarabu na najutia nlichofanya ndo maana nikaacha kazi kwenda kufungua kampuni ambayo wala hainilipi. bt mama yake hukasirika sana na kutotaka kusikia chochote.

Katika pilikapilika nikawa nimefahamu taasisi zilizo chini ya wizara flani zinampango wa kuweka systems mpya ktk mtandao wao wa ndani. So nikawa nimetuma proposals zangu ingawa nkijua sipati. Ktk maongezi na Nora nikawa nimemgusia ili aniweke kwenye maombi. Ilichukua muda kupata majibu, ila kuna siku nikaitwa wizarani. Nikawekwa mtu kati na wakugurugenzi kadhaa pale na wakuu wa hizo taasisi. Mmoja wao akaniambia kkampuni yangu imekua recommended na wakubwa, ila kabla ya kazi walitaka kujua namna ntakavyoifanya. Nikawapa presentation pale wakaonekana kuridhika. Badae sasa mmojja wapo ndo akaniita pembeni kaniambia nnachopaswa kufanya. Kiufupi ilitakiwa nifanye juu chini bajeti niizidishe mara tatu ya kiwango nnachohitaji, then nikilipwa nawapa chao, (yaani mara tatu ya bajeti halisi ndugu msomaji, bwana eeh, watu serikkalini wanajua kuiba).

Kweli issue ikatiki. Ingawa serikalini hulipwi kwa wakati ila kazi nlipewa. Kipindi hicho ilikua likizo fupi ya Nora, so ile wiki alikuja kwangu. Alivyosikia ile issue ya dili wizarani ndo akaniambia alimgusia mama yake na kumuomba kama ana namna yoyote afanye. Sikuamini direct kwamba Boss Rona anaeza kwanza kunisaidia bazazi mie, lakini pia sikuhisi ana hiyo influence ya kuweza kupendekeza tenda apewe fulani.

Ila matukio yaliyoendelea baadae yalinifanya niamini alihusika. Kwanza haikupita muda mrefu alihamishwa kule akarudishwa wizarani na akapandishwa cheo kuwa mmoja wa directors pale wizarani kwao, so nikajua she has someone very influential huko juu.

Ile wiki ya likizo ya Nora nliinjoi mno. Maana sikua nimewahi kukaa nae siku nyingi hivyo. Pamoja na malavidavi, ma outing na mashopping, she helped with my business pale kibandani kwangu. Na akanishauri nitafute mdada wa kuwa ananisaidia maana now ntakua busy zaidi na kazi za kampuni. Nikakubbaliana nae, basi akasema ataendesha zoezi la usahili mwenyewe. Na kweli akaweka matangazo na akampata binti mmoja wa kirangi anaitwa Nasra. Nasra ndo alikua amemaliza diploma ya IT, tukamuajiri kama intern maana hatukutaka kuanza kumlipa pesa ndefu, kazi yenyewe moja tu nliyopata na bado pesa ya kumaliziwa ambayo ndo kubwa sijapewa bado.

Nora alivyorudi shule ndo akanambia amemuajiri Nasra makusudi. Maana anajua kuelekea mbele mpaka amalize form six inaweza ikawa tunaonana kwa nadra so Nasra atakua ananipooza nikibanwa ham. Yani Nora alikua anaongea huku anacheka, nikawq najua utani. Ila akawa ananisisitiza mara zote, kuwa msichana pekee atakae ruhusu nimgonge ni Nasra, ila nisifall nae tu. Nikawa nampotezea najua ni utoto.

Ile hela bana ya wizara nlivokuja lipwa ilibadilisha my life. Nikanunua ki starlet kutoka kwa jamaa mmoja hivi tulisoma nae. Nikapanua pale ofisini, yani nikakodi the next room halafu nikaviunganisha. Nikawa sasa najiona mtu, hata mama akija atanisifu kwa kutoboa life bila usaidizi wake. The year passed, Nora kamaliza shule. Kampuni ikawa inajulikana katika korido za serikali. Nasra sikuwahi hata kumtamani ingawa nshapewa go ahead na Nora, yy mwenyewe aliniheshim sana kama boss wake. Pale ofisini nikawa nimeongeza dogo mwingine aliitwa Mussa ambae kwa kweli nilimuajiri baada ya kuona anajituma sana ukimpa kazi kama kibarua wa muda, na alionesha anamajukum kinoma. So nikaona nimsaidie kwa kumpa namna ya kupata income kila mwezi, so tukawa watatu pale job.

Baada ya kumaliza shule, ile amefika dar tu (maana familia nzima sasa ilikua dsm), kesho yake kaja. That day sikwenda hata job. Tulijifungia tu home, tulikulana kinoma siku hiyo, msosi tukaenda chukua tu takeaway bt kazi kubwa ilikua mikasi. Badae ananiuliza kama nilimla Nasra, nikamhakikishia I’ve never been with anyone else. Tukaanza kupanga mipango ya kumuingia maza ake sasa. Akasema itabidi amshirikishe KM maana now anajiona ashakua na she wants me to be accepted in the family. Nikawa nasita. Maana najua, boss Rona anaeza amua kama mbwai mbwai akamwaga siri. Nikawa namshauri tujipe muda kwanza.

Sisi tunapanga yetu kumbe Mungu nae anamipango yake. Mwezi mmoja tu tangu arudi, akanambia anamimba. Alitegemea nifurahi alivyonipa taarifa ila sikuonesha furaha. Hii ilimchukizq na kuhisi sina mpango wa muda mrefu naye. Ikabidi nimshawishi kwa kumwambia mawazo yangu ni kwa bibi wa mtoto, hataweza kumkubali. Akaahidi ataenda kuongea nae. Kuna kitu kikawa kinaniambia kabisa hii ndo mwisho wako na Nora, bt nikawa ninahope maybe im wrong.

Tulikubaliana siku hiyo hiyo akamwambie mama yake. So ilivyofika night kama saa sita hivi nikamtumia text, “nipe mrejesho, what did she say" hakujibu. Nikasubiri mpaka saa nane, kila text ikiingia nahisi yeye bt inakua sio. Nikalala.

Kesho yake nastushwa na hodi mlangoni. Kufungua Nora. Nikajaribu kumsoma uso, naona hausomeki. Nikawa naogopa hata kuuliza swali. Nora akakaa, akaanza kulia.

Nikkajua tu huyu kaambiwa ukweli, nikatamani kumsogelea nimbembeleze bt nikahisi atanizabua vibao. Then nikasikia anasema, “I don’t know why my mom hates you so much" then akaendelea kulia, nikajua huyu bado hajaambiwa. Ndo nikapata nguvu kumsogelea na kuanza mbembeleza. Nlivoona hatulii bado nikatumia mbinu aliyotumia kunibembeleza skuile nalia kule dom.

Nikamsimamisha akiwa bado amenikumbatia analia, nikaanza kumfungua vifungo vya blouse aliyovaa, bahati nzuri alivaa sketi sku hiyo so nliifungua na kuiachia ishuke, akabaki na pichu. Nikawa nampapasa kuanzia mgongoni hadi kwenye matako, yaani kama nambembeleza, she was still crying. Nikambeba hadi kitandani. Nlivomlaza chali nikaenda direct uvinza. Nikkaona taratibu kilio kinabadilika, from huzuni tu utam. Nlimchezea sana that day, yani hadi nakuja mimi kuingia ashajifunga sana magoli.

Baada ya mechi akawa amechangamka sasa. Ndo akanisimulia ilivokua… akasema, “nlivyorudi home jana nlikuta mom hajarudi, so nikajitahidi kjmpikia msosi anaopenda nikakaa kumsubiri. Wakati anakula nikamwambia, mom kuna kitu nataka kukwambia…. Mom akaacha kula akaniangalia kwa muda bila kujibu kitu, Nikamwambia I think I am pregnant. Wala hakustuka, ndo kwanza akaendelea kula… nlivoona ukimya nikamuuliza mbona haulizi hata ni ya nani, ndo akanijibu anajua ni ya nani, na kwa taarifa yangu nisijidanganye kuwa kubeba mimba kutamfanya akuruhusu ww unioe, eti labda tusubiri afe…”, alipofika hapa nikaona anaqnza kulia tena…. Dah nikikumbuka shughuri iliyomfanya anyamaze ile mwanzo nikaishiwa nguvu.

Nikawa nambembeleza kawaida. Nikamwambia itabidi niende personally. Nikamshawishi arudi home then jpili mm ntaenda kuongea na boss. Nlichagua jpili kwa maana nlijua Nora lazma atakua ameenda church na watoto na alikua ameniambia KM hayupo that week. Akakubali plan yangu, akarudi home.

Jpili mapema kama saa nne nikafika mbele ya nyumba ya KM. Nikagonga akaja kufungua housegirl, boss alikua room kwake so nikaambiwa nisubiri sebuleni. After few minutes akaja. She still looked beautiful though niliona ule ujana umemuisha. Nikawa natafakari nimsalimieje… nikajikuta nimetamka tu “shikamoo mama"… wala hakujibu, … “unafanya nn hapa", ndo alichoweza kuniambia. “nimekuja kukuomba msamaha boss, am sorry for everything that happened “, hii kama ilipandisha hasira zake. Maana alianza kufoka, ila alitumia lugha ya kiingereza nadhani kumficha hg asielewe, “sorry for what, sleeping with a school girl or kumjaza mimba, hivi unajua nimekustahi sana Kiga, ulipaswa uwe jela ndiko unakostahili malaya mkubwa wewe, mwanaume gani usiye na chembe ya aibu, tena usiizoee kabisa hii familia",

“Boss najua unahasira, hata ingekua mm ningejisikia the same. Ila nilijikuta nimempenda Nora, sikua na nia ya kufanya kuwachanganya", hii kidogo ilimfanya apoe, maana nimegusa hasa kinachomuumiza. Nikaona ndo muda mwafaka wa kuendelea, “nnachoomba tusahau yaliyopita, tuliyofanya yabaki siri yetu na aibu yetu, hupaswi kumtesa pia Nora” nlivosema haya akawa ananijibu kwq sauti kama ya huzuni “please don’t say anything", mi nikajua ndo sindano inamuingia vizuri nikaendelea, “hapana boss, inabidi tuzungumze kama watu wazima mm na ww. Tuliyoyafanya hayakua sawa, najua ulinipenda sana, na ningumu kuruhusu mpenzi wako wa zamani kuwa na mwanao lakini ni muda sasa umepita, please niruhusu niwe na mwanao tulee mjukuu wako”,

At this moment nikaona amezamisha uso kwenye mikono yake. Nikawa kama sielewi why kawa mpole ghafla, nlitegemeq apandishe hasira zaidi. Dakika mbili mbele nikajua why boss Rona kawa mpole kama kamwagiwa maji….

Kumbe jumapili hii Nora hakwenda church…… ile nimeangalia mbele yangu namuona anaingia sebuleni ananiangaliakwa mshangao. Mawazo yangu yakawa yananiambia atakua hajasikia chochote. Ule ukimya uliokua pale ndani ungeweza kuukata na kisu ndugu msomaji. Wote tukawa tunamuangalia Nora. Alichokifanya alienda kwa mama yake, akapiga magoti akainamisha kichwa, “am sorry mama, I know now how you must have felt muda wote huu"…. Nikawa nasubiri anambie na mimi amenisamehe, ila alivyonigeukia nliona sura tofauti kabisa. She was burning with anger. Akiwa amemshika mama yake mkono akaniambia “how could u do this……umenionesha ni mwanaume wa aina gani …. Please get out of my life and forget us” nikawa nataka nijitetee pale “but babe…” hata sikumaliza, nlistukia amebeba stuli iliyokaribu akawa ananitwisha kichwani, bahati nzuri nikaweka mkono, nikasikia kama mfupa umekata huko ndani, akawa ananyanyua anitwishe tena, mama yake akamuwahi, nikaona hapa sio pa kukaa. Nikatoka kwa spidi.

Ule mkono nlienda kufunga POP ndugu wasomaji. Bt it was a small price to pay kwa makosa nliyotenda. Makosa hayo nadhani yako categorized kama crimes against humanity. Sikua na namna ya kuwasiliana na yoyote kati ya Rona na Nora. Sikuweza jua Nora anaendeleaje na mimba yangu. Hii break up pia iliniathiri sana, maana mipango yangu yote ilikua inarevolve around my life with Nora. Kazini nikawa ufanisi unapungua, mpaka ikabidi Nasra anibane nimwambie kinachonisibu, nikamwambia tu ni issues za mapenzi. Kwa kweli Nasra alijitahidi kunifanya nichangamke. Alianza kuwa ananitembelea marakwamara home, ataniletea msosi,atanilazimisha kutoka ili mradi nisiendelee kukonda maana nliisha ndugu msomaji.

Miezi ilipita, nikashangaa why nashindwa mpotezea Nora. Kwa msaada wa mitandao nikafanikiwa kujua hadi chuo alichopata. It was IFM. Nakumbuka chuo kilipofunguliwa nilikua naenda kila siku nakaa pale kantini, nikajua one day ntagongana nae. Wiki mbili hola, ikabidi niulizie ofisi yao ya registrar, nikaambiwa huyo mtu hajaripoti chuo. Bt nlikua nimedhamiria kumuona, nikahamishia trip zangu mitaa ya kwao, mpaka one day nikamuona housegirl wao yuko alone kwenye duka la jirani. Alivoniona akastuka, nikajua amenikumbuka.

Nikamuomba asinichukulie vibaya, nataka kujua tu khs Nora. Ndo akanisimulia Nora alifanya attempts mbili za kujiua. Mama yake alichukua likizo ili kumuweka sawa mwanae. “yaani ww kaka itakua kosa ulilimfanyia da Nora ni kubwa sana", nikamwambia hapana mi nampenda siwezi mdhuru. Nikamuuliza alipo, akasema walienda Ethiopia ila wanarudi wiki hii. Nikajua ndo maana hajaripoti chuo, itakua walienda kumsaka Mekonnen.

IFM nikawa naenda mara moja moja kucheki tu. Mungu sio Juma, kweli one day nikamuona. Na tumbo kubwa tu nikafurahi kimoyomoyo. Alikua amesimama na mkaka flani hivi shombeshombe. Nikapiga moyo konde nikamsogelea. Alivyoniona hakunipa hata nafasi ya kumsalimia… “unapataje ujasiri wa kuniface we malaya?” yaani hakujali ni mbele za watu. “Nora please, give me a chance, “…. Nikasikia kitu ambacho sikutarajia kusikia kutoka kwake, “kalale kwanza na mama yako ndo uje hapa k***lamamayako".

Nadhani na yeye alihisi uzito wa maneno aliyotamka, maana alinyamaza kimya baada ya tusi. Aliona pia uso wangu ulivyokua umeshangaa na unaonesha disappointment. Nilikumbuka vile viapo vyake pale mwanza kuwa ataniheshimu na hataniacha niaibike, nadhani na yeye alikuwa anakumbuka the same, maana yule mkaka akawa anajaribu kumshika waondoke pale akamsukuma pia kwa hasira, kisha akaondokq huku analia akaniacha pale nimesimama kama sanamu. Kuna muuza madafu mmoja pale ndo akanistua, “oya dogo, hao mahafkast wanachukuanaga wenyewe asikuchanganye huyo, tafuta mndengeleko mwenzako” sikumjibu hata, nikasepa zangu.

That day ndo nilimfuta Nora kwenye akili yangu rasmi. Nikaanza kumchukia. Hii ikafanya hali yangu iwe mbaya zaidi kisaikolojia. Nakumbuka ndo kipindi nikaanza kulakula mademu. Ndo ikapelekea hadi nikaanza kule wale mabinti waliokua majirani zangu kule Arusha akina Pendo. Namshukuru sana Nasra, maana aliona boss wake napotea. Maana sio umalaya tu, nlianza kua mlevi pia. Ndo alipoamua kutafuta mawasiliano na home.

Kuna siku mi narudi zangu nimelewa saa sita hivi, niko na kidemu hata sikumbuki nlikitoa wapi. Kufika geto nawakuta my Sis akiwa na Nasra wamenisubiri nje. Nasra akakatimua kale kabinti, ndo kunipeleka ndani. Nimelewa, Nasra akanivua viatu pamoja na Tshirt, akanilaza kwenye kochi kaanza kunifuta mijasho ili nipoe nilale. Wao walilala room mi wakaniacha sebuleni. Asubuhi naamka ndo tunasalimiana. Yani Sis alivoniona fresh alilengwalengwa na machozi. Maana nlikua very rough, mindevu kama yote, nywele sizijali yani niponipo tu alafu nimekonda mbaya. Nasra alishamhadithia kinachonisumbua, so akasema ataenda kuongea na Nora. Nikamkataza tena kwa viapo yaani asithubutu. Nikawa namwambia tu it will take time bt I will get over her.

Discussion ikapigwa fasta, Nasra akashauri nisafiri nibadili mazingira. Sis akakubaliana nae na akasema atashauriana na maza kuona permanent solution. Bt sis akasema kabisa huyu sio wa kukaa mwenyewe, he needs kuwa na mtu wa kumuangalia. Nasra akajitolea kunikeep company. Ofisi tukamuachia Mussa, kesho yake tukasepa Zanzibar kwa ufadhili na pendekezo la sister. The trip ilinireflesh kinoma. Na zaidi ya yote nlitokea kumuona vizuri Nasra. Ndani ya baibui aliyokua anavaa kulikua na shepu moja amazing mazee, na ile rangi nyeupe ya kirangi kwa.kweli she was good looking. Tulikua tukienda kuogelea nabaki namkodolea mijicho. Alikua akiona namshangaa atacheka alafu ananirushia maji. Tumekaa pale wiki, separate rooms, so usiku wakati wa kulala ndo tunaachana bt kuanzia asbh anakuja room kwangu tunashinda wote.

The last day nakumbuka ndo akajidai mshauri nasaha hahahaha. Nakumbuka nlikua nmejilaza bed nasoma kitabu cha Simon Sinek kinaitwa ‘start with why' (btw, kama unadream zq kuanzisha biashara, au unabiashara tafuta hicho kitabu ukisome then utakuja nishukuru inbox ukimaliza), Nasra kaanza kuniambia I should not waste my life kwa ajili ya mapenzi, am still young na vitu kama hizo… nikaona ananizingua, nikageukia ukutani kabisa. Alivoona nimemind akajisikia guilty kwa kuspoil mood yangu. Akaja bed ananiomba msamaha, eti am sorry boss, sikua na nia ya kukukumbusha machungu, alivoona sijibu kitu akawa amejilaza tu next tu me. Nikaanza jisikia vibaya kuwa namfanyia sio fair, binti wa wattu has always been by my side. Nikamgeukia, nae akalalia ubavu akanigeukia, tukawa tunaangaliana.

Hata sijui kwanini, ila tulijikuta tunatabasam.. then I touched kiuno, she didn’t stop me. Nikamsogezea lips, Nasra akazipokea. Sasa sijui nilimla kimasihara? Au aligawa mzigo kwa kunionea huruma, maana naskia wadada anaeza kukupa tu ili ujisikie vizuri. Ila nnachojua Nasra alikua wa moto balaa, alaf mlaini kama pamba. Siku hiyo alilala kwangu. Nikajilaum why sikuanza nae siku nyingi maana kama ruhusa nlishapewaga na Nora hahaha.

Tulivorudi bongo, namkuta sis yupo bado. Ndo ananipa taarifa wamenifanyia mchongo wa kwenda kusoma Masters nje huko. Nikawa napinga sitaki kusoma. Wote wakaungana yaani Mama, Nasra na Sis kuwa itakua poa nikienda. Sikutaka kupoteza 2yrs of my life kusoma. Wanasema masters ya hiyo nchi ni mwaka mmoja tu. Na naanza mwezi ujao kila kitu washafanya.

Basi ule mwezi wa maandalizi nikawa kama nimemuoa Nasra. Sijui aliaga vipi kwao, lakini most of days alikua pale kwangu. Hadi ofisini Mussa alishtukia namla Nasra. Na alionekana kutofurahishwa kabisa. One day akaniuliza kabisa, eti boss unatoka na Nasra? Nikamhakikishia sio kweli, namheshim sana kama mfanyakazi wangu ndo akawa kama ametulia, nikajua nayeye anampenda. Nikamwambia tu ntamuachia ofisi aiendeshe wakati sipo.

So that’s how I went and stayed one yr in England…..


Nnaona nimeandika sana ili iishe ila imegoma. Mtaniwia radhi ila nitaandika tena next weekend. Ikitokea nimepata chance katikati itakua poa bt ahadi yangu ni jumamosi.

Yanga hoyee!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Jumamosi ndo hii bro nakusubiri[emoji56][emoji56][emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom