Mshobaa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,714
- 677
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A leka tiki mndu akwaDheka tiki. Nala nguku, dhuali ni mayai yakwe. Aah lyamuya kiiva se aja ndiakwa[emoji23][emoji23] naa mburasi yo tiki. Ehe ndiakwa[emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpola.......
Nziza mpola zako,yaaap kwetu kuzur bwanaMpola.......
Kwetu kuzuri
Dheka tiki. Nala nguku, dhuali ni mayai yakwe. Aah lyamuya kiiva se aja ndiakwa[emoji23][emoji23] naa mburasi yo tiki. Ehe ndiakwa[emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
6th Post
*********
The continuing story of how I met my wife….
The beginning of the beginning of the downfall.
Najua kuna ambao washaguess kuwa stori kama hii haina mwisho mzuri…. Wengine PM wanajaribu kuuliza kama Lyamuya ndo mwisho wake au atarudi tena? Hahah, nnachoweza kusema sasa ni kuwa hii ya leo ni mwanzo wa mwanzo wa uchungu wa moyo…….
Endelea nayo….
Mawasiliano yangu na mpenzi wangu Norah yalikua yanaenda poa sana. Infact sometimes she risked and called me hata siku za masomo, just to tell me how much she misses me. Najua nilishasema hapa kuwa nilitokea kumpenda huyu mhabeshi, naomba niseme tena jamani, kidume nilikua nimezama. Ile kuzama mpaka huoni mwingine.
Shida pekee na kikwazo ambacho kila nilipokua nakifikiria kilinipa jakamoyo ni Rona. Tena sio kikwazo tu, Rona alikua ni ukuta kati ya mustakabali wangu wa kimapenzi na Norah. Wataalam wa tiba wanasema mtu unaweza ugua vidonda vya tumbo, ila nauhakika mm nlipata vidonda vya moyo kipindi hicho, maana sio kwa michomo na hisia za kama kisu kinakata moyo kila nlipokumbuka kua mama mkwe wangu mtarajiwa ni Rona, my Boss, my secret lover, my sex partner. Nikawa sioni kabisa namna anaeza kuwa mama mkwe.
Bahati mbaya kadri nlivyozidi kuzama kwa Nora, ndivyo hisia hata zile chache zilizokuepo juu ya Rona zilikua zinayeyuka. Ila hakukubali kuachika kirahisirahisi. Mwanzo alihisi labda kuna kosa amenifanyia, so akawa ananiomba msamaha kwa kosa ambalo hata halijui. Atanipigia simu usiku na kunibembeleza nimsamehe chochote alichonikosea.
Nlikua naumia pia kumuumiza Rona, so nliishia kumwambia tu kuwa kuna mwanamke mwingine nimempenda. Hii ilimchanganya zaidi . Maana ingawa kwake mm ilikua mchepuko, lakini alikua ananiona kama ananimiliki peke yake. Ili kupunguza mazoea nae nikawq namkwepa. Kwa kuwa nilijua amezoea kuja kwangu, ili kumkwepa nilibadilisha ratiba. Nikawa nashinda zaidi kitaa, narudi late night. Hii ilifanya tukakaa wiki kadhaa bila kukutana in private.
Pamoja na kufaham kuwa nina mtu mwingine, akaanza kunibembeleza kuwa ananipenda na hivyo hatojali kuwq na mm ingawa nina mtu mwingine maana hata hivyo, ni vyema kuanza kufikiria kuhusu building a family. In short, Rona alikua anaumia kunipoteza na hakuchoka na wala hakukata tamaa ya kufanya jitihada ya kurudisha mapenzi yangu. Bt mwenzie nlikua nshafunga ukurasa.
Muda wa likizo ya Norah ulikua umekaribia, tukawa tumepanga kuwa amwambie mama yake kuwa shule zinafungwa jumamosi na watasafiri jumapili, ila yeye aje jumamosi afikie kwangu ili tuinjoy the night pamoja (mabaharia msije mkafanya hii kitu ni hatari na nusu). Na kweli, akawa ashamwambia maza ake kama tulivyopanga. Jumamosi, mm nikaenda mpokea stendi, tukachukua taxi hadi home. Uzuri wa ile nyuma, ilikua mwanzo kabisa, magendo yoyote ukiyafanya hakuna anayeweza shuhudia.
Ilikua mida ya saa kumi tumeingia home. I really missed her. Ingawa alikua amepungua mwili kiasi ila she was still very beautiful to my eyes. Alivyoingia sebuleni nikkawa nataka nipeleke mizigo room, bt she stopped me. Nikaitua pale sebuleni, tukawa tunatazamana, and then we hugged. A silent hug. Yaani hakuna aliyekua anasema chochote, bt I think the hearts were communicating. Mikono yake kaizungusha shingoni kwangu, mikono yangu nimeizungusha kiunoni mwake,. She was so relaxed in my arms,… ile kifua chake kilivyokua kinanichoma, nliweza hadi kusikia sauti ya mapigo yake ya moyo. mara tunasikia ngo, ngo, ngo….
Kwa kawaida mahali tulipokua ningekua nimemuona anayegonga wakati anakuja kupitia dirishani, ila lile kumbatio lilikua limefanya machoyangu yawe yamejifunga nikisikilizia ile raha. So sikua najua aliyegonga. Norah yy nlimuona katoa mijicho, kuonesha kapanik, maana hakutaka yeyote ajue yuko pale. Alikua kashajibandua from my arms, amenikumbatia mkono mmoja as if anahitaji protection, huku ananiangalia machoni, as if kuuliza “who is it"… expression yangu pia ilikua inatoa jibu, “I have no idea".
Ingawa sikua na uhakika ila hisia zilinituma kuwa ni Rona. And this made my heart go even faster. Badala ya kugonga tukasikia ufunguo unaingizwa kwenye kitasa kwa nje. Hii ilifanya nicomfirm kuwa ni Rona. Ndo pekee mwenye funguo za hapa. Nikamwambia Nora akimbie room.
Bahati nzuri nlikua nimefunga mlango na vile vitasa flani vya kusogeza, nyumba nyingi za zamani utakuta vimewekwq juu na chini ya kitasa cha ufunguo (na mafundi wengi walikuaga wanapishanisha kitasa na kile kishimo cha kuchomeka na hivyo kufanya iwengumu kukifunga mpaka unyanyue kidogo mlango hahahah). Sasa nlikua nimekifunga cha juu. Rona alivoona mlango haufunguki kaanza kuita bana, Kigaa, kigaa, please fungua tuongee….
Nikawa sasa najiuliza maswali mwenyewe, ujio huu ni kuwa ameniona naingia na mwanae au ni muendelezo wa kunibembeleza turudiane. Ila alivyoita nikajua hajaniona, maana sauti aliyotoa sio ya mama aliyeshuhudia mwanae anaenda kutiwa…. Issue pekee iliyobaki ikawa ni nafanyaje sasa.. maana Rona anajua nimo ndani, nikiendelea kuuchuna ataanza kuropoka siri zetu hapo nje akijua namsikia, hii itafanya Norah ajue kila kitu.
Nikafungua.
Ila sikumruhusu aingie. Mm ndo nlitoka. “Rona please, I know u respect me, naomba tuongee kesho. Nina mgeni ndani", nikamplease… Rona akawa kama machozi yanamlengalenga, then akasema “ok kesho will talk, msalimie wifi"… akawa amenijibu then akasepa. Nikashusha pumzi ndefu nisiamini kilichotaka kutokea. I am playing a very dangerous game nikajikuta nawaza.
Kumbe Nora alisikia ile sauti. Ile nimeingia room nimeweka mizigo yake fresh akaniuliza, “mama yangu alikua anataka nini?”, her voice haikua tena na ule mshtuko wa mwanzo. Nilivyoisikia nikajua it was just an innocent question. Nikamwambia tu ni issue ya ripoti za ofisini, nlimuahidi ningezikamilisha ijumaa ila hajaziona, hapo alikua anaingia azitafute mwenyewe, tunabahati nlifunga mlango. Kakaamini, hakakua na sababu ya kutilia shaka maelezo yangu hata hivyo.
Nikamsogelea alipokua amekaa kitandani, nikasimama katikati ya miguu yake. Nikamshika kichwa, nikakibinua ili kinitazame. Nikaanza kumla denda. Mpaka leo hua nashindwa kujudge who had softer lips, mama au mwana. They were both soft, ila mwana alikua na ladha flani iliyonipa mzuka. As we continued kissing, nikaanza kutalii kifuani,… mara ghafla akaacha kunikiss, “what if mama akija tena?”, akaniuliza.. nikaona ile kitu bado inakasumbua akili. Nikamhakikishia, we are safe. Mlango nimefunga vizuri na nimemuahidi nitaifanya kazi leo so haezi rudi. Akawq ametulia tu ananiangalia. Nikamwambia, “kaoge kiddo, you must be very tired".
That day nlikua nimemuandalia chips na kuku, so baada ya kua ameoga akanijoin jikoni ambako nlikua natengeneza kachumbari. Nlisikia mtu anacheka nyuma yangu, nikamuuliza anacheka nn bila hata kugeuka kumcheki, “si unavyohangaika na hiyo kachumbari, hivyo vitunguu unatakiwa uvitie chumvi kwanza vilainike,….. let me do that, go and relax", alinambia huku akinawa mikono kwa sinki ili ashike usukani, ndo nlipomuona vizuri.
Alikua kavaa one of my shirts, ingawa ilikua ndefu kwake, ila iliishia tu chini kidogo ya tako. Ndani sikujua kirahisi kavaa nini, bt ingawa alikua amepungua mwili, niliconclude kuwa alipungua tu kuanzia kiunoni kwenda juu, huku chini ppalikua pamenona zaidi. Nadhani aligundua namkodolea mijicho, maana alifungua vifungo vya chini then kazikutanisha ncha za chini ya shati kazifunga pamoja kiunoni, akanipa fursa kuona alichovaa ndani. Ilikua chupi nyeupe ya mikanda pembeni (sio bikini), iliyomfanya shape yake ionekane vyema masna pichu ilimtaiti ipasavyo. Miguu akaiachanisha ile inaitwa mguu sawa, na kufanya kuwe na uwazi kati ya mapaja yake, then kasema, “am urs bro, do whatever you want “…. Yaani utundu kama mama yake dah.
Nlichofanya ni kunawa mikono, nikaikausha then nikaipeleka kwenye hips zake. She came towards me, hugged me, kissed me, ile kislow moshen hahaha. Nikampandisha mezani, miguu kaizungusha kwenye miguu yangu, tukqendelea kukiss hapo huku kananifungua suruali. Kalivyomfikia mzee kaka mshika bila woga, nikaona kanatabasam,. Nikamtoa shati aliyokua amevaa, nikavua pia kila kitu sasa. Sikutaka kumvua chupi. Niliisogeza pembeni kidogo nikamgusisha dushe.
Nikaona mwenyewe anaisshika kuiweka fresh, nikaingia. Alishtuka kidogo, ila hakua anaonesha kuumia. Nikaanza ndombolo ya solo pale. It was the first time yeye kusikia utam, and I saw the surprise in her face. And I liked the fact kuwa anaskia utam,. Nikambeba wakati bado nimo ndani, nikamshika matakoni huku miguu yake ikiwa imerest kwenye viwiko vya mikono yangu, mikono yake kanishika vizuri shingoni then nikaanza kumpepeta kama mchele, hapa sasa ndo kidogo anitukane. Alinena kwa lugha hahaha. Na the fact kuwa mi ni mtu wa mazoezi so stamina nnayo ya kutosha lakini pia mwenyewe alikua potable so nlimpepeta haswaaa huku naminyaminya tako zake kama naandaa unga wa chapati. Ilikua namrusha wa speed huku mm niko still, then napunguza speed ya kumrusha mm ndo naanza kumove, yaani nakua kama nimemtenga hewani then namshughurikia, she really liked it. Nikichoka natulia then yeye ndo nampepeta, then wakati mwingine namzungusha kama duara na mm nikimove in out. I saw her coming, ingawa sio ile ya kurusha maji ambayo hata mimi nasubiri mzee JasonBourne59 atupatie darasa.
Nikaona hii mechi tuihamishie room. Kule room nnakuaga na sofa la kukaa mtu mmoja ambalo always nalitumia kuwekea nguo chafu (vyumba vya kiume) nlivyomfikisha, nikamuweka kwenye mkono wa sofa, mgongo ukkaegemea sofa, miguu yake nikaikusanya pamoja kwenye bega langu la kulia kwa kuipishanisha, then nikamuanzia taratibu taratibu, akawa anatoa zile sauti za mtu anayesikia baridi, then nikaanza kuongeza speed….. yaani kama kule kwenye kupepetwa alinena kwa lugha, hii ilimfanya achanganyikiwe. Na mimi wala sikuchukua round, ile speed ya kumaliza na yeye naona anazidi kuchanganyikiwa mpaka ile wazungu wanataka kuja nikaona mtu kama kazima, yaani kajitupa kwenye hicho kisofa, mm nko nae tu yaani nlimaliza katika position ya ajabu sana,… then she huggedd me again huku anatetemeka. Tukakaa hivyo for minutes. Then nikamnyanyua nikampeleka kitandani, nikamfunika na shuka mi nikaenda kuandaa kachumbali.
Itaendelea...View attachment 1373021
James Jason